Uchaguzi Mkuu TFF - 27 Oktoba 2013: Jamal Malinzi Rais Mpya wa TFF!

Mwl gfsonwin tafadhali njoo uni hakikishie ushindi hapa.
 
Last edited by a moderator:
Matokeo plzz jamani, watu tunataka viongoz hatutaki wapiga porojo
 
Oya acheni habari za uzushi umu ndani kura hazijaanza ata kuhesabiwa, matakeo ya awali yataanza kutoka saa 4
 
Nina maslahi binafsi na nyamlani ila kwa maendeleo ya soka la bongo nataka aondoke tu akendelee kucheza na vibaka pale mahakama ya kinondoni aywachie soka letu la bongo tumechoka na porojo zao hawa wezi wazoefu
mkuu dua lako lipo wp?
 
Kwa sasa wachezaji wazamani wakina ally mayay na watafuatia makocha na baadae madaktari,hali ni ngumu na mshindi hapa kwa inavyoonekana hatamzidi mwenzake zaidi ya kura 10 sidhani,kwa sbb kundi la Tenga na Osiah wamechafua hali ya hewa ukumbini muda mfupi kabla ya kura kupigwa,wasubiri tu labda tushindwe tukishinda watakiona cha moto hivyo vyeo walivyopeana kwa ajili yz maslahi watapata cha mtemba kuni.
 
Oya acheni habari za uzushi umu ndani kura hazijaanza ata kuhesabiwa, matakeo ya awali yataanza kutoka saa 4


Yaa ni kweli kwa sbb sasa ndio madaktari wanaenda kupigz kura,matokeo halisi maybe saa 4 au 5 lakini pindi yakimaliza tu kuhesabiwa sisi humu jf tutakuwa wa kwanza kuyahesabu tena nusu saa ama saa moja kabla!
 

Hongera kwa kuwabana wahuni hao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…