Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acheni upumbavu...hayo mambo ya kuenguliwa yameanza na Magufuli 2019... mtu akikosea si anatakiwa tu arekebishe? Viongozi wa serikali ya mitaa wote wakiwa na kazi maaalum watawahudumia saa ngapi wananchi? Ccm yenye wagombea wengi yenyewe kila kitu kiko sawa? Acheni upumbavuKanuni za sheria ya uchaguzi wa viongozi wa serikali za mitaa zinasema:
1. Umri wa mgombea ni kuanzia miaka miaka 21. Chadema inateua wagombea wa umri wa miaka 18 hadi 20.
2. Mgombea awe anajua kusoma na kuandika kiswahili na kiingereza. Chadema inaweka wagombea ambao hawawezi hata kuandika majina yao kwa usahihi.
3.Mgombea hatakiwi kuwa na ugonjwa wa akili. Chadema inaweka wagombea wenye akili zilizoathiriwa na madawa ya kulevya, bangi, viroba, wenye mafaili Mirembe, C1 etc
4. Mgombea lazima awe na kazi rasimu inayomupatia kipato cha uhakika cha kuendeshea maisha yake. Chadema inaweka wagombea ambao ni jobless, wapiga debe, matapeli, panya roads, waganga njaa, wasio na uhakika kama kesho watakula, wazururaji, machangudoa etc
5. Mgombea lazima awe ni mwanachama hai wa chama chake. Chadema inaweka wagombea ambao hawana hata kadi ya uanachama wa chadema.
6. Mgombea asiwe alishawahi kuhukumiwa na kufungwa jela kwa zaidi ya miezi 6 kwa kosa la jinai. Chadema inaweka wagombea ambao walishawahi kufungwa jela kwa makosa ya ujambazi, wizi, ubakaji, ukabaji, utekaji na kadhalika.
7. Mgombea lazima awe ni raia wa Tanzania. Chadema wanaweka wagombea ambao hawa kadi au namba ya NIDA.
8. Mgombea lazima awe ameshajiandikisha kwenye daftari la uchaguzi wa serikali za mitaa. Chadema inaweka wagombea ambao hawakujiandikisha kwenye daftari hilo.
10. Na kadhalika. Yaani vyama vya upinzani kwa kujua au lutojua havizingatii sheria na kanuni za kuteua wagombea wa uongozi wa serikali za mitaa. Vimekuwa ni makokoro ya mtu yo yote kuwa mgombea. Hili haliwezi kukubalika. Lazima hao wasio na sifa za kisheria waenguliwe.
Eti machafuko labda machafuko ya nyumbani kwako au tumboni mwako. Usitutishe. Fuateni taratibu.Upuuzi mtupu! Mnachokifanya kwa wapinzani, mnatafuta machafuko! Msifikiri watu ni wajinga kama machawa wa ccm! Matokeo ya mnayo yafanya mtayaona! Hamkujifunza kwa magufuli bado mnaendeleza upumbafu na ulimbukeni wa madaraka mnaona ni sifa! Na mnategemea uchaguzi wa amani??? Mashetani ninyi! Upinzani wamewakosea nini! Hakuna mwanaccm kamili anayependa upumbavu huu mnaoufanya, wote wanaofanya ujinga huu awe mkurugezi, au nani ni watu wajinga haijalishi ana cheo gani huyo ni shetani ambaye ana ngozi ya binadamu! Inawezekanaje upinzani tu ndio wanaokosea????? Alafu mnatuambia tuwaombee ninyi??? Ety Tanzania ni kisiwa cha amani kwa upumbavu huu mapigo ya Mungu yatashuka! Magufuli alitaka kujimilikisha tanzania iwe ya chama kimoja alafu bila unqfiki akaenda kuinua biblia anaapa na anajua ujinga alioufanya akafikiri Mungu ni mpumbavu kama yeye! Kilichompata kasome kisa cha herode! Mungu hadhihakiwi unachokipanda utakivuna msifikiri Mungu hayupo, matokeo yake hakufaidi hata mwaka mmoja na maccm wenzake walioingia kwa dhuluma! Na kwa taarifa zenu wale wote walioshiriki uharamia wa 2020 uwe mkurugezi, waziri, sijui nani polisi, wengi wamekufa vifo vya ajabu, na waliobaki ni kwa huruma za Mungu na wasifikiri kwamba wana akili sana ni neema ya Mungu tu anawasubiri watubu! Kwa nini nyie viongozi msitende haki mmeapa kwa kuinua misaafu na biblia kuitetea katiba, mbona nyie ni wanafiki sana mnafikiri Mungu ni mjinga????? Mnajali matumbo yenu ila kujali wezenu ambao ni vyama vya upinzani mnawaona kama ni maadui zenu????? Upumbavu huu magufuli aliounzisha na kujaza makada wenye njaa kwenye uongozi ndio matokeo ya tunayoyaona! Sasa badala ya kuwaombea tutaomba Mungu ashugulike na kila anayefanya kinyume na alichoapa kukitenda! Hatuwezi kuendelea kuishi maisha ya namna hii! Chadema sio watu????? Kwa nini msiwaelimishe na kurekebisha hayo makosa madogo mnayoyasema kama kweli wewe kiongozi una upendo mbona kipindi cha kikwete ujinga huu haukuepo??? Acha kutufanya watanzania wote kuwa ni wajinga! Mimu ni mwanaccm na nampenda mama kwa kazi nzuri lakini kwa ujinga huu na upumbavu kama na yeye anahusika ! Mungu ashugulike na yeye na kama ni wa chini yake Mungu ajua? Maana yeye huwezi kumficha kitu!
Kagonga nyundo ya utosini eenh?
Kwani uchaguzi huu ni wa Chadema na CCM tu! Naona mimba changa inakusumbua, nitakutumia embe changa za Tanga na udongo wa Kigoma.Kanuni za sheria ya uchaguzi wa viongozi wa serikali za mitaa zinasema:
1. Umri wa mgombea ni kuanzia miaka miaka 21. Chadema inateua wagombea wa umri wa miaka 18 hadi 20.
2. Mgombea awe anajua kusoma na kuandika kiswahili na kiingereza. Chadema inaweka wagombea ambao hawawezi hata kuandika majina yao kwa usahihi.
3.Mgombea hatakiwi kuwa na ugonjwa wa akili. Chadema inaweka wagombea wenye akili zilizoathiriwa na madawa ya kulevya, bangi, viroba, wenye mafaili Mirembe, C1 etc
4. Mgombea lazima awe na kazi rasimu inayomupatia kipato cha uhakika cha kuendeshea maisha yake. Chadema inaweka wagombea ambao ni jobless, wapiga debe, matapeli, panya roads, waganga njaa, wasio na uhakika kama kesho watakula, wazururaji, machangudoa etc
5. Mgombea lazima awe ni mwanachama hai wa chama chake. Chadema inaweka wagombea ambao hawana hata kadi ya uanachama wa chadema.
6. Mgombea asiwe alishawahi kuhukumiwa na kufungwa jela kwa zaidi ya miezi 6 kwa kosa la jinai. Chadema inaweka wagombea ambao walishawahi kufungwa jela kwa makosa ya ujambazi, wizi, ubakaji, ukabaji, utekaji na kadhalika.
7. Mgombea lazima awe ni raia wa Tanzania. Chadema wanaweka wagombea ambao hawa kadi au namba ya NIDA.
8. Mgombea lazima awe ameshajiandikisha kwenye daftari la uchaguzi wa serikali za mitaa. Chadema inaweka wagombea ambao hawakujiandikisha kwenye daftari hilo.
10. Na kadhalika. Yaani vyama vya upinzani kwa kujua au lutojua havizingatii sheria na kanuni za kuteua wagombea wa uongozi wa serikali za mitaa. Vimekuwa ni makokoro ya mtu yo yote kuwa mgombea. Hili haliwezi kukubalika. Lazima hao wasio na sifa za kisheria waenguliwe.
Wanao ahirisha kufikiri kisiasa kwa nafsi zao mimi nina ufafanuzi wao, huu hapa, unaitwa unyumbu wa kisias.Nchii hii inavituko sana,hivi ni kweli waliopewa dhamana wanaitakia hii nchi mwema?
Siku tatu za kukata rufaa ni kiini macho,hata wazisikilize hizo rufaa kwa masaa24 hawataweza kuzimaliza,
Hata hivyo huo ni mkakati wa chama na serikali.
Kwa maana hiyo suala la rufaa sio mwarobaini wa tatizo hilo.
Na kwa mtazamo wangu hata uelewa kwa wasimamizi ni mdogo kwa sababu kila mmoja ana kununi zake binafsi.
This one day never come until you change and reactHakuna kitu apo sema upande wa pili mnabebwa na dola,ila one day yes
Eti machafuko labda machafuko ya nyumbani kwako au tumboni mwako. Usitutishe. Fuateni taratibu
Eti machafuko labda machafuko ya nyumbani kwako au tumboni mwako. Usitutishe. Fuateni taratibu
Umeenguliwa nini? Maana si povu hilo.
Majanga!
Watu sio wajinga huko mtaani watendaji, (wawakilishi), wenu watashindwa kufanya kazi kikamilifu,Upuuzi mtupu! Mnachokifanya kwa wapinzani, mnatafuta machafuko! Msifikiri watu ni wajinga kama machawa wa ccm! Matokeo ya mnayo yafanya mtayaona! Hamkujifunza kwa magufuli bado mnaendeleza upumbafu na ulimbukeni wa madaraka mnaona ni sifa! Na mnategemea uchaguzi wa amani??? Mashetani ninyi! Upinzani wamewakosea nini! Hakuna mwanaccm kamili anayependa upumbavu huu mnaoufanya, wote wanaofanya ujinga huu awe mkurugezi, au nani ni watu wajinga haijalishi ana cheo gani huyo ni shetani ambaye ana ngozi ya binadamu! Inawezekanaje upinzani tu ndio wanaokosea????? Alafu mnatuambia tuwaombee ninyi??? Ety Tanzania ni kisiwa cha amani kwa upumbavu huu mapigo ya Mungu yatashuka! Magufuli alitaka kujimilikisha tanzania iwe ya chama kimoja alafu bila unqfiki akaenda kuinua biblia anaapa na anajua ujinga alioufanya akafikiri Mungu ni mpumbavu kama yeye! Kilichompata kasome kisa cha herode! Mungu hadhihakiwi unachokipanda utakivuna msifikiri Mungu hayupo, matokeo yake hakufaidi hata mwaka mmoja na maccm wenzake walioingia kwa dhuluma! Na kwa taarifa zenu wale wote walioshiriki uharamia wa 2020 uwe mkurugezi, waziri, sijui nani polisi, wengi wamekufa vifo vya ajabu, na waliobaki ni kwa huruma za Mungu na wasifikiri kwamba wana akili sana ni neema ya Mungu tu anawasubiri watubu! Kwa nini nyie viongozi msitende haki mmeapa kwa kuinua misaafu na biblia kuitetea katiba, mbona nyie ni wanafiki sana mnafikiri Mungu ni mjinga????? Mnajali matumbo yenu ila kujali wezenu ambao ni vyama vya upinzani mnawaona kama ni maadui zenu????? Upumbavu huu magufuli aliounzisha na kujaza makada wenye njaa kwenye uongozi ndio matokeo ya tunayoyaona! Sasa badala ya kuwaombea tutaomba Mungu ashugulike na kila anayefanya kinyume na alichoapa kukitenda! Hatuwezi kuendelea kuishi maisha ya namna hii! Chadema sio watu????? Kwa nini msiwaelimishe na kurekebisha hayo makosa madogo mnayoyasema kama kweli wewe kiongozi una upendo mbona kipindi cha kikwete ujinga huu haukuepo??? Acha kutufanya watanzania wote kuwa ni wajinga! Mimu ni mwanaccm na nampenda mama kwa kazi nzuri lakini kwa ujinga huu na upumbavu kama na yeye anahusika ! Mungu ashugulike na yeye na kama ni wa chini yake Mungu ajua? Maana yeye huwezi kumficha kitu!
Bara la Giza.Kanuni za sheria ya uchaguzi wa viongozi wa serikali za mitaa zinasema:
1. Umri wa mgombea ni kuanzia miaka miaka 21. Chadema inateua wagombea wa umri wa miaka 18 hadi 20.
2. Mgombea awe anajua kusoma na kuandika kiswahili na kiingereza. Chadema inaweka wagombea ambao hawawezi hata kuandika majina yao kwa usahihi.
3.Mgombea hatakiwi kuwa na ugonjwa wa akili. Chadema inaweka wagombea wenye akili zilizoathiriwa na madawa ya kulevya, bangi, viroba, wenye mafaili Mirembe, C1 etc
4. Mgombea lazima awe na kazi rasimu inayomupatia kipato cha uhakika cha kuendeshea maisha yake. Chadema inaweka wagombea ambao ni jobless, wapiga debe, matapeli, panya roads, waganga njaa, wasio na uhakika kama kesho watakula, wazururaji, machangudoa etc
5. Mgombea lazima awe ni mwanachama hai wa chama chake. Chadema inaweka wagombea ambao hawana hata kadi ya uanachama wa chadema.
6. Mgombea asiwe alishawahi kuhukumiwa na kufungwa jela kwa zaidi ya miezi 6 kwa kosa la jinai. Chadema inaweka wagombea ambao walishawahi kufungwa jela kwa makosa ya ujambazi, wizi, ubakaji, ukabaji, utekaji na kadhalika.
7. Mgombea lazima awe ni raia wa Tanzania. Chadema wanaweka wagombea ambao hawa kadi au namba ya NIDA.
8. Mgombea lazima awe ameshajiandikisha kwenye daftari la uchaguzi wa serikali za mitaa. Chadema inaweka wagombea ambao hawakujiandikisha kwenye daftari hilo.
10. Na kadhalika. Yaani vyama vya upinzani kwa kujua au lutojua havizingatii sheria na kanuni za kuteua wagombea wa uongozi wa serikali za mitaa. Vimekuwa ni makokoro ya mtu yo yote kuwa mgombea. Hili haliwezi kukubalika. Lazima hao wasio na sifa za kisheria waenguliwe.
mbona unataja chadema tu? vyama vingine je?Kanuni za sheria ya uchaguzi wa viongozi wa serikali za mitaa zinasema:
1. Umri wa mgombea ni kuanzia miaka miaka 21. Chadema inateua wagombea wa umri wa miaka 18 hadi 20.
2. Mgombea awe anajua kusoma na kuandika kiswahili na kiingereza. Chadema inaweka wagombea ambao hawawezi hata kuandika majina yao kwa usahihi.
3.Mgombea hatakiwi kuwa na ugonjwa wa akili. Chadema inaweka wagombea wenye akili zilizoathiriwa na madawa ya kulevya, bangi, viroba, wenye mafaili Mirembe, C1 etc
4. Mgombea lazima awe na kazi rasimu inayomupatia kipato cha uhakika cha kuendeshea maisha yake. Chadema inaweka wagombea ambao ni jobless, wapiga debe, matapeli, panya roads, waganga njaa, wasio na uhakika kama kesho watakula, wazururaji, machangudoa etc
5. Mgombea lazima awe ni mwanachama hai wa chama chake. Chadema inaweka wagombea ambao hawana hata kadi ya uanachama wa chadema.
6. Mgombea asiwe alishawahi kuhukumiwa na kufungwa jela kwa zaidi ya miezi 6 kwa kosa la jinai. Chadema inaweka wagombea ambao walishawahi kufungwa jela kwa makosa ya ujambazi, wizi, ubakaji, ukabaji, utekaji na kadhalika.
7. Mgombea lazima awe ni raia wa Tanzania. Chadema wanaweka wagombea ambao hawa kadi au namba ya NIDA.
8. Mgombea lazima awe ameshajiandikisha kwenye daftari la uchaguzi wa serikali za mitaa. Chadema inaweka wagombea ambao hawakujiandikisha kwenye daftari hilo.
10. Na kadhalika. Yaani vyama vya upinzani kwa kujua au lutojua havizingatii sheria na kanuni za kuteua wagombea wa uongozi wa serikali za mitaa. Vimekuwa ni makokoro ya mtu yo yote kuwa mgombea. Hili haliwezi kukubalika. Lazima hao wasio na sifa za kisheria waenguliwe.
Miaka zaidi ya 30 watu bado hawajui kujaza form za kugombea upngozi🤣🤣🤣🤣. Huu ujuha kuna muda utatugharimu.Kanuni za sheria ya uchaguzi wa viongozi wa serikali za mitaa zinasema:
1. Umri wa mgombea ni kuanzia miaka miaka 21. Chadema inateua wagombea wa umri wa miaka 18 hadi 20.
2. Mgombea awe anajua kusoma na kuandika kiswahili na kiingereza. Chadema inaweka wagombea ambao hawawezi hata kuandika majina yao kwa usahihi.
3.Mgombea hatakiwi kuwa na ugonjwa wa akili. Chadema inaweka wagombea wenye akili zilizoathiriwa na madawa ya kulevya, bangi, viroba, wenye mafaili Mirembe, C1 etc
4. Mgombea lazima awe na kazi rasimu inayomupatia kipato cha uhakika cha kuendeshea maisha yake. Chadema inaweka wagombea ambao ni jobless, wapiga debe, matapeli, panya roads, waganga njaa, wasio na uhakika kama kesho watakula, wazururaji, machangudoa etc
5. Mgombea lazima awe ni mwanachama hai wa chama chake. Chadema inaweka wagombea ambao hawana hata kadi ya uanachama wa chadema.
6. Mgombea asiwe alishawahi kuhukumiwa na kufungwa jela kwa zaidi ya miezi 6 kwa kosa la jinai. Chadema inaweka wagombea ambao walishawahi kufungwa jela kwa makosa ya ujambazi, wizi, ubakaji, ukabaji, utekaji na kadhalika.
7. Mgombea lazima awe ni raia wa Tanzania. Chadema wanaweka wagombea ambao hawa kadi au namba ya NIDA.
8. Mgombea lazima awe ameshajiandikisha kwenye daftari la uchaguzi wa serikali za mitaa. Chadema inaweka wagombea ambao hawakujiandikisha kwenye daftari hilo.
10. Na kadhalika. Yaani vyama vya upinzani kwa kujua au lutojua havizingatii sheria na kanuni za kuteua wagombea wa uongozi wa serikali za mitaa. Vimekuwa ni makokoro ya mtu yo yote kuwa mgombea. Hili haliwezi kukubalika. Lazima hao wasio na sifa za kisheria waenguliwe.
Kwa haraka haraka una onekana kama una akili,lakini ukishakuwa mboga mboga huna tofauti na kibudu.Kagonga nyundo ya utosini eenh?
Wachana na mboga mboga jibu hoja zake.Kwa haraka haraka una onekana kama una akili,lakini ukishakuwa mboga mboga huna tofauti na kibudu.
Hoja za kipumbavuWachana na mboga mboga jibu hoja zake.