Bora sema wewe, tukisema sisi, tutanyooshewa vidole vya Makada!.
P
..Tundu Lissu ana kipaji cha siasa kumzidi Magufuli.
..Na matumizi ya Tundu Lissu ktk kampeni siyo makubwa kama ya Magufuli / CCM.
..Chadema wanaonekana kufanya kampeni na siasa kutokana na wito, wakati CCM wanaonekana kusukumwa na uchu wa madaraka.
..CCM wanacheza rafu nyingi za kisiasa kwa kutumia taasisi mbalimbali za dola, wakati Chadema wamejiegemeza kwa wananchi.