Ndiyo hapo fisadi Lowasa ajifunze na kushukuru Mungu kuzaliwa TanZania, nchi ambayo Upinzani unamtukana Raisi wa nchi unavyotaka hakuna mtu anakugusa, Tundu Lisu alisema mbele ya halaiki kwamba ataongoza maandamano kwenda mpka Ikulu kumtoa Raisi wa JMTZ jambo ambalo kwa nchi nyingine ni uhaini lkn bado yupo tu ananenepeana kama nguruwe na hakuna aliyemgusa yeye au matakataka wenzake na bado wanachonga kwamba hakuna kitu kimefanywa na CCM kwenye hii nchi, jifunzeni sasa kwa wenzenu kwamba CCM na Seriklai yake wana uwezo wa kuwafanyia Umjafia kama wakiamua na hakuna kitu mtafanya!
Acheni kudanganya watu sijui tunasibiri Amri ya fisadi Lowasa tukinukishe, naseam shukuruni Mungu mmezaliwa hii nchi inayoongozwa na Chama makini CCM!