Huyu kiongozi ni mwendawazimu bayana!! Haya ndio maagizo aliyowapa watendaji alipowaita?
Tunaruhusuje kuongozwa na mtu mwenye matatizo kichwani? Na watu wazima wanakubali tu kutekeleza maagizo ya kiwenda wazimu
Mwelekeo wa matokeo ya Serikali za mitaa ni ushahidi tosha kuwa Rais Anaungwa mkono na 99% ya Watanzania wanamuelewa sana utendaji kazi wake anajituma anatembea juani kila mara kutatua shida za wananchi zawadi kubwa watakayompa ni kukiunga mkono CCM
Angalia orodha ya Maraisi waliokua wakishinda kwa 99%Mwelekeo wa matokeo ya Serikali za mitaa ni ushahidi tosha kuwa Rais Anaungwa mkono na 99% ya Watanzania wanamuelewa sana utendaji kazi wake anajituma anatembea juani kila mara kutatua shida za wananchi zawadi kubwa watakayompa ni kukiunga mkono CCM
HahahaMwelekeo wa matokeo ya Serikali za mitaa ni ushahidi tosha kuwa Rais Anaungwa mkono na 99% ya Watanzania wanamuelewa sana utendaji kazi wake anajituma anatembea juani kila mara kutatua shida za wananchi zawadi kubwa watakayompa ni kukiunga mkono CCM
Wapenda kuungwa mkono na kushangiliwa hawalioni hilo mkuuKama hawakujitokeza kugombea inaweza kuwa haina tatizo. Lakini kama wamegombea na wamezuiwa hapo kuna kitu watu wanataka kukiona. Najaribu kujiuliza wale watu milioni 6 na point waliochagua wapinzani walienda wapi? Kama bado wapo hai naogopa sana.
Sitoona ajabu wapiga kura wakikaa pembeni ili kuwashuhudia wapiga kura wa "chama kile" wakichagua kinyume na chama chao!!!Nchi imefika patamu sana !
Siku moja kabla ya.uchaguzi nitawanunulia watu pombe Kali nyingi walewe sana ili waamke na hangover washindwe kupiga kula maana wanajisimbua tuuCHADEMA msijaribu kukata rufaa kaeni kimya kabisa
Wala si shangai hiki alichoandika Diwani wa CHADEMA leo asubuhi ..
Kila mtu alijua CHADEMA hakuna tena ule Umoja Rombo hii ilipelekea Madiwani na Wenyeviti kujiuzuru tangu 2017
Tusipo jipanga kulalamika tu haitoshi.
Watu wanakata tamaa na sisi.tuache magonvi na kuficha ukweliView attachment 1255238
KongoleTuhabarishe kuhusu hapo Mbeya........hahahaaaa!
Huko sasa ni kulazimisha utabiri wake utimie kwa nguvu!!!!Kashasema mpaka 2020 vyama vya upinzani itabaki history and his really fulfilling his promise [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]