boaz mwalwayo
JF-Expert Member
- Jan 27, 2015
- 6,287
- 4,738
Braza Trump ni mkweli tena sna mi nashangaa watu wanataka mfumo wa vyama vingi wakati hawezi kwa nn
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
halafu hii HUMAN TRAFFIC inapigwa vita dunia nzima .Mkuu ni aibu sana kuwa na viongozi wa aina hii wa kutanguliza maslahi ya matumbo yao,mtu kama mbunge unaingia kwenye biashara ya kusafirisha binadamu,ni hatari sana
Nikweli mkuuhalafu hii HUMAN TRAFFIC inapigwa vita dunia nzima .
Nchi zote za afrika hazina tofautiHalafu mazuzu wanasema Tanzania si nchi ya Amani
Nadhan uganda ndo pako shwari kumbe
Wabongo Msishibe mkasahau njaa
Kweli kabisa mkuu sasa hivi wanafanya kazi kama huyu ndugu yaoNani anamwongelea Raisi hapa ?? Ulivyo iweka CCM katikati ya madaraka ya Raisi ulikua na maana gani ?? Lowasa aliwahi kumtukana kiongozi yeyote hapa Tanzania ???
Kweli nyie ni matakataka ,Subiria jaramba la Jakaya kwa Magufuli ili awakumbuke maana njaa zitawaua hapa jamvini
Ngiri utamjua tuHakuna anayetishia chochote bali ni ukweli na ukweli ni lazima usemwe kwamba Raisi wa TZ ana uwezo wa kuyafanya maisha ya akina fisadi lowasa, Tundu Lisu na takataka wengine kuwa magumu hapa TanZania kutokana na jinsi walivyotukana miaka yote lkn bado alikaa kimya kuwaacha wafanye wanavyotaka hivyo wanapaswa kama vile Lipumba alivyosema kwa yanayoendela Uganda nafsi zao ziwasute na wajifunze kuwa wastaarabu na wavumilivu pale ambapo wengine wanavyoamua kuwavumilia hasa kwenye kauli zao!
Ni kweli hiki chama kipo makini make kimeiba hadi kimekuiba hadi wewe.Ndiyo hapo fisadi Lowasa ajifunze na kushukuru Mungu kuzaliwa TanZania, nchi ambayo Upinzani unamtukana Raisi wa nchi unavyotaka hakuna mtu anakugusa, Tundu Lisu alisema mbele ya halaiki kwamba ataongoza maandamano kwenda mpka Ikulu kumtoa Raisi wa JMTZ jambo ambalo kwa nchi nyingine ni uhaini lkn bado yupo tu ananenepeana kama Nguruwe na hakuna aliyemgusa yeye au matakataka wenzake na bado wanachonga kwamba hakuna kitu kimefanywa na CCM kwenye hii nchi, jifunzeni sasa kwa wenzenu kwamba CCM na Serikali yake wana uwezo wa kuwafanyia Umafia kama wakiamua na hakuna kitu mtafanya!
Acheni kudanganya watu sijui mnasibiri Amri ya fisadi Lowasa mkinukishe, nasema shukuruni Mungu mmezaliwa hii nchi inayoongozwa na Chama makini CCM!
kwani mkuu hakuna possibility ya AU kutuma jeshi ili liwaondoe watu kama M7,Nkurunziza ,Kagame and the likesHali inakuwa mbya ukifika wakati wa uchaguzi,huyu museveni sasa ni miaka 30 yupo madarakani lkn anatumia nguvu nyingi za vyombo vya dola kuwadhibiti opposition ili aendelee kubakia madarakani, huyo na nkurunzinza hawana tofauti
Tunaendelea kuwa-miss our intellectual leaders like Mandela,Samora Michael, Patrice Lumumba, yaani wangelikuwepo leo hii nahisi wangelilia kwa kuiona afrika waliyoipigania inavyofanywa na mafisi watuNdio maana mkurunzinza alisema anapambana na majeshi ya au kasababu wanajuana akuna msafi hasa hivi vyama vikongwe kama fisiem wezi wananchi waliwakata tangu zamani sema ndio wizi tu
Mkuu jambo la kujiuliza kwanza ni hao viongozi wa AU ni kina nani?Nani msafi wa kuamua kufanya au kufuata huo ushauri wako?jibu ni hakunakwani mkuu hakuna possibility ya AU kutuma jeshi ili liwaondoe watu kama M7,Nkurunziza ,Kagame and the likes
mm nahisi tungelipata wakina magufuli kama 20 afrika nzima, maamuzi kama haya yangeliwezekana, yaani mshenzi nkurunziza anaua watu wake na kutishia kupambana na jeshi la wa AU halafu AU nao wanaufyataMkuu jambo la kujiuliza kwanza ni hao viongozi wa AU ni kina nani?Nani msafi wa kuamua kufanya au kufuata huo ushauri wako?jibu ni hakuna
Hata huyo magu ni sawa sawa na hao hao kina nkurunzinza tu,ingekuwa anatofauti angesha maliza tatizo la zenjimm nahisi tungelipata wakina magufuli kama 20 afrika nzima, maamuzi kama haya yangeliwezekana, yaani mshenzi nkurunziza anaua watu wake na kutishia kupambana na jeshi la wa AU halafu AU nao wanaufyata
mm nahisi tungelipata wakina magufuli kama 20 afrika nzima, maamuzi kama haya yangeliwezekana, yaani mshenzi nkurunziza anaua watu wake na kutishia kupambana na jeshi la wa AU halafu AU nao wanaufyata