LGE2024 Uchaguzi serikali za mitaa: Mamia ya wagombea wa upinzani waenguliwa, waapa 'kutosusia shamba'

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Mimi sio chawa kama wewe mkuu kusifia sifia kilq kitu ukikosea nitakuambia usifikiri wote walio ccm ni machawa mkuu! Hatufurahishwi na vitendo vya kihuni vinavyofanyika hususani kwa wapinzani haijalishi kafanya nani hata kama ni mama mimi hata kama nina kadi ya ccm nitamkea kwa nguvu zote maana asiyetenda haki ni shetani tu mkuu

Katika hili watoto wa Mungu ni dhahiri, na watoto wa Ibilisi nao. Mtu ye yote asiyetenda haki hatokani na Mungu, wala yeye asiyempenda ndugu yake.

1 Yohana 3:10
 
kondoo mjiite wenyewe halafu unikasirikie mimi?

Majanga.
 
Andiko lako lilieleweka vizuri huko juu; lakini ukamaliza kwa kujichanganya mwenyewe. Unampenda mama kwa kazi nzuri ipi hasa? Huu ndio unafiki usio kuwa na tija.
Mimi sio chawa kama wewe mkuu kusifia sifia kilq kitu ukikosea nitakuambia usifikiri wote walio ccm ni machawa mkuu! Hatufurahishwi na vitendo vya kihuni vinavyofanyika hususani kwa wapinzani haijalishi kafanya nani hata kama ni mama mimi hata kama nina kadi ya ccm nitamkea kwa nguvu zote maana asiyetenda haki ni shetani tu mkuu

Katika hili watoto wa Mungu ni dhahiri, na watoto wa Ibilisi nao. Mtu ye yote asiyetenda haki hatokani na Mungu, wala yeye asiyempenda ndugu yake.

1 Yohana 3:10
 
Huna jipya, watu tupo G wewe bado upo 2G.

Umechelewa jamvini karamu imeshaliwa.
HAAaaah!
Najuwa ujumbe niliotaka kuufikisha umefika.

Wakati mpo G, mbona tayari nipo 5G au hujui kitu kuhusu hilo?

"Jipya" unalojuwa wewe ni CCM kutekwa na "walevi" wa aina yako. Hilo ndilo jipya kwenu. Sasa subiri uone matokeo yake yatakuwa vipi, wakati kila mwenye kutaka kujuwa sasa anajuwa chama kilipo zamia!
 
Duh!

Mkuu 'neno', mtu kama wewe ni wa kumwonea huruma tu, maana inaonekana huna fikra na uwezo wa kuchambua na kutambua hali unayo izungumzia.
Nilipo soma bandiko lako la mwanzo, nilikubaliana na yote uliyo eleza hadi nilipo fika kwenye ile sehemu niliyo nyanyua na kukujibu.
Ungekuwa ni mtu mwenye kutambua hali ilivyo huko ndani ya chama chenu, hayo maneno uliyo andika huko mwisho kamwe usinge yaandika.

Mwisho: Kama na wewe tayari ni mwendeshwa "ulevi" wa hizo "Yohana", nakushauri nenda kaungane na "walevi" wenzako, akina FaizaFx'' ambao sasa ndio mnao pambania chama nao huko huko ndani ya CCM. Sasa sijui hicho chama kitakuwaje kikiwa na upambanaji wa walevi!
Kama hutaelewa nilicho andika hapa, utakuwa na matatizo mwenyewe ya kutotaka kuelewa.
 
Wewe ni mpumbavu sana aisee.
Watoto wako wana hasara sana.
 
Visingizio baada ya kuona hawana ushawishi matokeo yake ndio haya hapa 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DCR5j8-uLPy/?igsh=cWQ4aGM5N3UxaGVl
Chadema tokeni mitandaoni,mna mambo ya utoto sana yaani 90% ya watu hawana smartphone so porojo za mitandaoni hazitawasaidia.
 
Hahaha 🙄🙄🙄kwahiyo ni cdm tu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…