Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ohoooo we ndo mmoja wa wale maskini wa akili na mali. Hv kwa akili ya kawaida mgombea anaeza kosea kuandika mwaka wake wa kuzaliwa kizembe hvyo??.
Mwisho wake utakuwa mzuri.Uchaguzi huu utathibitisha ukweli kuwa Tanzania haina wapinzani na hawa waliopo ni Wajasiriasiasa......wanasaka fursa tu wapate kuishi!
Hahahahahainasemekana hii ndio sababu
Kivipi, wakati hawatakiwi kushiriki, sasa kwa akili yako unataka wafanye nini.Uchaguzi huu utathibitisha ukweli kuwa Tanzania haina wapinzani na hawa waliopo ni Wajasiriasiasa......wanasaka fursa tu wapate kuishi!
Mpinzani wa kweli unaanzia wapi kumzuia?!!Kivipi, wakati hawatakiwi kushiriki, sasa kwa akili yako unataka wafanye nini.
Kumbe mmeambiwa mjaze fomu hizo kwa makosa ili itokee kilichotokea. Nia na madhumuni kuwaaminisha wananchi pamoja na mabeberu kuwa mnaonewa na serikali ya Rais Magufuli. Tumewastukia.Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni Kata ya Kigamboni, Mtaa wa Feri Wagombea wote wa upinzani Hawajateuliwa.
Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo Kata ya Mabibo Mtaa wa Matokeo Wagombea wote wa Upinzani Hawajateuliwa.
Jimbo la Ubungo, Kata ya Manzese: Mtaa Chakula Bora - Wagombea wote wa upinzani wameondolewa na CCM wote kupitishwa
Ruangwa, Lindi: wagombea wote wa vyama vya upinzani wameondolewa. Pia taarifa kutoka Liwale Mkoa huo huo wa Lindi viongozi wote wa upinzani wanatafutwa na vyombo wa dola
Mtaa wa Jitegemee kata ya Mabibo Maelekezo ya Kitowateuwa Wagombea wetu wa ACT Wazalendo na Vyama Vyengine Vya Upinzani kwa Nafasi zote na Kuwapitisha CCM peke yao
Mtaa wa Golani, Kata ya Kimara kwa Wagombea Wote ACT Wazalendo na Chadema Wamekatwa na Msimamizi kutekeleza Maagizo
CCM kimepita bila kupingwa katika vijiji 12 kati ya 62 na vitongoji 110 kati ya 294 vya jimbo la Hai baada ya wagombea wa vyama vya upinzani kutochukua fomu katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa,msimamizi wa uchaguzi katika jimbo hilo, Juma Masatu Kasoga amesema.
View attachment 1254688View attachment 1254689View attachment 1254690View attachment 1254691View attachment 1254692View attachment 1254693View attachment 1254694View attachment 1254695View attachment 1254696View attachment 1254697View attachment 1255167View attachment 1255259View attachment 1255257
Acheni kuhadaa wananchi kuficha mapungufu ya chama chenuHizo fomu za CHADEMA mtazisomea wapi wakati walipotaka kurejesha mlifunga milango ya ofisi?
Nahadaaje? Halafu nani ameziona hizo fomu zilizokataliwa na wale walikokuwa wamepewa maelekezo?Acheni kuhadaa wananchi kuficha mapungufu ya chama chenu
Forms zipo for verificationNahadaaje? Halafu nani ameziona hizo fomu zilizokataliwa na wale walikokuwa wamepewa maelekezo?
Kwenye kata yangu kwa siku 7 zote wagombea wa CHADEMA walifanya kila waliwezalo kupewa fomu za kugombea na ikashindikana!! Hakuna anayelalamika bali watu wanaelezea hali halisi ilivyokuwa!!Forms zipo for verification
Jikoni wameagiza ndege nyingine mbili na wamelipa cash, sasa sijui unamaanisha jikoni wapi hakuna pesa?Nani kakudanganya?!
Nani kasema hakuna pesa?!!Jikoni wameagiza ndege nyingine mbili na wamelipa cash, sasa sijui unamaanisha jikoni wapi hakuna pesa?