Uchaguzi 2020 Uchaguzi tarehe 28; CHADEMA inapoteza kila kitu

Endelea kujitekenya na kucheka mwenuewe! Kama ule wizi uliozoeleka ndo mnaoutegemea ujue mwaka huu mtaula wa chuya!
Nakuhakikishia kama uchaguzi huu utakuwa wa HAKI, Lissu anatua ikulu!
 
Kama ingekuwa hivyo unavyowaza NECCCM Tumeccm Polisiccm wasingekuwa busy kuwahujumu kuidhoofisha chadema wangeacha wananchi waamue wenyewe
CHADEMA wanajijihujumu na kujidhoofisha wenyewe kwa kumuachia Mbowe aibe ruzuku yote badala ya kuzitumia kuendeleza chama. Mnasema mnajuwa kutumia pesa vizuri, mngekuwa mnajuwa kutumia mngetumia pesa ya Ubelgiji kwa kukodisha "chopper".
 

Uchaguzi huu umetufanya watanzania kuwajua madalali wanahangaika duniani huko kupigia udalali nchi yetu na rasilimali zetu

Uchaguzi huu umefanya mtanzania ayajue mataifa yenye uchu na tamaa kubwa kuja kujichotea mali zetu kwa matamko yao yaliyojawa jazba na sintofahamu wakiwa wamechanganyikiwa na speed ya maendeleo inayowafanya wahofie kupoteza target

Uchaguzi huu unazidi kuthibitisha kwamba John Pombe Joseph Magufuli ni rais bora duniani anayetetea maslahi ya watu wake. Alitutetea kwenye corona na sasa anatutetea dhidi ya wachuuzi, madalali wanaotaka kututawala kwa nguvu

Tukutane hapa kuanzia tarehe 28 kupeana pole na kupongezana
 
Mbona NEC na polisi umewasahau... mnaenda kutoka kwa shari au kwa heri
 
Malalamiko yako yamekaa kihisia kuliko uhalisia! Ninahisi una mgongano wa kimaslahi, kama siyo vyeti feki uliyeondoshwa kazini, au unataka huduma za jamii za Serikali shule, hospitali ziwe za ovyo ili yako ipendwe, au una magari ya mizigo au mabasi hautaki Treni y JPM ifanye kazi au ni Wakala wa wenye ndege unatamani ATC ife ili wewe ufanye kazi au ni dalali wa mabeberu. Tuchape kazi tuijenge Nchi yetu , haitajengwa kwa maandamano,kucheza pull, malalamiko, kubeti na hakuna wa kutujengea mabeberu ni wavunaji tu tutachiwa mashimo!
 
Uwekezaji wa akili kaufanya JPM ikiwemo kuifanya Elimu Bure ili wanyonge pia wasome, vita vya kiuchumi, uzalendo na utetezi wa raslimali za Nchi!
 
Tupo wengi baba
 
Upinzani ukiendelea na ubishi wa kijinga na kujipa moyo kipumbavu, watapoteza na kukibomoa hata kidogo kilichopo.

Ingekuwa busara wapinzani, hata humu mitandaoni kukubali nguvu ya CCM kisha kusema tutapambana kadiri ya rasilimali na uwanja ukiwa sawa tunaweza kushinda.

Hii ya kujiaminisha kuwa mwaka huu tutashinda, hakuna kuiba kura wala mbinu itakayotushinda. Hii mbaya hii, ukipigwa ukiwa umesema hivyo ndio huaminiki tena, hata visingizio unakosa na unakuwa umepoteza pakubwa!

Ifike mahali upinzani ukubali ukweli ili kujenga upinzani wa 2025. Upumbavu usifanye 2025, mwaka wa uwezekano ikawa kuanza upya tena!
 
Mkuu kajekudya , hapa ulisema kweli...
P
 
Bora sema wewe, tukisema sisi, tutanyooshewa vidole vya Makada!.
P
Mnanyooshewa vidole kwa sababu pamoja na kujua fika figisu wanazofanyiwa wapinzani na CCM kwa kushirikiana na vyombo vya dola, bado mnajifanya kutoa uchambuzi wenu feki as if uwanja wa kisiasa uko sawasawa kwa vyama vyote, kitu ambacho siyo kweli.
 
Mnanyooshewa vidole kwa sababu pamoja na kujua fika figisu wanazofanyiwa wapinzani na CCM kwa kushirikiana na vyombo vya dola, bado mnajifanya kutoa uchambuzi wenu feki as if uwanja wa kisiasa uko sawasawa kwa vyama vyote, kitu ambacho siyo kweli.
Tulia wewe, Watanzania wameamua
 
Hii nayo ni analysis juu ya ushindi wa kishindo.
Disgusting.
 
Mkuu ulisema ukweli mtupu wakabeza sasa nafikiri wanaweza kukubali wameshapigwa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…