TIQO
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 13,786
- 2,095
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tenga anataka kuwa muhuni.wakuu hapa inaonkana Malinzi hashindi!ila subirini tu mtasikia wanajieleza.
Chaneli gani wanarusha
Mwanajf mwenzetu asishinde?!..haiwezekani. Mia
Mkuu hivi unadhani hii kitu inaweza kurushwa live kwenye tv?!,labda lakini sisi hatujaambiwa!
Mkuu kuna vituko halafu mimi nafuatiliwa mwenendo wangu tangu mwaka jana niwalipue na ile zkaunti yao wanayosaini wawili tenga na nyamlani,wameniwekea walinzi kila koma hata hiki kiganyio changu wananichunga sana,lakini sio mbaya sana tutaperekana hivyo hivyo hadi mwisho nikipata nafasi,wzmemaliza kujieleza wajumbe wa kamati ya utendaji wanataka kupiga kura kisha wanaingia makamu rais.
Mkuu WABHEJASANA kunani tena mbona una hamaki kuna nini tena?
Btw, wewe ni mpiga kura katika mkutano wa leo ama ni mlinzi wa kura za Malinzi?
Umenunuliwa na Nyamlani?
I wish ningekuwa nawajua vyema hawa candidates
Ila naomba tuu apatikane atayeipandisha soka na sio kulishusha
Ivi yupi ni yanga na yupi ni simba?
Wakuu bila shaka leo ndio siku iliyokua ikisubiliwa kwa hamu na wadau wa mpira wa miguu Tanzania.
Nini kinaendelea huko?
Maana nimepitia humu ndani sijaona post yoyote inayoelezea updates za uchaguzi Mkuu wa TFF,au siyo leo?
Tunaomba updates please.
UPDATES:
- Wallace Karia ameshajinadi...
- Makamu wa pili wa rais, Ramadhani Nassib anajinadi mbele ya wajumbe...
- Mwenyekiti wa uchaguzi anamwomba Nassib anadi sera zake na si kuwazungumzia wagombea wengine...
- Madega ametinga shati jeupe na tai nyeusi. Anasema yeye ni Seneta na kazi yake ya uanasheria inampa muda zaidi...
- Madega anasema pamoja na kuwahi kuiongoza Yanga anamtoa wasiwasi Aden Rage kuwa hatoipendelea Yanga..!
- Ajabu ya mkutano mkuu huu ni kuwa hata safari hii Yanga hawakuleta mjumbe mpiga kura. Yussuf Manji jina lake limeitwa lakini hakuonekana. Simba inawakilishwa na Aden Rage...
- Rage anamtania Madega kwa kutaka ufafanuzi wa Useneta wake; wa Marekani au wa Jangwani?
- Madega anasema aliwahi kujiuzuru Yanga kwa uzembe wa uongozi hivyo yeye akichemsha kazi suala la kujiuzulu si halina mjadala
- Wanafuatia Malinzi na Nyamlani: Kaanza Malinzi, anasema sisi wote ni familia ya mpira. Tuyasahau ya nyuma, anamshukuru Tenga. Anazungumzia ilani yake. Anasema iko kwenye Facebook, Twitter na kwengineko... Anaendelea kutoa historia yake
Mwanajf mwenzetu asishinde?!..haiwezekani. Mia
Sasa ni zamu ya Wagombea nafasi y urais!ameanza Nyamlani na anamalizia kujieleza!huyu kweli ni mburula akishinda zinapigwa humu ila kuna majumbe hapa n hasa ya Arusha sijui yalipewa nini!!
Kama tunataka kuuwa soka Tanzania wampe Nyamlani namfahamu ni fisi mwenye tamaaa
Machalii wa Arusha wamelambishwa unga wa ndere, si tumeambiwa nyamlani iko gawa mpunga mwingi sana kwa wajumbe!
Hapo kwenye bastola hapo...!!! Tutalaumiana muda si mrefu...