Wapinzani Wasingetaka kushiriki nafikiri wangesema hatutashiriki. Kama wameenguliwa kwa kukosa vigezo swali ni iweje mwaka huu wote hao wasiwe na vigezo?Nadhani kuna vigezo viliwekwa...ili kuondoa utata...tupewe vigezo vilivyotumika kuwaondoa kwenye 'kuwania' nafasi walizoomba.
Na unaweza ukute hawa hawakutimiza vigezo makusudi ili waonekane wameenguliwa kwa 'uonevu' baada ya kusoma mchezo kuwa uwenda wasipate kura....
Maana nakumbuka kuna baadhi ya wanachama wa vyama fulani walihimizana kutokujihandikisha kupiga kura...hilo msilisahau.
Yaani hata Mwanza hali ni hiyo hiyo. Chadema wote wameenguliwa, CCM wote wamepitishwa!!!No democracy in Tanzania.
Karibu nchi nzima wameenguliwa
Ndiyo maana mwanzoni mwa post yangu nikahimiza tuone vigezo vilivyotumika kuwatimua...!!!Wapinzani Wasingetaka kushiriki nafikiri wangesema hatutashiriki. Kama wameenguliwa kwa kukosa vigezo swali ni iweje mwaka huu wote hao wasiwe na vigezo?
Yaani wapinzani hata kujaza tu fomu hawajui!!?? Halafu waongoze nchi??Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni Kata ya Kigamboni, Mtaa wa Feri Wagombea wote wa upinzani Hawajateuliwa.
Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo Kata ya Mabibo Mtaa wa Matokeo Wagombea wote wa Upinzani Hawajateuliwa.
Jimbo la Ubungo, Kata ya Manzese: Mtaa Chakula Bora - Wagombea wote wa upinzani wameondolewa na CCM wote kupitishwa
Ruangwa, Lindi: wagombea wote wa vyama vya upinzani wameondolewa. Pia taarifa kutoka Liwale Mkoa huo huo wa Lindi viongozi wote wa upinzani wanatafutwa na vyombo wa dola
Mtaa wa Jitegemee kata ya Mabibo Maelekezo ya Kitowateuwa Wagombea wetu wa ACT Wazalendo na Vyama Vyengine Vya Upinzani kwa Nafasi zote na Kuwapitisha CCM peke yao
Mtaa wa Golani, Kata ya Kimara kwa Wagombea Wote ACT Wazalendo na Chadema Wamekatwa na Msimamizi kutekeleza Maagizo
View attachment 1254688View attachment 1254689View attachment 1254690View attachment 1254691View attachment 1254692View attachment 1254693View attachment 1254694View attachment 1254695View attachment 1254696View attachment 1254697
unafaidika na nini shoga angu, kweli mazuzu mpo wengiSafi sana
Kwani hawa watendaji wa kata/mitaa huwa wanaishi wapi??
wote ni ma genius !kuna mahala mgombea wa chama tawala ameenguliwa? tusaidieni wakuu
Wakati umefika sasa Kwa vyama vya upinzani kubuni biashara nyingine au kazi nyingi za kufanya ,kwani kuendelea kufanya siasa mnapoteza muda wenu bureeee, bora mkalime matango pori.Wanaamua kupitisha wagombea wao tu. Si huwa wanajisifu kuwa CCM inakubalika mbona wamekuwa waoga hivyo?. Nilichobaini ni kwamba walivyoitwa ikulu ilikuwa ni sehemu ya mkakati huu haramu. Tusubiri kuwaona mnavyokwenda peponi kwa dhuluma.
Njia bora ya kutuvusha ni Bunge lifute tuu sheria iliyoruhusu vyama vingi na kurudisha chama kimoja kwa sababu inawezekana hao waombaji wa vyama vya upinzani wana makosa ya kiufundi katika ujazaji wa Fomu lakini kwa kutopitishwa kwao kunaleta mtazamo hasi dhidi ya serikali na chama tawala.Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni Kata ya Kigamboni, Mtaa wa Feri Wagombea wote wa upinzani Hawajateuliwa.
Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo Kata ya Mabibo Mtaa wa Matokeo Wagombea wote wa Upinzani Hawajateuliwa.
Jimbo la Ubungo, Kata ya Manzese: Mtaa Chakula Bora - Wagombea wote wa upinzani wameondolewa na CCM wote kupitishwa
Ruangwa, Lindi: wagombea wote wa vyama vya upinzani wameondolewa. Pia taarifa kutoka Liwale Mkoa huo huo wa Lindi viongozi wote wa upinzani wanatafutwa na vyombo wa dola
Mtaa wa Jitegemee kata ya Mabibo Maelekezo ya Kitowateuwa Wagombea wetu wa ACT Wazalendo na Vyama Vyengine Vya Upinzani kwa Nafasi zote na Kuwapitisha CCM peke yao
Mtaa wa Golani, Kata ya Kimara kwa Wagombea Wote ACT Wazalendo na Chadema Wamekatwa na Msimamizi kutekeleza Maagizo
View attachment 1254688View attachment 1254689View attachment 1254690View attachment 1254691View attachment 1254692View attachment 1254693View attachment 1254694View attachment 1254695View attachment 1254696View attachment 1254697