Uchaguzi Uganda: Polisi yamshikilia Besigye

Uchaguzi Uganda: Polisi yamshikilia Besigye

Ndio maana mkurunzinza alisema anapambana na majeshi ya au kasababu wanajuana akuna msafi hasa hivi vyama vikongwe kama fisiem wezi wananchi waliwakata tangu zamani sema ndio wizi tu
Viongozi wote wa afrika ni sawa tu kina nkurunzinza tofauti ni majina tu
 
Viongozi wote wa afrika ni sawa tu kina nkurunzinza tofauti ni majina tu
Kabisa nikiliangalia swala la Zanzibar sijaona viongozi yoyote afrika aliyelisemea zaidi sasa wanapambana kujitoa mahakama ya kimataifa ya icc ili wafanye ujinga wao wa kutosha
 
Kabisa nikiliangalia swala la Zanzibar sijaona viongozi yoyote afrika aliyelisemea zaidi sasa wanapambana kujitoa mahakama ya kimataifa ya icc ili wafanye ujinga wao wa kutosha
Mkuu nakuhakikishia kuwa bila icc naamini hata uchaguzi husingekuwa unafanyika
 
Mkuu ni wajinga tu wanashindwa kutafuta kazi ki uhalali na badala yake wanakubali kuwa watumwa wa wakubwa,hawana tofauti na dada zetu wanaofanyishwa kazi za utumwa huko uarabuni
umenikumbusha hawa wadada wa uarabuni , inasemekana kuna mbunge wa nchi hii ndie alifanya udalali huo .
 
umenikumbusha hawa wadada wa uarabuni , inasemekana kuna mbunge wa nchi ndie alifanya huo udalali huo .
Mkuu ni aibu sana kuwa na viongozi wa aina hii wa kutanguliza maslahi ya matumbo yao,mtu kama mbunge unaingia kwenye biashara ya kusafirisha binadamu,ni hatari sana
 
M7 yuko Jinja anafanya kampeni fresh Besigye yuko Wandegeya kunawaka kinoma polisi wanapiga mabomu ya machozi kwenda mbele.
This is not fair at all.
 
Ndiyo hapo fisadi Lowasa ajifunze na kushukuru Mungu kuzaliwa TanZania, nchi ambayo Upinzani unamtukana Raisi wa nchi unavyotaka hakuna mtu anakugusa, Tundu Lisu alisema mbele ya halaiki kwamba ataongoza maandamano kwenda mpka Ikulu kumtoa Raisi wa JMTZ jambo ambalo kwa nchi nyingine ni uhaini lkn bado yupo tu ananenepeana kama Nguruwe na hakuna aliyemgusa yeye au matakataka wenzake na bado wanachonga kwamba hakuna kitu kimefanywa na CCM kwenye hii nchi, jifunzeni sasa kwa wenzenu kwamba CCM na Serikali yake wana uwezo wa kuwafanyia Umafia kama wakiamua na hakuna kitu mtafanya!

Acheni kudanganya watu sijui mnasibiri Amri ya fisadi Lowasa mkinukishe, nasema shukuruni Mungu mmezaliwa hii nchi inayoongozwa na Chama makini CCM!
Safi sana ndugu kwa
kuwaeleza ukweli
 
Wewe ni kati ya watu wanao ongozwa na mihemuko ya kiitikadi, badala ya kujadili nini tunakiongelea hapa unatuletea kutukana viongozi wa cdm na kusifia hiyo ccm yako,jifunze kuwa na mawazo ya kibinadamu kuliko kubakia na akili ya kitumwa
Upo upande gani kati ya hawa[emoji116] [emoji116]
10737fb98f42a58102c33c4f000a9282.jpg
 
Ninavyoona lazima kutatokea machafuko kampala mjini ambako kuna wabaganda wengi na besigye ana support kubwa.
 
Kumewaka chuoni Makerere wanafunzi wanachoma picha za m7.
 

Attachments

  • 1455548814180.jpg
    1455548814180.jpg
    66.9 KB · Views: 48
Nchi ikashakua na asili ya serikali kuondolewa kibabe basi swala la kura ni funika kombe mwana haramu apite ,japo sio lazima historia ijirudie kuna nchi kama Tanzania mfumo ni wa kubadilisha uongozi kwa njia ya kura japo Chungu ni kile kile
 
Makerere univ maeneo ya kikoni
 

Attachments

  • 1455548920729.jpg
    1455548920729.jpg
    53.2 KB · Views: 43
Tatizo hawana silaha wangenyooshwa mpaka wakimbie nchi kama Idd Amin Dada
M7amejiandaa vya kutosha uliona magari ya polisi ya aina tofauti tofauti mengi kinoma. Shughuli ipo watu watakula sana virungu n mabomu.
 
Ndiyo hapo fisadi Lowasa ajifunze na kushukuru Mungu kuzaliwa TanZania, nchi ambayo Upinzani unamtukana Raisi wa nchi unavyotaka hakuna mtu anakugusa, Tundu Lisu alisema mbele ya halaiki kwamba ataongoza maandamano kwenda mpka Ikulu kumtoa Raisi wa JMTZ jambo ambalo kwa nchi nyingine ni uhaini lkn bado yupo tu ananenepeana kama Nguruwe na hakuna aliyemgusa yeye au matakataka wenzake na bado wanachonga kwamba hakuna kitu kimefanywa na CCM kwenye hii nchi, jifunzeni sasa kwa wenzenu kwamba CCM na Serikali yake wana uwezo wa kuwafanyia Umafia kama wakiamua na hakuna kitu mtafanya!

Acheni kudanganya watu sijui mnasibiri Amri ya fisadi Lowasa mkinukishe, nasema shukuruni Mungu mmezaliwa hii nchi inayoongozwa na Chama makini CCM!
Kuanzia Magufuli atoe tamko la fyoko fyoko na nyie Viwavi wa Lumumba mnatishia kunya Jf ,Magufuli ni Amiri jeshi Mkuu ,vipi wewe kiwavi na takataka wenzenu wa ccm mnaweza mka declare Marshall law ??
 
Kuanzia Magufuli atoe tamko la fyoko fyoko na nyie Viwavi wa Lumumba mnatishia kunya Jf ,Magufuli ni Amiri jeshi Mkuu ,vipi wewe kiwavi na takataka wenzenu wa ccm mnaweza mka declare Marshall law ??


Hakuna anayetishia chochote bali ni ukweli na ukweli ni lazima usemwe kwamba Raisi wa TZ ana uwezo wa kuyafanya maisha ya akina fisadi lowasa, Tundu Lisu na takataka wengine kuwa magumu hapa TanZania kutokana na jinsi walivyotukana miaka yote lkn bado alikaa kimya kuwaacha wafanye wanavyotaka hivyo wanapaswa kama vile Lipumba alivyosema kwa yanayoendela Uganda nafsi zao ziwasute na wajifunze kuwa wastaarabu na wavumilivu pale ambapo wengine wanavyoamua kuwavumilia hasa kwenye kauli zao!
 
Hakuna anayetishia chochote bali ni ukweli na ukweli ni lazima usemwe kwamba Raisi wa TZ ana uwezo wa kuyafanya maisha ya akina fisadi lowasa, Tundu Lisu na takataka wengine kuwa magumu hapa TanZania kutokana na jinsi walivyotukana miaka yote lkn bado alikaa kimya kuwaacha wafanye wanavyotaka hivyo wanapaswa kama vile Lipumba alivyosema kwa yanayoendela Uganda nafsi zao ziwasute na wajifunze kuwa wastaarabu na wavumilivu pale ambapo wengine wanavyoamua kuwavumilia hasa kwenye kauli zao!
Nani anamwongelea Raisi hapa ?? Ulivyo iweka CCM katikati ya madaraka ya Raisi ulikua na maana gani ?? Lowasa aliwahi kumtukana kiongozi yeyote hapa Tanzania ???
Kweli nyie ni matakataka ,Subiria jaramba la Jakaya kwa Magufuli ili awakumbuke maana njaa zitawaua hapa jamvini
 
Back
Top Bottom