Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 7,573
- 10,063
safiTeh teh, ndo nipo kwenye feleni hapa mkuu nasubiri buku saba yangu nikale Makande😂😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
safiTeh teh, ndo nipo kwenye feleni hapa mkuu nasubiri buku saba yangu nikale Makande😂😂😂😂
Wahutu wametuharibia sana nchi yetuAseme nini? Hakuna cha maana kasema pale zaidi ya porojo tu, Tambua kuwa hakuna mabaya yasiyo na mwisho na sasa CCM inafika mwisho wake Nchi inaenda kupata uhuru upya tokea chato kwa Mkoloni kaburu mweusi na ndipo utawala wa haki utaingia ikulu kuleta usawa maridhiano ya kitaifa
Huwezi kumtofautisha na jingalao.Paskal mayala sasa yupo taabani kifikira kajitoa fahamu zote kaamua kuishi kwa zidumu fikra zisizo sahihi za mtukufu mwenyekiti wa CCM
CCM mpya ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawala..Tundu Lissu ana kipaji cha siasa kumzidi Magufuli.
..Na matumizi ya Tundu Lissu ktk kampeni siyo makubwa kama ya Magufuli / CCM...
Hakikisha Mama yako, Dada yako, shangazi yako, mjomba wako, Bibi na Babu yako nao wafanye hivoMimi nitasafiri zaidi Ya km 1,000 kwa ajili Ya kumpa kura NI YEYE
Sent from my HTC U12 life using JamiiForums mobile app
Kwa matendo yenu ya kishenziKwa mujibu wa Robert Amsterdam![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaha kwa kuiunga mkono hoja na wewe tayari umeshasemaBora sema wewe, tukisema sisi, tutanyooshewa vidole vya Makada!.
P
CCM ni chama cha mchezo mchezo zaidi hakijiamini ndiyo maana kinatumia NECCCM Tumeccm na Polisiccm kuwahujumu kuwadhoofisha chademaCCM sio chama cha mchezo mchezo.
Kama kuna mgombea anadhani anaweza kuishinda CCM kwa kutumia twitter, anajidanganya sana.
Pasipo mayala bado awazazia uteuzi hajawahi kutambua kuwa hawezi kupata uteuziHahahaha kwa kuiunga mkono hoja na wewe tayari umeshasema
Bado unavuta Bangi hapo gheto unaposhinda?Labda jeshi la viroboto
Mzee acha kuishi kwa kumbukumbu za nyuma kumbuka sasa ni mwaka 2020 ni mwaka wa maajabu CCM inaenda kuwa chama cha upinzani kama KANU ya kenyaKwa maana ya kuchukua nchi siyo rahisi Ila wabunge wataongezeka wanaweza pata zaidi ya wabunge 50,mkoa wa Mara una majimbo 9 ukweli ni kwamba majimbo 5 lazima yaende upinzani labda ukomandoo utumike.
Maarufu kwa kuwabambikia kesi kesi uonevu unyanyasaji uovu kwa wapinzani labdaNawewe unakubaliana naye kuwa Magufuli ni Maarufu kuliko chama chake??
Jambo moja ambalo mnalo nyie chadema wa mitandaoni ni lile la kutokata tamaa...ukweli ni kuwa Lissu atashindwa vibaya Kila mkoa...Singida atashindwa, Kilimanjaro atashindwa, Arusha atashindwa, Lindi atashindwa na Mtwara pia na hata Kigoma...ila pengine kule Pemba kwa maaalim anaweza kufurukuta...lakini Unguja atashindwa, Tanga atashindwa, kagera atashindwa, mbeya atashindwa, iringa atashindwa...Dar es salaam pia atashindwa...kwa Dar es Salaam Lissu anaonekana Kama kituko..watu hawana time na Lissu kabisa.Paskal mayala sasa yupo taabani kifikira kajitoa fahamu zote kaamua kuishi kwa zidumu fikra zisizo sahihi za mtukufu mwenyekiti wa CCM
Well said mkuu. Hata Lissu analijua Hilo na wala hana mpango huo wa Kushinda. Isipokuwa lengo lake ni kuleta tension tu ambacho actually ndicho alichofanya kufanya!Jambo moja ambalo mnalo nyie chadema ni lile la kutokata tamaa...ukweli ni kuwa Lissu atashindwa vibaya Kila mkoa...Singida atashindwa, Kilimanjaro atashindwa, Arusha atashindwa, Lindi atashindwa na Mtwara pia na hata Kigoma...ila pengine kule Pemba jwa maaalim anaweza kufurukuta...lakini Unguja atashindwa, Tanga atashindwa, kagera atashindwa, mbeya atashindwa, iringa atashindwa...Dar es salaam pia atashindwa...kwa Dar es Salaam Lissu anaonekana Kama kituko..watu hawana time na Lissu kabisa.