Uchaguzi Mkuu TFF - 27 Oktoba 2013: Jamal Malinzi Rais Mpya wa TFF!

Malinziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

Viva vivaaaa,

Naaaaam ashashinda kilichobaki ni hitimisho na kutangazwa tu



Malinziiiiiiiiiiii, tuombe mungu wasigeuze matokeo tu
 
Moshi mweupe unaweza kujitokeza inavyoonekana hakuna kura kurudiwa.Mungu ni mwema sana.
 
Malinziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

Viva vivaaaa,

Naaaaam ashashinda kilichobaki ni hitimisho na kutangazwa tu


Malinziiiiiiiiiiii, tuombe mungu wasigeuze matokeo tu

Brodaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaãaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Malinziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

Viva vivaaaa,

Naaaaam ashashinda kilichobaki ni hitimisho na kutangazwa tu



Malinziiiiiiiiiiii, tuombe mungu wasigeuze matokeo tu
Yericko....

Binafsi natamani sana Jamal Emil Malinzi.ashinde kwa kiahindo....

Na dalili zinaonesha hivyo....

Lakini kuna mchezo wa hatari sana unachezwa na Tenga na kundi lake la akina Osiah kuhakikisha kwamba iwe isiwe Nyamlani anashinda.....Lengo ni kuendeleza maslahi yao ndani ya TFF....Kuna hatari vurugu kubwa sana zikazuka endapo Nyamlani atatangazwa mshindi....

Naomba na namshauri Tenga na kundi lake waachane na.mawazo hayo machafu kwa mustakabali wa soka la Tanzania....

Malinzi ndiye mkombozi wa soka letu...Nyamlani = Tenga = Failures
 
Haii ya Mama yangu Mzazi tukishinda namna ninavyoona pamoja na mizengwe yao ya kupenyeza fwedhaaaaaaaa ndani y ukumbi,basi tutatimua panya na mende wote walioko ndani ya tff,waombe mungu washine lakini pia wakishinda tunalianzisha humu humu wengine mjiandae kutuunga mkono huko njeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!
 

Nguvu ya umma ndio jibu!!
 

Yani tumejipanga kwa kila hali kwa siku ya leo,n kwa bahati mbaya sana wamejichanganya na kuwaacha watu wakaingia na Bastola ndani ya Ukumbi,mamaaaaaaaaaaaa!!!!!!!
 
Malinziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

Viva vivaaaa,

Naaaaam ashashinda kilichobaki ni hitimisho na kutangazwa tu



Malinziiiiiiiiiiii, tuombe mungu wasigeuze matokeo tu

Hongera kamanda sana
 
Yani tumejipanga kwa kila hali kwa siku ya leo,n kwa bahati mbaya sana wamejichanganya na kuwaacha watu wakaingia na Bastola ndani ya Ukumbi,mamaaaaaaaaaaaa!!!!!!!

Kuwa makini Nyamlani mtu wa serikali
 
Kwani wajumbe wanasubiria dinner ndo watangaze matokeo?
 
Nyamlani tupe kule.

Hongera Jamali malinzi.
 
Last edited by a moderator:
Kuwa makini Nyamlani mtu wa serikali



Yani naomba nikwambie kitu kimoja,NYAMLANI ananijua kwa sura kwa sababu tulishawahi kunyoosheana vidole hadharani,anajua hniwezi kwa kila kitu mpaka miaka miaka,huyo mla rushwz kwn
anza leo tunamshughulikia halafu kuanzia wiki ijayo tunaanza kumfuata mahakamani kwa sababu tumepata ushahidi kutoka kwa mmoja wa wana JF kwamba alimnyanyasa sana kwenye kesi tunaanza nae.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…