Tetesi: UCHAGUZI TLS: Mawakili wa serikali(TAMISEMI) "kufundwa" kesho Arusha, kura zao zaleta hofu

Tetesi: UCHAGUZI TLS: Mawakili wa serikali(TAMISEMI) "kufundwa" kesho Arusha, kura zao zaleta hofu

wewe akili yako haiko sawa, aliyeleta taarifa hiyo hapa ndio anapaswa kuthibitisha ukweli wake and not me
... Huwezi kumuita mtu muongo bila kuleta ukweli, kama unaona kukutaka ulete ukweli ghafla kumenifanya nipungukiwe akili that is your problem.
 
Kuna tetesi kwamba wanasheria wote wa serikali wanaofanya kazi Tamisemi watafundwa kesho "jinsi ya kuchagua" na kuna tetesi kwamba wataambiwa wasiwachague wagombea Fulani

Chondechonde,kura ni siri,msikubali kuelekezwa.

Mkutano utafanyika ukumbi wa jiji

TLS hakikisheni usiri mkubwa unakiwepo kuwalinda hawa na ajira zao

Maoni: huu ni uchaguzi wa TLS tu,2020 itakuwaje?
Mawakili wa kujitegemea ni wengi kuliko wa serikali pumbafu zao
 
Hapa nadhani uelewa wa mawakili unatakiwa zaidi.Amini usiamini ikiwa mawakili wa serikali watahudhuria kiujumla wao na kama tunavyojua watu wa serikali wanatetea ugali wao ni dhahiri kura za wagombea zinaweza kuangukia kwenye mteule wa mkuu. Jumla ya halmashauri zote ni zaidi ya mawakili100 hivyo tukaze moyo.
Members wa TLS ni zaidi ya 4,000. Hata wakija 30% tu hawa wanaofundwa hawawezi kubadili chochote. Wanajitekenya tu.
 
Bashite wino wote huu wa bundle unaumalizia kwa kutoa puvu hivi?

Kwanini hela yako ya bundle usingetumia kusoma vitabu online vikakusaidia kupanua uelewa wako wa mambo.
line ya chuo anatumia
 
Mataifa huwatawala kwa nguvu, na wakubwa wao huwatumikisha. Lakini haitakuwa hivyo kwenu; bali mtu yeyote anayetaka kuwa mkubwa kwenu, na awe mtumishi wenu; na mtu yeyote anayetaka kuwa wa kwanza kwenu na awe mtumwa wenu; kama vile Mwana wa Adamu asivyokuja kutumikiwa, bali kutumikia na kutoa nafsi yake iwe fidia ya wengi
 
Achana na akili za njaa mkuu, hivi ungetegemea Mwakyembe ndo awe anafanya haya mambo?

Mwakyembe aliyekataa NBC isiuzwe, Mwakyembe wa Richmond alikuwa ni mtu mwenye heshima zake.

Leo hii anaweza kusimama na kusema Rais hajavunja katiba kuchagua wabunge wa wanaume 6.
Mwakyembe zamani
 
Kuna tetesi kwamba wanasheria wote wa serikali wanaofanya kazi Tamisemi watafundwa kesho "jinsi ya kuchagua" na kuna tetesi kwamba wataambiwa wasiwachague wagombea Fulani

Chondechonde,kura ni siri,msikubali kuelekezwa.

Mkutano utafanyika ukumbi wa jiji

TLS hakikisheni usiri mkubwa unakiwepo kuwalinda hawa na ajira zao

Maoni: huu ni uchaguzi wa TLS tu,2020 itakuwaje?
Mawakili wa serikali na mashirika ya umma wachague kimakini wasibebwe na upepo.ni hayo tu
 
Kuna tetesi kwamba wanasheria wote wa serikali wanaofanya kazi Tamisemi watafundwa kesho "jinsi ya kuchagua" na kuna tetesi kwamba wataambiwa wasiwachague wagombea Fulani

Chondechonde,kura ni siri,msikubali kuelekezwa.

Mkutano utafanyika ukumbi wa jiji

TLS hakikisheni usiri mkubwa unakiwepo kuwalinda hawa na ajira zao

Maoni: huu ni uchaguzi wa TLS tu,2020 itakuwaje?
alafu jamaa anasema anapambana na rushwa awamu hii,........without transparency?
 
Kwani huko Arusha kuna jando na unyago mpaka waende kufundwa..?? Na ndio maana fikra finyu hizo mkiambiwa tutawageuza kuwa NGO ili mfanye kazia za "advocacy" mnaanza kutokwa tokwa povu jingiii..... maana huu ni uzushi
wa mchana kweupeee...
nikikuuliza , nani facilitators na sponsors wa mafunzo hayo ya jando na unyago (maana umesema wanaenda kufundwa) , nitajie wanachama au mawakili hao wa serikali, muda ambao mwatafundwa(kama ulivyyosema) , ukumbi wataofundwa, mada watazofundwa, lengo la kufundwa, etc maswali ni mengi sana , kwa sasa nakuachia hapa ili ukitoka ufipa nikuendelezee dozi.
Maneno mengi ila pumba.... Nimeshindwa kumalizia
 
Kwani huko Arusha kuna jando na unyago mpaka waende kufundwa..?? Na ndio maana fikra finyu hizo mkiambiwa tutawageuza kuwa NGO ili mfanye kazia za "advocacy" mnaanza kutokwa tokwa povu jingiii..... maana huu ni uzushi
wa mchana kweupeee...
nikikuuliza , nani facilitators na sponsors wa mafunzo hayo ya jando na unyago (maana umesema wanaenda kufundwa) , nitajie wanachama au mawakili hao wa serikali, muda ambao mwatafundwa(kama ulivyyosema) , ukumbi wataofundwa, mada watazofundwa, lengo la kufundwa, etc maswali ni mengi sana , kwa sasa nakuachia hapa ili ukitoka ufipa nikuendelezee dozi.
kwa behaviors za mwakyembe juu ya uchaguzi huo, jambo hili lina wezekana.sponsor atakuwa magufuli, facilitator mwakyembe, ukumbi wa jiji, mawakili ni tulia, mwasonga,..................
 
mm ni upcoming lawyer, naomba niulize hv mawakili wa serikali nao wanahusika kwny chaguzi za tls?
 
Members wa TLS ni zaidi ya 4,000. Hata wakija 30% tu hawa wanaofundwa hawawezi kubadili chochote. Wanajitekenya tu.
Time will tell hao wengine hela hawana arusha hawaendi mujiandae kupambana na mawakili wa serikali na mashirika ya umma kibaka wenu hapiti
 
Wakapige tu lkn wakijua kuwa security ya kazi ndani ya govt iko very uncertain now days.
 
Back
Top Bottom