Tetesi: UCHAGUZI TLS: Mawakili wa serikali(TAMISEMI) "kufundwa" kesho Arusha, kura zao zaleta hofu

Mawakili wenyewe wa serikali makanjanja ile mbaya. Hawawezi kushinda hata kesi ya kuku. Waachwe wafundwe Kama Mabibi yanayosubiri kuolewa. Mtu mwenye taaluma yake hafundwi.
 
Wakumbuke kuwa Leo kwangu kesho kwako.Wanasheria walinde hadhi yao
 
Akili unayoitumia sio yako ni kama bashite na vyeti!!
 
Mawakili wenyewe wa serikali makanjanja ile mbaya. Hawawezi kushinda hata kesi ya kuku. Waachwe wafundwe Kama Mabibi yanayosubiri kuolewa. Mtu mwenye taaluma yake hafundwi.
Hii Kali ya mwaka,ukweli mtupu
 
TLS ina jumla ya wanachama 6000 je hao wa TAMISEMI ni wa ngapi?
 
Kama mawakili husika ni wajiriwa wa serikali hii inayonyima haki zao halafu kama watasikiliza ujinga wa serikali hii kuwachagulia mustakabali wao nitawadharau sana.
 
Jumla ya mawakili ni 6000 je wakienda wote?
 
Lissu anaogopwa na hii serikali kuliko hata lile gonjwa!!!!
 
Mkuu nakuhakikishia mwakyembe hajawahi kuwa wa maana hata kidogo, NBC alikosa mtu wa kumuheshimu na kumwambia utapata kiasi fulani ndio akakomalia, richmond alikuwa anatengenezwa na ikulu na ndio maana alikuja kupewa naibu Waziri, na richmond alisimama kidete kwa sasa babu alijua mkataba ukivunjwa Tanesco wangejeukia umeme wa Upepo anaofua huko singida!!! Nakuhakikishia mwakyembe hajawahi kuwa na uchungu na nchi hii bora Makmwandosya mungu amsaidia!!!!
 
Mwakijembe ni mnafiki waulize wafanyakazi wa ATCL alivyo wanyanyasa akiwa waziri wao na kumng`oa Paul Chizi nafasi ya CEO na kumuweka shemejiye Razaro .
 
Mimi naamini mawakili hawatamchagua Lissu kwani wanafurahishwa Na utendaji bora wa serikali ya awamu ya tano inayozingatia haki zote Za msingi Za binadamu.
Mwakyembe Asiwe Na hofu. Serikali imeifanyia mengi tasnia ya sheria cha muhimu imtangaze hadharani Nani wanayemtaka Ili achaguliwe.
Akili unayoitumia sio yako ni kama bashite na vyeti!!
Sikulaumu . Ushauri wa bure ukisoma andiko jaribu kutafakari mara mbili kusudio la mwandishi. Hapa tunaandika maandiko kwa ajili ya great thinkers sio watoto wa chekechea. Kwa kukurahisishia hii comment yangu ilikuwa Na Maana ifuatayo.
Ikiwa serikali inatenda haki Na inafuata utawala wa sheria Na inaamini inapendwa kwanini wawe Na wasiwasi Na Tunde Lissu ambaye ni mtu. Mbaya. Wauache huu uchaguzi umalize kwa Salama Ili Tundu lissu ashindwe. Ila visa anavyofanyiwa Tundu lissu ni kuwa serikali ina matatizo.na inajua Tundu lissu anakubalika.
 
Mia wakati pale kuna mawakili elfu Sita, unaleta mchezo wewe. Mimi ni wakili katika......Fulani na nitamchagua TL
 
Hata mimi tayari nimewafunda wafanyakazi wangu 25 ambao ni mawakili kwenye law firm yangu kuhakikisha hawapoliticise chama kwa kumpa kura TL
 
Bashite wino wote huu wa bundle unaumalizia kwa kutoa puvu hivi?

Kwanini hela yako ya bundle usingetumia kusoma vitabu online vikakusaidia kupanua uelewa wako wa mambo.
Angalia unakimbia made unaanzisha vihoja kwa akili kama za kwako ndo maana Hitler alikuwa anawapiga risasi
 
Tindu lissu akigombea urais wa JMT inaonekana nchi itakuwa kwenye hali ya hatari!
 
"kweli tundu lissu kawatoa jasho....." hadi kwenye chaguzi ya vyama vidogo vidogo bado mnaleta ubabaishaji usirudie kosa 2020 fanya maaumuzi sahihi
Maajabu hayo mkuu huyu jamaa anahangaika na mengi iko siku atahangaika na TFF akigundua anaegombea ni Mchadema teh, teh, teh, ....kweli hili chama SHILAWADU.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…