Tetesi: UCHAGUZI TLS: Mawakili wa serikali(TAMISEMI) "kufundwa" kesho Arusha, kura zao zaleta hofu

Tetesi: UCHAGUZI TLS: Mawakili wa serikali(TAMISEMI) "kufundwa" kesho Arusha, kura zao zaleta hofu

Kuna tetesi kwamba wanasheria wote wa serikali wanaofanya kazi Tamisemi watafundwa kesho "jinsi ya kuchagua" na kuna tetesi kwamba wataambiwa wasiwachague wagombea Fulani

Chondechonde,kura ni siri,msikubali kuelekezwa.

Mkutano utafanyika ukumbi wa jiji

TLS hakikisheni usiri mkubwa unakiwepo kuwalinda hawa na ajira zao

Maoni: huu ni uchaguzi wa TLS tu,2020 itakuwaje?
Mawakili wenyewe wa serikali makanjanja ile mbaya. Hawawezi kushinda hata kesi ya kuku. Waachwe wafundwe Kama Mabibi yanayosubiri kuolewa. Mtu mwenye taaluma yake hafundwi.
 
Kuna tetesi kwamba wanasheria wote wa serikali wanaofanya kazi Tamisemi watafundwa kesho "jinsi ya kuchagua" na kuna tetesi kwamba wataambiwa wasiwachague wagombea Fulani

Chondechonde,kura ni siri,msikubali kuelekezwa.

Mkutano utafanyika ukumbi wa jiji

TLS hakikisheni usiri mkubwa unakiwepo kuwalinda hawa na ajira zao

Maoni: huu ni uchaguzi wa TLS tu,2020 itakuwaje?
Wakumbuke kuwa Leo kwangu kesho kwako.Wanasheria walinde hadhi yao
 
Mimi naamini mawakili hawatamchagua Lissu kwani wanafurahishwa Na utendaji bora wa serikali ya awamu ya tano inayozingatia haki zote Za msingi Za binadamu.
Mwakyembe Asiwe Na hofu. Serikali imeifanyia mengi tasnia ya sheria cha muhimu imtangaze hadharani Nani wanayemtaka Ili achaguliwe.
Akili unayoitumia sio yako ni kama bashite na vyeti!!
 
Mawakili wenyewe wa serikali makanjanja ile mbaya. Hawawezi kushinda hata kesi ya kuku. Waachwe wafundwe Kama Mabibi yanayosubiri kuolewa. Mtu mwenye taaluma yake hafundwi.
Hii Kali ya mwaka,ukweli mtupu
 
TLS ina jumla ya wanachama 6000 je hao wa TAMISEMI ni wa ngapi?
 
Kama mawakili husika ni wajiriwa wa serikali hii inayonyima haki zao halafu kama watasikiliza ujinga wa serikali hii kuwachagulia mustakabali wao nitawadharau sana.
 
Hapa nadhani uelewa wa mawakili unatakiwa zaidi.Amini usiamini ikiwa mawakili wa serikali watahudhuria kiujumla wao na kama tunavyojua watu wa serikali wanatetea ugali wao ni dhahiri kura za wagombea zinaweza kuangukia kwenye mteule wa mkuu. Jumla ya halmashauri zote ni zaidi ya mawakili100 hivyo tukaze moyo.
Jumla ya mawakili ni 6000 je wakienda wote?
 
Achana na akili za njaa mkuu, hivi ungetegemea Mwakyembe ndo awe anafanya haya mambo?

Mwakyembe aliyekataa NBC isiuzwe, Mwakyembe wa Richmond alikuwa ni mtu mwenye heshima zake.

Leo hii anaweza kusimama na kusema Rais hajavunja katiba kuchagua wabunge wa wanaume 6.
Mkuu nakuhakikishia mwakyembe hajawahi kuwa wa maana hata kidogo, NBC alikosa mtu wa kumuheshimu na kumwambia utapata kiasi fulani ndio akakomalia, richmond alikuwa anatengenezwa na ikulu na ndio maana alikuja kupewa naibu Waziri, na richmond alisimama kidete kwa sasa babu alijua mkataba ukivunjwa Tanesco wangejeukia umeme wa Upepo anaofua huko singida!!! Nakuhakikishia mwakyembe hajawahi kuwa na uchungu na nchi hii bora Makmwandosya mungu amsaidia!!!!
 
Mwakijembe ni mnafiki waulize wafanyakazi wa ATCL alivyo wanyanyasa akiwa waziri wao na kumng`oa Paul Chizi nafasi ya CEO na kumuweka shemejiye Razaro .
 
Mimi naamini mawakili hawatamchagua Lissu kwani wanafurahishwa Na utendaji bora wa serikali ya awamu ya tano inayozingatia haki zote Za msingi Za binadamu.
Mwakyembe Asiwe Na hofu. Serikali imeifanyia mengi tasnia ya sheria cha muhimu imtangaze hadharani Nani wanayemtaka Ili achaguliwe.
Akili unayoitumia sio yako ni kama bashite na vyeti!!
Sikulaumu . Ushauri wa bure ukisoma andiko jaribu kutafakari mara mbili kusudio la mwandishi. Hapa tunaandika maandiko kwa ajili ya great thinkers sio watoto wa chekechea. Kwa kukurahisishia hii comment yangu ilikuwa Na Maana ifuatayo.
Ikiwa serikali inatenda haki Na inafuata utawala wa sheria Na inaamini inapendwa kwanini wawe Na wasiwasi Na Tunde Lissu ambaye ni mtu. Mbaya. Wauache huu uchaguzi umalize kwa Salama Ili Tundu lissu ashindwe. Ila visa anavyofanyiwa Tundu lissu ni kuwa serikali ina matatizo.na inajua Tundu lissu anakubalika.
 
Hapa nadhani uelewa wa mawakili unatakiwa zaidi.Amini usiamini ikiwa mawakili wa serikali watahudhuria kiujumla wao na kama tunavyojua watu wa serikali wanatetea ugali wao ni dhahiri kura za wagombea zinaweza kuangukia kwenye mteule wa mkuu. Jumla ya halmashauri zote ni zaidi ya mawakili100 hivyo tukaze moyo.
Mia wakati pale kuna mawakili elfu Sita, unaleta mchezo wewe. Mimi ni wakili katika......Fulani na nitamchagua TL
 
Hata mimi tayari nimewafunda wafanyakazi wangu 25 ambao ni mawakili kwenye law firm yangu kuhakikisha hawapoliticise chama kwa kumpa kura TL
 
Bashite wino wote huu wa bundle unaumalizia kwa kutoa puvu hivi?

Kwanini hela yako ya bundle usingetumia kusoma vitabu online vikakusaidia kupanua uelewa wako wa mambo.
Angalia unakimbia made unaanzisha vihoja kwa akili kama za kwako ndo maana Hitler alikuwa anawapiga risasi
 
Tindu lissu akigombea urais wa JMT inaonekana nchi itakuwa kwenye hali ya hatari!
 
"kweli tundu lissu kawatoa jasho....." hadi kwenye chaguzi ya vyama vidogo vidogo bado mnaleta ubabaishaji usirudie kosa 2020 fanya maaumuzi sahihi
Maajabu hayo mkuu huyu jamaa anahangaika na mengi iko siku atahangaika na TFF akigundua anaegombea ni Mchadema teh, teh, teh, ....kweli hili chama SHILAWADU.
 
Back
Top Bottom