Uchaguzi S/Mitaa 2019: Wagombea wa Upinzani asilimia kubwa wameenguliwa kugombea, CCM wengi wapitishwa

Uchaguzi S/Mitaa 2019: Wagombea wa Upinzani asilimia kubwa wameenguliwa kugombea, CCM wengi wapitishwa

Huyu kiongozi ni mwendawazimu bayana!! Haya ndio maagizo aliyowapa watendaji alipowaita?

Tunaruhusuje kuongozwa na mtu mwenye matatizo kichwani? Na watu wazima wanakubali tu kutekeleza maagizo ya kiwenda wazimu

Mshauri wake mkuu Daud Bashite hana vyeti na yeye mwenyewe PhD yake ni ya utata na kibaya zaidi washauri wa Naibu Rais Daud Bashite ni akina cyprian Musiba , Le mutuz na Joseph yona, ebu cheki huu mtiririko ndipo utabaini kuwa ipo shida kubwa kwenye mfumo wa utawala awamu hii ya tano
 
Kinachonisikitisha ni akili fupi za Hawa watawala 😎, je kulikuwa na umuhim gani wakutumia gharama za kuandikisha watu ili Hali walizijua hujuma watajazo fanya!!! Kwahiyo hao walioandikishwa na hawatapiga Kula maana yake Nini??? "Ole wenu mnaofurahia upuuzi huu iko siku mtakuja kujuta na kugharimia hizi gharama.
 
Hata mwanaCCM mwenye utimamu wa akili hawezi shangilia upuuzi huu uliouleta hapa, "ama kweli jina la kitabu linasadifu yaliyomo Kama ilivyo jina lako JINGALAO"🤣🤣. Mantiki yakuwaandikisha watu ilikuwa ni nini? Hizo pesa walizowalipa watu kuandikisha zilikosa lakufanya?? Acheni kusifia upumbavu mkidhania hayana mwisho.
 
Ni punguwani tu asiye ona haya yanavyo tendeka..uminyawji wa demokrasia wazi wazi kabisa..
Wapinzani mmewa bana kila sehemu..bora wakayaongelee huko kwenye mitndao ya kijamii mana..wakija mtaani mnawakamata na kuwa miminia ma risasi..wakienda bungeni mnawatoa nje na kuwapiga bani wasihudhurie vikao vya bunge..
Kwenye majimbo yao mmewagomea kufanya mikutano ya hadhara.

Hakuna fair katika siasa ya tz huo ndio ukweli..CCM inajua fika haiwezi kushindana nao kwenye majukwaa ndio maana imebakia nguvu ya dola kupambana nao...shame on You wanafiki wa kisiasa.

#MaendeleoHayanaChama.
 
Ujinga huu,anaungwaje mkono? Uteuzi nao ni uungwaji mkono. Ningemkubali kama angeacha uchaguzi uwe huru. Aache sisi wananchi ndiyo tuamue. Vinginevyo acha kuonesha upumbavu wako humu
Mwelekeo wa matokeo ya Serikali za mitaa ni ushahidi tosha kuwa Rais Anaungwa mkono na 99% ya Watanzania wanamuelewa sana utendaji kazi wake anajituma anatembea juani kila mara kutatua shida za wananchi zawadi kubwa watakayompa ni kukiunga mkono CCM
 
Mwelekeo wa matokeo ya Serikali za mitaa ni ushahidi tosha kuwa Rais Anaungwa mkono na 99% ya Watanzania wanamuelewa sana utendaji kazi wake anajituma anatembea juani kila mara kutatua shida za wananchi zawadi kubwa watakayompa ni kukiunga mkono CCM
Angalia orodha ya Maraisi waliokua wakishinda kwa 99%

Ghadafi akishinda kwa 99%
Idi Amini alishinda kwa 99%
MABUTU alikua akishinda kwa 99%
BOKASA 99%
KAGAME 99%
MAGU 99%
 
Mwelekeo wa matokeo ya Serikali za mitaa ni ushahidi tosha kuwa Rais Anaungwa mkono na 99% ya Watanzania wanamuelewa sana utendaji kazi wake anajituma anatembea juani kila mara kutatua shida za wananchi zawadi kubwa watakayompa ni kukiunga mkono CCM
Hahaha
Nasikia tanzanite tv ishapata baraka za tcra . Inafadhiliwa na hazina. Soon kitu kitakuwa kwa hewa yani chombo kwa hewa full propaganda.
Yaani hapo hata rais akienda kanisani , full kupongezwa, akipokea mshahara full kupongezwa.
Mtu akimumwa na malaria akishapona shurti ampongeze rais.

Wote semeni tupo kwenye lait tlaki
 
Kama hawakujitokeza kugombea inaweza kuwa haina tatizo. Lakini kama wamegombea na wamezuiwa hapo kuna kitu watu wanataka kukiona. Najaribu kujiuliza wale watu milioni 6 na point waliochagua wapinzani walienda wapi? Kama bado wapo hai naogopa sana.
Wapenda kuungwa mkono na kushangiliwa hawalioni hilo mkuu
 
Roving Journalist
Hii ni dalili Mbaya sana kwa ustawi wetu kama taifa. Naona kuna "mbegu" inapandwa siku moja itakuja kumea na tutakula matunda ya hiyo mbegu.
Kuna watu wanafurahia sana lakini itakuja kutugharimu kama taifa.

'Majuto ni mjukuu"
 
Wala sishangai hiki alichoandika Diwani wa CHADEMA leo asubuhi ..
Kila mtu alijua CHADEMA hakuna tena ule Umoja Rombo hii ilipelekea Madiwani na Wenyeviti kujiuzuru tangu 2017

Tusipo jipanga kulalamika tu haitoshi.
Watu wanakata tamaa na sisi.Tuache magomvi na kuficha ukweli

IMG-20191106-WA0003.jpeg
 
Kwani CCM huwa hawagombani? Usipende kuweka sababu nyepesi kama hizo
Wala si shangai hiki alichoandika Diwani wa CHADEMA leo asubuhi ..
Kila mtu alijua CHADEMA hakuna tena ule Umoja Rombo hii ilipelekea Madiwani na Wenyeviti kujiuzuru tangu 2017

Tusipo jipanga kulalamika tu haitoshi.
Watu wanakata tamaa na sisi.tuache magonvi na kuficha ukweliView attachment 1255238
 
Laana ya Dk Slaa ni kali, kila kona CHADEMA wanaangamia.
 
Kashasema mpaka 2020 vyama vya upinzani itabaki history and his really fulfilling his promise [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Huko sasa ni kulazimisha utabiri wake utimie kwa nguvu!!!!
 
Mbona Membe ana ugomvi na Mwenyekiti wake? Mbona makatibu wa CCM wastaafu wana ugomvi na mwenyekiti wao? Mbona wakulima wa korosho wana ugomvi na mwenyekiti taifa wa CCM?

Mbona wahitimu wote wa vyuo nchini wana ugomvi na mwenyekiti wa CCM taifa? Mbona wapinzani, wanaharakati, waandishi wa habari, wafanyabiashara, n.k wana ugomvi na mwenyekiti wa ccm taifa?

Huko kupita kwa CCM bila kupingwa kwa nchi nzima kumewezekanaje kama makundi yote haya yana ugomvi na mwenyekiti wa CCM taifa?
 
Ukweli ni kwamba CCM wanapita bila kupingwa kwa udhaifu wa Upinzani
 
Hawezi kuelewa, amini nakuambia Mungu anapouangusha ufalme huwa anaufitinisha.
 
Back
Top Bottom