Uchaguzi una raha yake, mpaka PAYE imepunguzwa

Uchaguzi una raha yake, mpaka PAYE imepunguzwa

Umenena vyema sana mkuu

Yeye anataka amalize, matokeo tunaumizana
Nchi haiwezi kuusha kujengwa na magufuli.

Miundombinu ni suala la mwendelezo, halitakiwi kusababisha maisha mengine yasimame.
 
SIku chache tu baada ya kampeni kuanza PAYE ( pay as you earn ) imepunguzwa na mishahara kuongezeka automatically, unafikiri nani hajui umuhimu wa demokrasia ya vyama vingi.

Jamani Demokrasia ya vyama vingi ni muhimu sana kwa maendeleo ya nchi, tusijiloge kufuta vyama vingi.
Nafikiri haufahamu ya kuwa huu ni mwaka wa 4 mfululizo PAYE Imekuwa ikipungua.
 
SIku chache tu baada ya kampeni kuanza PAYE ( pay as you earn ) imepunguzwa na mishahara kuongezeka automatically, unafikiri nani hajui umuhimu wa demokrasia ya vyama vingi.

Jamani Demokrasia ya vyama vingi ni muhimu sana kwa maendeleo ya nchi, tusijiloge kufuta vyama vingi.
We utakuwa mgeni wa mshahara wewe. Hayo mambo ya mwezi 47 unaleta leo?
 
Unataka kujua jinsi gani unaweza , tafadhali muone mhasibu wako mpelekee table hapo chini halafu atakuelekeza
1598877713476.png
 
Mshahara ni ile basic salary, na ndio itakayotumika kukokotolea mafao yako. Kama haijaongezeka hiyo, usijidanganye kusema kwamba mshahara umeongezeka
Hata kodi ikipungua automatically hela itaongezeka, ndio mshahara umeongezeka
 
Huna akili!Unashabikia kutongozwa ili utiwe?Kipindi hiki cha uchaguzi wanatutongoza polepole ili watutie!
 
Enzi za Kikwete, madaraja ya wafanyakazi yalipanda kila baada ya miaka mitatu! Huyu mzee tangu alipoingia, ameuvuruga utaratibu wote kwa visingizio visivyoisha! Mara uhakiki, mara tumsubiri anunue ndege kwanza!

Hiyo payee iliyopunguzwa, au hata kama angewaongezea wafanyakazi kiasi cha sh. laki 1 kwenye mishahara yao, bado ingekua ni kazi bure! Daraja kwenye muundo wa kiutumishi, ndiyo kila kitu!

Na hii ndiyo changamoto inayotukera wafanyakazi tulio wengi! Haiwezekani tangu enzi za JK mpaka leo, wafanyakazi wanaishi kwa muundo ule ule wa mshahara!

Kiufupi, tu huyu mzee si msaada na si chochote kwa wafanyakazi wa nchi hii! Sidhani kwa mwenendo wake huu, kama atakuja kukumbukwa na mfanyakazi yeyote yule! Labda hao alio waajiri yeye mwenyewe, wale wa TRA na vyombo vya dola
Tena kavuruga sio kidogo sasa hivi kupanda daraja sio miaka 3 tena ni miaka 4,na mara zote sheria inatakiwa kuanza kutumika kwa wafanayakzi wapya lakini kwa Magufuli inatumika hapo hapo ilipotungwa.
 
Anabahati kwa kuwa anaongoza Tanzania ambapo kila jambo wanaona ni fadhira,Kenya wasingekubari tena kwenye hela hapo jamaa wako makin sana we fikiria bunge LA Afrika mashariki wamesusia kwa kutolipwa wakati wapo majumbani mwao kipind hiki cha korona
 
Wewe unafikiri kujenga nchi ni kitu cha kitoto, huoni kila kitu kinafufuliwa, yaani ulalamike barabara mbovu, ulalamike hakuna shirika la ndege , ulalamike shirika la reli limekufa, ulalamike elimu ni ghali ulalamike mishahara midogo, sasa kiongozi anaanza na kimoja baada ya kingine unalalamika tena, kwa hiyo wewe ni kulalamika tu! haya endelea kulalamika.
Mwambieni aongeze na pension za wastaafu. Walimkosea nini?
 
We jamaa chenga Sana, watu tuna miaka kibao hatuna annual increment Wala madaraja. Huko loan board Kikwete akinikata 37,000/- kwa mwezi huyu jamaa ananikata 142,000/- Wala sielewi. Nikaenda loan board head office ili niuze deni kwa CRDB nakuta napigiwa mahesabu deni Toka 2m had 5m, eti Kuna retention fee na administration fee ambayo haionekani kwenye salary slip. Mpuuzi sana ww mtoa mada watu tunateseka huku manina zako.
 
Kwa hiyo kabla ya Vyama vingi (1992) mishahara ilikuwa haipandi?
 
Back
Top Bottom