Uchaguzi 2020 Uchaguzi tarehe 28; CHADEMA inapoteza kila kitu

Duh kwa ID name yako ngoja ninyamaze, I may end up exchanging my food of thought with an unmatched one.
 
Duh kwa ID name yako ngoja ninyamaze, I may end up exchanging my food of thought with an unmatched one.
Habari za mwisho wa CCM huwa tunazizikia kila mwaka wa uchaguzi, 1995, 2000, 2005, 2010, 2015 na leo 2020! Kwa utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi, utendaji ulioboreshwa , imani ya wa Tanzania hakika tuvuka 2020 na kumpa JPM miaka 5 mingine!
 
Ivi kwa mfano wabunge waote wakawa CCM na madiwani wooote wakawa CCM wote nal Laisi akawa ccm nn kitatokea hapo bila upinzani???
 
Ivi kwa mfano wabunge waote wakawa CCM na madiwani wooote wakawa CCM wote nal Laisi akawa ccm nn kitatokea hapo bila upinzani???
Usiniulize Mimi, Kama wanazengo wameamua hivo hiyo Demokrasia itakuwa imechukua mkondo wake!
 
Serious lissu alikosea hesabu kumtanguliza amsterdam na the hague kwenye hii battle, wengi tunamchukulia kama dalali wao kwetu
Na watu watataka watume a clear massage kwa Mababeru.
Watanzania when it comes kusimama na Nchi yao, no negotiations!
 
Hata Lisu mwenyewe anafahamu kuwa hatashinda ndio maana akaandaa tiketi kabisa,

Yeye kaja kutalii tu, akishamaliza lake huyoo anarejea belgium.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…