Pre GE2025 Uchaguzi Mkuu ujao anguko la FRELIMO liwe funzo kwa vyama ng'ang'anizi. Zama zinabadilika, vijana wa sasa wakichoka hawaogopi risasi wala majeshi

Pre GE2025 Uchaguzi Mkuu ujao anguko la FRELIMO liwe funzo kwa vyama ng'ang'anizi. Zama zinabadilika, vijana wa sasa wakichoka hawaogopi risasi wala majeshi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
1,604
Reaction score
3,715
1962 mondlane aliasisi chama Kikongwe kwa ajili ya kuikomboa msumbiji kutoka kwenye makucha ya wareno !kutoka na Hali ya msumbiji nyakati hizo iliwalazimu frelimo kuweka makao yake makuu jijini dar es salaam! Mapambano makali wakisaidiwa na serikali ya Tanzania chini ya jemedari hayati mwalimu Nyerere ! 1975 frelimo ilifanikiwa kuingia madarakani rasmi na ofisi zikahamishiwa mjini maputo ! Frelimo ilijulikana kama chama Cha ukombozi na raia wengi walikufa ili kuipigania frelimo ,Kuna watu wapo kaburini mpaka Leo walikufa kabla hata frelimo haijakalia mamlaka ! Huko walikolala hawajui kama frelimo ya Leo ipo kwenye kikaango Cha kuondolewa madarakani kwa nguvu na raia walio choka kabisa na wanatamani kuiona msumbiji ikiwa chini ya chama kingine ! Frelimo iliongozwa na samora machel ,kisha joachimu chisamo ,akafuata Philip nyusi na sasa guebuza ! Tujifunze jambo hapa wananchi hawatawaliwi Bali wanaongozwa ! Tukiendelea kuamini kwamba wananchi wanatawaliwa kwa mitutu ya bunduki zama hizo zimebadilika! Ione msumbiji Leo tangia uchaguzi ufanyike mpaka Leo maputo haikaliki Tena ! Kila kitu kimeharibiwa na vijana hawamtaki utani wanasonga huku mamia ya vijana wakiwa tayari wameuwawa ! Vijana wameacha kabisa uoga ! Tunapoelekea uchaguzi mkuu tujifunze jambo kutoka kwa majirani zetu ! Tushinde kwa haki chaguzi zetu ,tufanye mambo kwa weledi bila tamaa ,aliyeshinda atangazwe kwa uwazi na uhalisia ,kinyume chake ipo siku wananchi wataifuta haki yao kwa njia isiyo nzuri kabisa mungu ibariki Tanzania
 
Tatizo Mbowe ametuchuuza sana.
Ukombozi ulitakiwa kuanzia Tanga.
Pale kwenye mazishi ya Kibao, vijana na wazee walipomjia juu Masauni ilitakiwa Mbowe ashushe hotuba kali yenye msisimko.

Halafu Masauni apewe nako za kutosha na polisi wachapwe hadi wakimbie.
Inapokea nchi nzima kukiwasha.
Sasa hivi ccm ingeachia..
 
Venancio Mondlane siyo mtoto wa Eduardo Mondlane.
Nimecheki sasa hivi Google.
Pia familia ya Mondlane imelalamika somewhat kuhusu huyu jamaa kutumia jina la baba yao for election purposes.
 
1962 mondlane aliasisi chama Kikongwe kwa ajili ya kuikomboa msumbiji kutoka kwenye makucha ya wareno !kutoka na Hali ya msumbiji nyakati hizo iliwalazimu frelimo kuweka makao yake makuu jijini dar es salaam! Mapambano makali wakisaidiwa na serikali ya Tanzania chini ya jemedari hayati mwalimu Nyerere ! 1975 frelimo ilifanikiwa kuingia madarakani rasmi na ofisi zikahamishiwa mjini maputo ! Frelimo ilijulikana kama chama Cha ukombozi na raia wengi walikufa ili kuipigania frelimo ,Kuna watu wapo kaburini mpaka Leo walikufa kabla hata frelimo haijakalia mamlaka ! Huko walikolala hawajui kama frelimo ya Leo ipo kwenye kikaango Cha kuondolewa madarakani kwa nguvu na raia walio choka kabisa na wanatamani kuiona msumbiji ikiwa chini ya chama kingine ! Frelimo iliongozwa na samora machel ,kisha joachimu chisamo ,akafuata Philip nyusi na sasa guebuza ! Tujifunze jambo hapa wananchi hawatawaliwi Bali wanaongozwa ! Tukiendelea kuamini kwamba wananchi wanatawaliwa kwa mitutu ya bunduki zama hizo zimebadilika! Ione msumbiji Leo tangia uchaguzi ufanyike mpaka Leo maputo haikaliki Tena ! Kila kitu kimeharibiwa na vijana hawamtaki utani wanasonga huku mamia ya vijana wakiwa tayari wameuwawa ! Vijana wameacha kabisa uoga ! Tunapoelekea uchaguzi mkuu tujifunze jambo kutoka kwa majirani zetu ! Tushinde kwa haki chaguzi zetu ,tufanye mambo kwa weledi bila tamaa ,aliyeshinda atangazwe kwa uwazi na uhalisia ,kinyume chake ipo siku wananchi wataifuta haki yao kwa njia isiyo nzuri kabisa mungu ibariki Tanzania
Liwe funzo Kwa Mbowe pia king'ang'anizi wa madaraka
 
Venancio Mondlane siyo mtoto wa Eduardo Mondlane.
Nimecheki sasa hivi Google.
Pia familia ya Mondlane imelalamika somewhat kuhusu huyu jamaa kutumia jina la baba yao for election purposes.
Ilikuwaje ndugu mpaka atumie Hilo jina
 
CCM wakikataa mageuzi kwa njia ya Box la kura yatakuja kwa njia ya ghasia.

Kwanini tufike huko tuweke mfumo uliohuru na wa haki wa uchaguzi na kuwaacha wananchi wachague viongozi wawatakao.
 
1962 mondlane aliasisi chama Kikongwe kwa ajili ya kuikomboa msumbiji kutoka kwenye makucha ya wareno !kutoka na Hali ya msumbiji nyakati hizo iliwalazimu frelimo kuweka makao yake makuu jijini dar es salaam! Mapambano makali wakisaidiwa na serikali ya Tanzania chini ya jemedari hayati mwalimu Nyerere ! 1975 frelimo ilifanikiwa kuingia madarakani rasmi na ofisi zikahamishiwa mjini maputo ! Frelimo ilijulikana kama chama Cha ukombozi na raia wengi walikufa ili kuipigania frelimo ,Kuna watu wapo kaburini mpaka Leo walikufa kabla hata frelimo haijakalia mamlaka ! Huko walikolala hawajui kama frelimo ya Leo ipo kwenye kikaango Cha kuondolewa madarakani kwa nguvu na raia walio choka kabisa na wanatamani kuiona msumbiji ikiwa chini ya chama kingine ! Frelimo iliongozwa na samora machel ,kisha joachimu chisamo ,akafuata Philip nyusi na sasa guebuza ! Tujifunze jambo hapa wananchi hawatawaliwi Bali wanaongozwa ! Tukiendelea kuamini kwamba wananchi wanatawaliwa kwa mitutu ya bunduki zama hizo zimebadilika! Ione msumbiji Leo tangia uchaguzi ufanyike mpaka Leo maputo haikaliki Tena ! Kila kitu kimeharibiwa na vijana hawamtaki utani wanasonga huku mamia ya vijana wakiwa tayari wameuwawa ! Vijana wameacha kabisa uoga ! Tunapoelekea uchaguzi mkuu tujifunze jambo kutoka kwa majirani zetu ! Tushinde kwa haki chaguzi zetu ,tufanye mambo kwa weledi bila tamaa ,aliyeshinda atangazwe kwa uwazi na uhalisia ,kinyume chake ipo siku wananchi wataifuta haki yao kwa njia isiyo nzuri kabisa mungu ibariki Tanzania
CCM ndio imewafundisha Frelimo wizi wa Kura, sasa ijifunze kutoka Mozambique madhara ya kutoheshimu uchaguzi na kuchezea demokrasia
1962 mondlane aliasisi chama Kikongwe kwa ajili ya kuikomboa msumbiji kutoka kwenye makucha ya wareno !kutoka na Hali ya msumbiji nyakati hizo iliwalazimu frelimo kuweka makao yake makuu jijini dar es salaam! Mapambano makali wakisaidiwa na serikali ya Tanzania chini ya jemedari hayati mwalimu Nyerere ! 1975 frelimo ilifanikiwa kuingia madarakani rasmi na ofisi zikahamishiwa mjini maputo ! Frelimo ilijulikana kama chama Cha ukombozi na raia wengi walikufa ili kuipigania frelimo ,Kuna watu wapo kaburini mpaka Leo walikufa kabla hata frelimo haijakalia mamlaka ! Huko walikolala hawajui kama frelimo ya Leo ipo kwenye kikaango Cha kuondolewa madarakani kwa nguvu na raia walio choka kabisa na wanatamani kuiona msumbiji ikiwa chini ya chama kingine ! Frelimo iliongozwa na samora machel ,kisha joachimu chisamo ,akafuata Philip nyusi na sasa guebuza ! Tujifunze jambo hapa wananchi hawatawaliwi Bali wanaongozwa ! Tukiendelea kuamini kwamba wananchi wanatawaliwa kwa mitutu ya bunduki zama hizo zimebadilika! Ione msumbiji Leo tangia uchaguzi ufanyike mpaka Leo maputo haikaliki Tena ! Kila kitu kimeharibiwa na vijana hawamtaki utani wanasonga huku mamia ya vijana wakiwa tayari wameuwawa ! Vijana wameacha kabisa uoga ! Tunapoelekea uchaguzi mkuu tujifunze jambo kutoka kwa majirani zetu ! Tushinde kwa haki chaguzi zetu ,tufanye mambo kwa weledi bila tamaa ,aliyeshinda atangazwe kwa uwazi na uhalisia ,kinyume chake ipo siku wananchi wataifuta haki yao kwa njia isiyo nzuri kabisa mungu ibariki Tanzania
,
 
Namuomba Mungu tusifikie huko. Tunaojiona tunaishi kwenye majumba yenye magate ndio mbaya zaidi. Kuna vijana wataamini tumekula share yao, hapo mwanangu wakivamia 10 watakula na visivyoliwa ujue.
Mwenyezi Mungu tuepushe na hayo tunayosikia
Hao so called wahafidhina wa CCM ndio wataifikisha Nchii kubaya.
 
Namuomba Mungu tusifikie huko. Tunaojiona tunaishi kwenye majumba yenye magate ndio mbaya zaidi. Kuna vijana wataamini tumekula share yao, hapo mwanangu wakivamia 10 watakula na visivyoliwa ujue.
Mwenyezi Mungu tuepushe na hayo tunayosikia
ccm inatupeleka huko kwa kasi
 
Back
Top Bottom