... Huwezi kumuita mtu muongo bila kuleta ukweli, kama unaona kukutaka ulete ukweli ghafla kumenifanya nipungukiwe akili that is your problem.wewe akili yako haiko sawa, aliyeleta taarifa hiyo hapa ndio anapaswa kuthibitisha ukweli wake and not me
Mawakili wa kujitegemea ni wengi kuliko wa serikali pumbafu zaoKuna tetesi kwamba wanasheria wote wa serikali wanaofanya kazi Tamisemi watafundwa kesho "jinsi ya kuchagua" na kuna tetesi kwamba wataambiwa wasiwachague wagombea Fulani
Chondechonde,kura ni siri,msikubali kuelekezwa.
Mkutano utafanyika ukumbi wa jiji
TLS hakikisheni usiri mkubwa unakiwepo kuwalinda hawa na ajira zao
Maoni: huu ni uchaguzi wa TLS tu,2020 itakuwaje?
Waache wajitekenye na kucheka wenyewe, ila wataduwaa na matokeo.Mawakili wa kujitegemea ni wengi kuliko wa serikali pumbafu zao
"..ili kukinusuru chama kisifutwe.." hii kauli.. Proves that you are a coward, mzee.kumkataa tundu lisu ni uoga/
Twendeni Arusha.,.
Members wa TLS ni zaidi ya 4,000. Hata wakija 30% tu hawa wanaofundwa hawawezi kubadili chochote. Wanajitekenya tu.Hapa nadhani uelewa wa mawakili unatakiwa zaidi.Amini usiamini ikiwa mawakili wa serikali watahudhuria kiujumla wao na kama tunavyojua watu wa serikali wanatetea ugali wao ni dhahiri kura za wagombea zinaweza kuangukia kwenye mteule wa mkuu. Jumla ya halmashauri zote ni zaidi ya mawakili100 hivyo tukaze moyo.
line ya chuo anatumiaBashite wino wote huu wa bundle unaumalizia kwa kutoa puvu hivi?
Kwanini hela yako ya bundle usingetumia kusoma vitabu online vikakusaidia kupanua uelewa wako wa mambo.
[emoji12] [emoji13] chama gani?Haki ya nani Lisu ni tishio kwa chama shilawadu
Mwakyembe zamaniAchana na akili za njaa mkuu, hivi ungetegemea Mwakyembe ndo awe anafanya haya mambo?
Mwakyembe aliyekataa NBC isiuzwe, Mwakyembe wa Richmond alikuwa ni mtu mwenye heshima zake.
Leo hii anaweza kusimama na kusema Rais hajavunja katiba kuchagua wabunge wa wanaume 6.
Mawakili wa serikali na mashirika ya umma wachague kimakini wasibebwe na upepo.ni hayo tuKuna tetesi kwamba wanasheria wote wa serikali wanaofanya kazi Tamisemi watafundwa kesho "jinsi ya kuchagua" na kuna tetesi kwamba wataambiwa wasiwachague wagombea Fulani
Chondechonde,kura ni siri,msikubali kuelekezwa.
Mkutano utafanyika ukumbi wa jiji
TLS hakikisheni usiri mkubwa unakiwepo kuwalinda hawa na ajira zao
Maoni: huu ni uchaguzi wa TLS tu,2020 itakuwaje?
alafu jamaa anasema anapambana na rushwa awamu hii,........without transparency?Kuna tetesi kwamba wanasheria wote wa serikali wanaofanya kazi Tamisemi watafundwa kesho "jinsi ya kuchagua" na kuna tetesi kwamba wataambiwa wasiwachague wagombea Fulani
Chondechonde,kura ni siri,msikubali kuelekezwa.
Mkutano utafanyika ukumbi wa jiji
TLS hakikisheni usiri mkubwa unakiwepo kuwalinda hawa na ajira zao
Maoni: huu ni uchaguzi wa TLS tu,2020 itakuwaje?
Tusubiri hao binafsi hawana hata nauli za kwenda arusha subiri uchaguzi upite halafu utaniambiaMawakili wa kujitegemea ni wengi kuliko wa serikali pumbafu zao
Maneno mengi ila pumba.... Nimeshindwa kumaliziaKwani huko Arusha kuna jando na unyago mpaka waende kufundwa..?? Na ndio maana fikra finyu hizo mkiambiwa tutawageuza kuwa NGO ili mfanye kazia za "advocacy" mnaanza kutokwa tokwa povu jingiii..... maana huu ni uzushi
wa mchana kweupeee...
nikikuuliza , nani facilitators na sponsors wa mafunzo hayo ya jando na unyago (maana umesema wanaenda kufundwa) , nitajie wanachama au mawakili hao wa serikali, muda ambao mwatafundwa(kama ulivyyosema) , ukumbi wataofundwa, mada watazofundwa, lengo la kufundwa, etc maswali ni mengi sana , kwa sasa nakuachia hapa ili ukitoka ufipa nikuendelezee dozi.
kwa behaviors za mwakyembe juu ya uchaguzi huo, jambo hili lina wezekana.sponsor atakuwa magufuli, facilitator mwakyembe, ukumbi wa jiji, mawakili ni tulia, mwasonga,..................Kwani huko Arusha kuna jando na unyago mpaka waende kufundwa..?? Na ndio maana fikra finyu hizo mkiambiwa tutawageuza kuwa NGO ili mfanye kazia za "advocacy" mnaanza kutokwa tokwa povu jingiii..... maana huu ni uzushi
wa mchana kweupeee...
nikikuuliza , nani facilitators na sponsors wa mafunzo hayo ya jando na unyago (maana umesema wanaenda kufundwa) , nitajie wanachama au mawakili hao wa serikali, muda ambao mwatafundwa(kama ulivyyosema) , ukumbi wataofundwa, mada watazofundwa, lengo la kufundwa, etc maswali ni mengi sana , kwa sasa nakuachia hapa ili ukitoka ufipa nikuendelezee dozi.
Time will tell hao wengine hela hawana arusha hawaendi mujiandae kupambana na mawakili wa serikali na mashirika ya umma kibaka wenu hapitiMembers wa TLS ni zaidi ya 4,000. Hata wakija 30% tu hawa wanaofundwa hawawezi kubadili chochote. Wanajitekenya tu.
Umenifanya niwe na furaha leoSasa hivi kila Lumumba anajifanya Wakili!
Wanapiga mkuumm ni upcoming lawyer, naomba niulize hv mawakili wa serikali nao wanahusika kwny chaguzi za tls?