Uchaguzi 2020 Uchaguzi tarehe 28; CHADEMA inapoteza kila kitu

Uchaguzi 2020 Uchaguzi tarehe 28; CHADEMA inapoteza kila kitu

Kwel nmeamn mtu akizeeka pia akili huzeeka
Nanasi juzaa nanasi,chungwa huzaa chungwa, nyanya huzaa nyanya...hivyo hivyo baba "snitch" huzaa mtoto "snitch", huwezi kupanda nanasi ukavuna chungwa! Kaniki ni rangi yake hata ukimsafisha kwa OMO. Kuishi kwingi kuona mengi, kuona mengi kujua mengi, kujua mengi ni mateso na wengi tunateseka na tutaendelea kuteseka.
 
We unafikiri kwa Nini watu wanajaa wengi sana kwenye mikutano ya lisu japo Hana promo ya wasanii na tv zote zimezuiliwa! Jpm amecomand mpaka mitandao ya simu imuandike yeye tu lakini watu bado wanamkimbilia lisu. Hujiulizi kuwa watanzania hawalitaki li jiwe
Watu gani wanajaa, unajua hii Nchi Ina watu wangapi!? Unajua wapiga kura wako wangapi! Nenda kaangalie mikutano ya Dr.Slaa kipindi hicho halafu ndio utajua. Kura hazipatikani kwa kufanya mikutano na kujaza watu, kura zinapatikana kwa mikakati kabambe, CCM wanatafuta kura kuanzia ngazi ya Nyumba kumi hadi na Taifa. Wakati nyie Lissu anadhurura peke yake, WanaCCM wako busy inchi nzima kila mtaa, kila Kijiji, kila kata, kila tarafa, kila Willya na kila Mkoa na hapa ndipo siku zote Mnapigwa. Mkutano unajaza Bodaboda ambao hata hawakujiandikisha na wale waliojiandikisha tareh. 28 watakuwa busy wakila vichwa kuvipeleka na kuvitoa kwenye maeneo ya kupigia kura. Bodaboda gani atapaki Bodaboda yake akatumie three hrs eti kumchagua Lissu eti kisa wakati wa Kampeni alimjazia wese.
 
Kuna watu humu wanajipa moyo eti CDM hii ya Lissu, Mbowe, Mnyika, Heche, Halima, Bulaya Matiko na Wenzake wanaweza kuishinda CCM ya Magufuli, Bashiru Ali, Mangula, na mfumo mzima wa Chama Cha Mapinduzi.

Kama Kuna mtu anawaza hivo na anamanisha na ana amini Mawazo yake hayo yanaweza kuwa uhalisia, basi huyo ana tatizo kubwa sana kifikira.

Uchaguzi huu CDM iliyopalaganyika ikiwa inamtegemea mtu mmoja inakwenda kupambana na:
1. Rais Magufuli
2.Chama Cha Mapinduzi.
3.Watanzania

1.Rais Magufuli.
Rais Magufuli tangu aingie Madarakani amekuwa akifanya baadhi ya Mambo ambayo yanakuwa reflected Kama ya kwake.Hali hii imemfanya pengine awe maarufu kuliko hata Chama chake. Magufuli amejijengea ufalme wake ndani ya mioyo ya Watanzania, siyo lazima akubalike na wote na hakuna anayetegemea iwe hivo, lakini ukweli umaarufu wake unamfanya yeye Kama yeye apate kura ambazo atapigiwa yeye Kama Magufuli, na nyingi ni zile za wasio na Chama.

Hizi kelele za mitandaoni dhidi ya JPM ukizifatilia ni za wale wale, hata thread humu ukiangalia wale wale ndio wanakoment, lakini waulize je Mama zao, Dada zao, wajomba zao, shangazi zao, Babu zao na Bibi zao wanaijua Facebook, wanaijua JF, wanaijua tweeter au Instagram. Jibu wanalo, je hoja ya Uhuru na maendeleo ya vitu inaeleweka kwa Hawa watu. Mtu ambaye hakuwahi kuona umeme( sizungumzii Maria Sarungi Wala Fatuma Katume, na Hawa hawafiki hata 5000) leo kauona umeme unaweza kumueleza asimchague Magufuli eti kwakuwa amemnyima Uhuru wakati anaenda kanisani, anapiga simu, anaenda sokoni anaenda shambani Bila wasiwasi akakuelewa?.

2. Chama Cha Mapinduzi.
Dubwasha linalotisha, Dude hatari Barani Africa, dude ambalo Lina historia ya kuwaweka viongozi kadhaa wa Afrika Madarakani. Hili dude Lina vichwa, Lina Consultants, lina rasilimali watu na fedha za kutosha, Lina uzoefu wa kutosha katika anga hii ya siasa. Halafu Kuna mtu anawaza linaweza kushindwa na mtu anaitwa Tundu Lissu.
Hebu angalia muundo was CCM kuanzia hapo kwenye mtaa unaoishi, angalia kwa sasa kwenye eneo lako la nyumbani kumi muundo wa CCM, angalia WanaCCM hao katika muundo huo katika eneo Hilo la nyumba kumi walivyojipanga na wanavyoendelea kuzisanya kura kwa ajiri ya CCM. Sasa unaona, Kuna kura za Magufuli ambazo atazipata yeye na kura ambazo Chama Cha Mapinduzi kitazipata. Hali hii iliwahi kutokea mwaka 2005 ambapo Jakaya Mrisho Kikwete yeye Kama yeye alipigiwa kura na CCM nayo ikapata kura zilivyounganishwa mkwere akapiga 80%. Lakini 2010 watu wakawa hawana hamu naye, lakini Chama Cha Mapinduzi kikamtafutia kura. Akapiga 61% Kama sikosei, hizi zilikuwa za Chama.

Najua wengi mmejaa kwenye Social Media, hamupo field, hamuoni huo muundo ulivyo hatari. CDM is no where, katika level hizi, CDM ipo mgongoni kwa Lissu. Upande mwingine Kuna CCM Kuna Magufuli na Kuna CCM.
Sasa ukiangalia hali ilivo Sasa unaona kabisa atapigiwa parefu, lakini bahati mbaya hata upande wa Wabunge Mambo ni magumu mno. Majimbo ambayo siku za nyuma yalikuwa ni hoja isiyobishaniwa Sasa mwaka huu ni hoja nzito, Pale Mbeya Sugu amekamatwa Ke....nde, na Dr. Tulia, Lema ameshikwa Pu....bu, na Gambo, hapo Arusha, Mbowe jasho linatirtika hadi kwenye meno, Mzee wa Kondoo wa bwana anapumulia Kisogo Cha Halima. CDM ni Kama wapo kwenye furushi ambalo tarehe 28 linadondoka.

3. Watanzania.
Sisi tunayo Kariba ambayo tumejengewa na Mzee Baba mwenyewe, Mchonga, Baba wa Taifa, Julius Kambarage Nyerere. Ni Kariba ambayo unaweza iita utakavyo kulinga a na muono wako, Njema sana, Mbaya, woga, au uungwana.
Watanzania tunapenda Amani Bila kujali gharama yake, Watanzania ni wavumilivu bila kujali gharama, Watanzania tunapenda uungwana sana, hatupendi Shari, lakini mbaya zaidi tunayo Imani Kali kuwa Mabeberu ni watu hatari, na watu wabaya sana. Lakini sisi ni wanafiki, Watanzania ukiwa na sisi tutakueleza hivi, ukitoka tunafanya tofauti, Tunakutanguliza halafu tunasikilizia, upepo ukibadilika tunaingia mitini!

Watanzania ukishaonyesha dalili za ushari, dalili za kuleta uvunjifu wa Amani au ukajinasibisha na Mababeru, au ukasingiziwa Mambo hayo, basi sisi Watanzania tunachofanya, tunakukwepa.
Tarehe 28 Watanzania bila kujali gharama, bila kujari Lissu anaahidi nini Watamkwepa, watajiepusha naye.
Msisahau hapa sijazungumzia swala la CCM kuwa Chama Dora!!

Nimevaa ngao🤣🤣🤣
Kuna watu humu wanajipa moyo eti CDM hii ya Lissu, Mbowe, Mnyika, Heche, Halima, Bulaya Matiko na Wenzake wanaweza kuishinda CCM ya Magufuli, Bashiru Ali, Mangula, na mfumo mzima wa Chama Cha Mapinduzi.

Kama Kuna mtu anawaza hivo na anamanisha na ana amini Mawazo yake hayo yanaweza kuwa uhalisia, basi huyo ana tatizo kubwa sana kifikira.

Uchaguzi huu CDM iliyopalaganyika ikiwa inamtegemea mtu mmoja inakwenda kupambana na:
1. Rais Magufuli
2.Chama Cha Mapinduzi.
3.Watanzania

1.Rais Magufuli.
Rais Magufuli tangu aingie Madarakani amekuwa akifanya baadhi ya Mambo ambayo yanakuwa reflected Kama ya kwake.Hali hii imemfanya pengine awe maarufu kuliko hata Chama chake. Magufuli amejijengea ufalme wake ndani ya mioyo ya Watanzania, siyo lazima akubalike na wote na hakuna anayetegemea iwe hivo, lakini ukweli umaarufu wake unamfanya yeye Kama yeye apate kura ambazo atapigiwa yeye Kama Magufuli, na nyingi ni zile za wasio na Chama.

Hizi kelele za mitandaoni dhidi ya JPM ukizifatilia ni za wale wale, hata thread humu ukiangalia wale wale ndio wanakoment, lakini waulize je Mama zao, Dada zao, wajomba zao, shangazi zao, Babu zao na Bibi zao wanaijua Facebook, wanaijua JF, wanaijua tweeter au Instagram. Jibu wanalo, je hoja ya Uhuru na maendeleo ya vitu inaeleweka kwa Hawa watu. Mtu ambaye hakuwahi kuona umeme( sizungumzii Maria Sarungi Wala Fatuma Katume, na Hawa hawafiki hata 5000) leo kauona umeme unaweza kumueleza asimchague Magufuli eti kwakuwa amemnyima Uhuru wakati anaenda kanisani, anapiga simu, anaenda sokoni anaenda shambani Bila wasiwasi akakuelewa?.

2. Chama Cha Mapinduzi.
Dubwasha linalotisha, Dude hatari Barani Africa, dude ambalo Lina historia ya kuwaweka viongozi kadhaa wa Afrika Madarakani. Hili dude Lina vichwa, Lina Consultants, lina rasilimali watu na fedha za kutosha, Lina uzoefu wa kutosha katika anga hii ya siasa. Halafu Kuna mtu anawaza linaweza kushindwa na mtu anaitwa Tundu Lissu.
Hebu angalia muundo was CCM kuanzia hapo kwenye mtaa unaoishi, angalia kwa sasa kwenye eneo lako la nyumbani kumi muundo wa CCM, angalia WanaCCM hao katika muundo huo katika eneo Hilo la nyumba kumi walivyojipanga na wanavyoendelea kuzisanya kura kwa ajiri ya CCM. Sasa unaona, Kuna kura za Magufuli ambazo atazipata yeye na kura ambazo Chama Cha Mapinduzi kitazipata. Hali hii iliwahi kutokea mwaka 2005 ambapo Jakaya Mrisho Kikwete yeye Kama yeye alipigiwa kura na CCM nayo ikapata kura zilivyounganishwa mkwere akapiga 80%. Lakini 2010 watu wakawa hawana hamu naye, lakini Chama Cha Mapinduzi kikamtafutia kura. Akapiga 61% Kama sikosei, hizi zilikuwa za Chama.

Najua wengi mmejaa kwenye Social Media, hamupo field, hamuoni huo muundo ulivyo hatari. CDM is no where, katika level hizi, CDM ipo mgongoni kwa Lissu. Upande mwingine Kuna CCM Kuna Magufuli na Kuna CCM.
Sasa ukiangalia hali ilivo Sasa unaona kabisa atapigiwa parefu, lakini bahati mbaya hata upande wa Wabunge Mambo ni magumu mno. Majimbo ambayo siku za nyuma yalikuwa ni hoja isiyobishaniwa Sasa mwaka huu ni hoja nzito, Pale Mbeya Sugu amekamatwa Ke....nde, na Dr. Tulia, Lema ameshikwa Pu....bu, na Gambo, hapo Arusha, Mbowe jasho linatirtika hadi kwenye meno, Mzee wa Kondoo wa bwana anapumulia Kisogo Cha Halima. CDM ni Kama wapo kwenye furushi ambalo tarehe 28 linadondoka.

3. Watanzania.
Sisi tunayo Kariba ambayo tumejengewa na Mzee Baba mwenyewe, Mchonga, Baba wa Taifa, Julius Kambarage Nyerere. Ni Kariba ambayo unaweza iita utakavyo kulinga a na muono wako, Njema sana, Mbaya, woga, au uungwana.
Watanzania tunapenda Amani Bila kujali gharama yake, Watanzania ni wavumilivu bila kujali gharama, Watanzania tunapenda uungwana sana, hatupendi Shari, lakini mbaya zaidi tunayo Imani Kali kuwa Mabeberu ni watu hatari, na watu wabaya sana. Lakini sisi ni wanafiki, Watanzania ukiwa na sisi tutakueleza hivi, ukitoka tunafanya tofauti, Tunakutanguliza halafu tunasikilizia, upepo ukibadilika tunaingia mitini!

Watanzania ukishaonyesha dalili za ushari, dalili za kuleta uvunjifu wa Amani au ukajinasibisha na Mababeru, au ukasingiziwa Mambo hayo, basi sisi Watanzania tunachofanya, tunakukwepa.
Tarehe 28 Watanzania bila kujali gharama, bila kujari Lissu anaahidi nini Watamkwepa, watajiepusha naye.
Msisahau hapa sijazungumzia swala la CCM kuwa Chama Dora!!

Nimevaa ngao🤣🤣🤣
Wasaidie wenzako kujiondoa kwenye minyororo,kwa manufaa ya taifa na si maslahi binasfi.
 
Hivi kama ingewezekana mkapata ushindi majimbo yote 100% na Bunge mkawa CCM pekee, hivi mtajisikiaje?

Kama tu 3/4 ni nyinyi bungeni na serikalini miaka 50 still tunatoa elimu kwa jamii kuhusu Huduma za matumizi sahihi ya choo, na mkiongezewa miaka 50 mingine mtabadili nini?

Ruhusuni haki tupate maendeleo

Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
Kwani Kuna mtu amewazuia Msichaguliwe. Wanazengo wenyewe ndio wanaamua, na hadi sasa wanaona Chama kiendelee kushika hatamu.
Jana nilikuwa naangalia kipindi kimoja UTV AZAM TV cha Uchaguzi, jamaa alikuwa Jimbo la Ubungo, moja ya swali alilikuwa akiwauliza wanazengo Kama wanawajua wagombea ubunge was Jimbo Hilo, huwezi amini, 40% walikuwa hawajui wagombea, Sasa Hawa ndio CCM wanasanya kura zao na kuwaelekeza sehemu ya kuweka tiki na wakienda kwenye kituo hawarembi, 50% walisema wanamjua mgombea mmoja tu, Kitila Mkumbo na baadhi wakasema hawajawahi kwenda kwenye Kampeni ila wamemuona kwenye Matangazo.
Sasa nyie mnajitekenya humu mnacheka wenyewe eti mtashinda, wakati wanazengo hata hawana tym na nyie!
 
Watu gani wanajaa, unajua hii Nchi Ina watu wangapi!? Unajua wapiga kura wako wangapi! Nenda kaangalie mikutano ya Dr.Slaa kipindi hicho halafu ndio utajua. Kura hazipatikani kwa kufanya mikutano na kujaza watu, kura zinapatikana kwa mikakati kabambe, CCM wanatafuta kura kuanzia ngazi ya Nyumba kumi hadi na Taifa. Wakati nyie Lissu anadhurura peke yake, WanaCCM wako busy inchi nzima kila mtaa, kila Kijiji, kila kata, kila tarafa, kila Willya na kila Mkoa na hapa ndipo siku zote Mnapigwa. Mkutano unajaza Bodaboda ambao hata hawakujiandikisha na wale waliojiandikisha tareh. 28 watakuwa busy wakila vichwa kuvipeleka na kuvitoa kwenye maeneo ya kupigia kura. Bodaboda gani atapaki Bodaboda yake akatumie three hrs eti kumchagua Lissu eti kisa wakati wa Kampeni alimjazia wese.
Vijiji na mitaa yote imemkataa jpm ndo Mana anatembea na wasanii. Akitaka kujua Kama hatakiwi aende mkutano hata mmoja bila wasanii. Kule bukoba walimzomea tbc wakakata matangazo fasta.

Vijana ambao ni asipimia kubwa ya watanzania hawamtaki na wako ready kwa lolote. Ajira hamna yeye anajazanisha flyover tu.
We unadhani kwa Nini lisu wanamletea figisu nyingi? Anajua hashindi uchaguzi huu. Ndo Mana hata internet zinazimwa kesho Lisa spana za lisu
 
Tarehe 28 tembelea vituo vya kupigia kura utawakuta Wanazengo wakiitimiza kwa vitendo! Watakuwa wanamrudisha raia wa ubelgiji kwao na kutuma ujumbe mkali kwa Mabeberu akina Amsterdam!
 
Viji

Vijiji na mitaa yote imemkataa jpm ndo Mana anatembea na wasanii. Akitaka kujua Kama hatakiwi aende mkutano hata mmoja bila wasanii. Kule bukoba walimzomea tbc wakakata matangazo fasta.

Vijana ambao ni asipimia kubwa ya watanzania hawamtaki na wako ready kwa lolote. Ajira hamna yeye anajazanisha flyover tu.
We unadhani kwa Nini lisu wanamletea figisu nyingi? Anajua hashindi uchaguzi huu. Ndo Mana hata internet zinazimwa kesho Lisa spana za lisu
Unazungumzua kuzomewa, Lissu alipopomolewa mawe kabisa Chato.
 
Tarehe 28 tembelea vituo vya kupigia kura utawakuta Wanazengo wakiitimiza kwa vitendo! Watakuwa wanamrudisha raia wa ubelgiji kwao na kutuma ujumbe mkali kwa Mabeberu akina Amsterdam!
Msirudishwe tu nyie wenye aleji ya uhuru,haki na maendeleo ya watu.
 
Msirudishwe tu nyie wenye aleji ya uhuru,haki na maendeleo ya watu.
Wewe Beba kiparata chako ukatimize wajibu wako. Uskute hata Kiparata huna, unalalama tu hapa, halafu Bibi yako akienda kufanya yake, unakuja humu ooooh tumeibiwa, na bra bra za kutosha!
 
Kuna watu humu wanajipa moyo eti CHADEMA hii ya Lissu, Mbowe, Mnyika, Heche, Halima, Bulaya Matiko na Wenzake wanaweza kuishinda CCM ya Magufuli, Bashiru Ali, Mangula, na mfumo mzima wa Chama Cha Mapinduzi...
Mmmmmfuuuuuuuuuuhh
 
Kwani Kuna mtu amewazuia Msichaguliwe. Wanazengo wenyewe ndio wanaamua, na hadi sasa wanaona Chama kiendelee kushika hatamu.
Jana nilikuwa naangalia kipindi kimoja UTV AZAM TV cha Uchaguzi...
Rudia kusoma nilichokiandika halafu punguza mihemko ya uchama.

Mimi sijaegemea upande wowote nimeuliza swali, hivi kama CCM pekee imeongoza zaidi ya miaka 50 still tunatoa elimu kwa jamii kuhusu Huduma za matumizi sahihi ya vyoo, je kama itatokea wakiendelea kutawala miaka yote, hayo maendeleo yatatokea wapi?


Tizama nchi kama Kenya ambayo iliondoa KANU, ijapokuwa wanachangamoto zao ukilinganisha resources tulizo nazo je, hii nafasi ya LCD tunaistahili?

Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom