Sio cha mchezo mchezo kwa systemic election manoeuvres. (Wizi wa kura na unfair playing ground) Otherwise ccm imechokwa.CCM sio chama cha mchezo mchezo.
Kama kuna mgombea anadhani anaweza kuishinda CCM kwa kutumia twitter, anajidanganya sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio cha mchezo mchezo kwa systemic election manoeuvres. (Wizi wa kura na unfair playing ground) Otherwise ccm imechokwa.CCM sio chama cha mchezo mchezo.
Kama kuna mgombea anadhani anaweza kuishinda CCM kwa kutumia twitter, anajidanganya sana.
Sasa si ndio utaratibu wa Demokrasia, kwamba Mgombea Sharti ajinadi na aombe kura. Na nyie fanyeni nani amewashika mikono;Ingekua imepotea msingekua mnatumia mitandao ya simu na sport pesa kuwaambia watu wamchague jiwe ilhali mmejaza mabango yake Tz nzima..
Kabisa mkuu.si umeona tume kumsimamisha.mara kimbunga usiende kilwa mara mabomu aibu tupuaka mbeleko za chama mbogamboga
Demokrasia gani hiyo mwanaccm anayohubiri? Tume, bunge, Vyombo vya dola,mahakama,vyombo vya habari mmevikamata haswa halafu unaniambia habari ya demokrasia au kuna demokrasia ya aina nyingine ndani ya ccm?Sasa si ndio utaratibu wa Demokrasia, kwamba Mgombea Sharti ajinadi na aombe kura. Na nyie fanyeni nani amewashika mikono;
Wanamfanyia kampeni,sijui hilo wanalijuaKabisa mkuu.si umeona tume kumsimamisha.mara kimbunga usiende kilwa mara mabomu aibu tupu
Kwani lisu ni raisi. Angalia chato wenyewe ambavyo hawamtaki jiwe. Hata kwao hawamtaki unataka tumtake sisiUnazungumzua kuzomewa, Lissu alipopomolewa mawe kabisa Chato.
Na Yale mabomu somanga ni utaratibu?. Mnajitahidi sana kutetea kamungu kenu hata pale kanapofanya Dhambi.Sasa si ndio utaratibu wa Demokrasia, kwamba Mgombea Sharti ajinadi na aombe kura. Na nyie fanyeni nani amewashika mikono;
Ugumu wa maisha ya watanzaniandio utawafunza kuchagua kwa hekima miaka minne imewafunza sanaKuna watu humu wanajipa moyo eti CHADEMA hii ya Lissu, Mbowe, Mnyika, Heche, Halima, Bulaya Matiko na Wenzake wanaweza kuishinda CCM ya Magufuli, Bashiru Ali, Mangula, na mfumo mzima wa Chama Cha Mapinduzi..
Ila pia yafaa kuchukua sample ya moshi unaotumika kama malengo ni yale yaliokusudiwa,kwani wasiyempenda kawarudia.Kabisa mkuu.si umeona tume kumsimamisha.mara kimbunga usiende kilwa mara mabomu aibu tupu
Kuna watu humu wanajipa moyo eti CHADEMA hii ya Lissu, Mbowe, Mnyika, Heche, Halima, Bulaya Matiko na Wenzake wanaweza kuishinda CCM ya Magufuli, Bashiru Ali, Mangula, na mfumo mzima wa Chama Cha Mapinduzi..
Sasa si mvichukue na nyingi Kama mna uwezo huo!Demokrasia gani hiyo mwanaccm anayohubiri? Tume, bunge, Vyombo vya dola,mahakama,vyombo vya habari mmevikamata haswa halafu unaniambia habari ya demokrasia au kuna demokrasia ya aina nyingine ndani ya ccm?
Hahahaaaa tunasema amewajiliaIla pia yafaa kuchukua sample ya moshi unaotumika kama malengo ni yale yaliokusudiwa,kwani wasiyempenda kawarudia.
Wameshakueleza, hakuwa na ratiba ya mkutano hapo. Anataka kuongoza Nchi halafu hataki kuheshimu Sheria zilizotungwa na Watanzania kipitia Bunge laoNa Yale mabomu somanga ni utaratibu?. Mnajitahidi sana kutetea kamungu kenu hata pale kanapofanya Dhambi.
Ni lini Watanzania waliwahi kuwa na maisha Mepesi. Labda yamekuwa magumu kwa kina Fatuma Karume, Maria Sarungi and the Co. Watanzania wengine maisha ni Yale yale!Ugumu wa maisha ya watanzaniandio utawafunza kuchagua kwa hekima miaka minne imewafunza sana
Mzee,ujumbe wangu PM huioni.?Bora sema wewe, tukisema sisi, tutanyooshewa vidole vya Makada!.
P
Hatutaki Rais dikteta ,sauti za wananchi kuzizima, bunge letu kuwa kibogoyo, Radio zote kutangaza habari za ccm,magazeti yote kutangaza habari za ccm,watu kupigwa risasi ovyo na hakuna hatua zozote zilizochukuliwa ,kulagai wakulima kuwa nitanunua mazao lakini ndio kwanza mazao yamekufa ,korosho hola,alizeti hola,mpunga hola,kahawa hola biashara nyingi zimefungwa sasa serikali ya namna hii ni ya nini huyu ni Idd Amini wa Tanzania hafai hata kwa kulumagia
Tutaonana 28/10Hakuna anayehangaika, bali tunajaribu kuwatoa Makamanda kwenye ndoto kali.