Uchaguzi Mkuu TFF - 27 Oktoba 2013: Jamal Malinzi Rais Mpya wa TFF!

Uchaguzi Mkuu TFF - 27 Oktoba 2013: Jamal Malinzi Rais Mpya wa TFF!

aisee kumbe Crashwise huyu mtu yuko hapa? We princetx nani kakudanganya?? Au we mdogo wake Nyamlani? Hata upepo huangalii.
 
Last edited by a moderator:
Malinziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

Viva vivaaaa,

Naaaaam ashashinda kilichobaki ni hitimisho na kutangazwa tu



Malinziiiiiiiiiiii, tuombe mungu wasigeuze matokeo tu

Yericko nakuamini - endelea kutupa updates. Nitakucheki kwenye FB mida hii
 
mimi nataka kujua nani kashinda uraisi??
yaani mniambie kama ni Malinzi nianze kusherekea sasa hivi
 
uwiiiiiiiiiiiiiiii jamani hesabuni kura vizuri Nyamlani ni mshanzi ataiba kuraaa ama kuharibu makusudi
 
Kwa sasa wachezaji
wazamani wakina ally mayay na watafuatia makocha na baadae
madaktari,hali ni ngumu na mshindi hapa kwa inavyoonekana hatamzidi
mwenzake zaidi ya kura 10 sidhani,kwa sbb kundi la Tenga na Osiah
wamechafua hali ya hewa ukumbini muda mfupi kabla ya kura
kupigwa,wasubiri tu labda tushindwe tukishinda watakiona cha moto hivyo
vyeo walivyopeana kwa ajili yz maslahi watapata cha mtemba kuni.

Aisee, pana harufu ya ngumi huko!
 
mimi nataka kujua nani kashinda uraisi??
yaani mniambie kama ni Malinzi nianze kusherekea sasa hivi


Teacher matokeo bado yanaweza kutolewa kwenyensaa 4 au 5 hivi usiku baada ya kuhesabiwa lakini sisi tutayapata mapema kabla ya kutangazwa na tutayaweka humu endelea kutulia tu hapa usichezecheze,ila Hali ni tete zile kura 85 alizokuwa nazo Malinzi hadi kwenye saa 7 mchana hivi zilianza kuyeyuka baada ya viburungutu kuingizwa ukumbini fedha ambazo zimadaiwa kutolewa na Tenga na wenzake ili kuhakikisha Nyamlani anashinda ili kuendelea kulinda maslahi yao.
 
malinzi nenda kahesabu mwenyewe kura.isije wakamnunua chumbani huko linda kura zako malinzi
 
Huyo nyamalaini hafai amekuwa makamu mwenyekiti TFF muda wote amefanyanini?
 
Inavyoonekana member wengi humu JF wanapenda Malinzi ashinde, sasa ngoma ikienda tofauti basi wengi tutanywea kama tumeloweshwa maji baridi.
 
kuna mchezo mchafu unaendelea kuna watu wanamirija yao ya pesa sasa wasiposhinda watu fulani mirija itakatika , naona kuna nguvu ya ziada itumika kulinda hii kitu ,mpambano ni mkali kuliko watu wanavyodhani
 
Teacher matokeo bado
yanaweza kutolewa kwenyensaa 4 au 5 hivi usiku baada ya kuhesabiwa
lakini sisi tutayapata mapema kabla ya kutangazwa na tutayaweka humu
endelea kutulia tu hapa usichezecheze,ila Hali ni tete zile kura 85
alizokuwa nazo Malinzi hadi kwenye saa 7 mchana hivi zilianza kuyeyuka
baada ya viburungutu kuingizwa ukumbini fedha ambazo zimadaiwa kutolewa
na Tenga na wenzake ili kuhakikisha Nyamlani anashinda ili kuendelea
kulinda maslahi yao.

Nimesikia kwenye michezo, mjumbe mmoja kadakwa na rushwa landmark hotel, alikuwa anagawa kwa wajumbe wengine, na wamemkuta na milion kadhaa kibindoni.
 
Teacher matokeo bado yanaweza kutolewa kwenyensaa 4 au 5 hivi usiku baada ya kuhesabiwa lakini sisi tutayapata mapema kabla ya kutangazwa na tutayaweka humu endelea kutulia tu hapa usichezecheze,ila Hali ni tete zile kura 85 alizokuwa nazo Malinzi hadi kwenye saa 7 mchana hivi zilianza kuyeyuka baada ya viburungutu kuingizwa ukumbini fedha ambazo zimadaiwa kutolewa na Tenga na wenzake ili kuhakikisha Nyamlani anashinda ili kuendelea kulinda maslahi yao.

Hivi ukipewa bulungutu but stil ukampigia choice yako kuna tatizo?
 
Back
Top Bottom