Uchaguzi USA 2024: Kamala hana mpinzani na atashinda asubuhi!

Uchaguzi USA 2024: Kamala hana mpinzani na atashinda asubuhi!

Mag3

Platinum Member
Joined
May 31, 2008
Posts
13,413
Reaction score
23,592
Kwa ninayolijua taifa kubwa USA, lilikuwa ni kosa kubwa kumpa uongozi felon na ex-convict kama Trump mwaka 2016. Pia kwa ninavyoifahamu Marekani hilo kosa haliwezi kurudiwa.

Trump wannabe dictator ambaye ndoto yake ni kuitawala USA kwa mkono wa chuma kama Putin nchini Urusi, Kamala Harris ataizima hiyo ndoto ya Trumo mapema asubuhi mwezi November!

Kuna watu wana wasiwasi kwa vipi mwanamke anaweza kuwa Rasi wa wa Marekani. Naomba niwaondoe wasi wasi, kwa taifa la kidemokrasia kama USA hilo lawezekana sana tu.

Natazama convention ya DEMOCRATS ikiendelea mjini Chicago na nawaambia ile ya Trump wa REPUBLICANS ilikuwa cha mtoto! Kamala Harris hana mpinzani, anashinda mapema asubuhi.
 
Ujio wa Kamala umekuwa kama ngumi ya ghafla kwa Trump na Republicans iliyowapeleka chini, hawakutegemea kabisa.

Baada ya lile shambulio la risasi Trump alionekana kuwa clear favourite, lakini ujio wa Kamala ghafla umemgeuza Trump kuwa clear loser.
 
Mwaka-Trump hana tofauti na Magufuli kabisa,

Trump kila akisimama ni kusema Marekani imechezewa na inachezewa, sasa watu wa Tanganyika wao makofi tu, wazungu hawapo hivo

Mitume na manabii wanaotanganza ushind kwa Trump wataficha wapi uuso
Wasamehe wanaoitazama USA kwa jicho la Kitanzania. Wengi wetu, kwa kukosa ujasiri tunaogopa mabadiliko na hivyo kuwa mateka ndani ya taifa letu.
 
Kwa ninayolijua taifa kubwa USA, lilikuwa ni kosa kubwa kumpa uongozi felon na ex-convict kama Trump mwaka 2016. Pia kwa ninavyoifahamu Marekani hilo kosa haliwezi kurudiwa.

Trump wannabe dictator ambaye ndoto yake ni kuitawala USA kwa mkono wa chuma kama Putin nchini Urusi, Kamala Harris ataizima hiyo ndoto ya Trumo mapema asubuhi mwezi November!

Kuna watu wana wasiwasi kwa vipi mwanamke anaweza kuwa Rasi wa wa Marekani. Naomba niwaondoe wasi wasi, kwa taifa la kidemokrasia kama USA hilo lawezekana sana tu.

Natazama convention ya DEMOCRATS ikiendelea mjini Chicago na nawaambia ile ya Trump wa REPUBLICANS ilikuwa cha mtoto! Kamala Harris hana mpinzani, anashinda mapema asubuhi.
Mzee Trumpet atamgaragaza mapeema asubuhi
 
Trump wannabe dictator ambaye ndoto yake ni kuitawala USA kwa mkono wa chuma kama Putin nchini Urusi, Kamala Harris ataizima hiyo ndoto ya Trumo mapema asubuhi mwezi November!
...
 
Mzee Trumpet atamgaragaza mapeema asubuhi
Kwa ukumbusho tu mwaka 2008, Obama alimgaragaza MaCain na kupata ushindi uliotia fora.
Hamasa niliyoina mwaka huo kutoka kwa DEMS nainusa leo nikiifuatilia hii convention mjini Chicago.

DEMS hawakuwa na hamasa kama sasa hivi baada ya kumpa nafasi Trump...tapeli, felon na ex-convict!
Mwaka 2016 watu wengi hawakujitokeza kupiga kura kwa kuamini Trump hawezi kumshinda Clinton.
 
....baada ya kumpa nafasi Trump...tapeli, felon na ex-convict!
Taarifa yako imekaa kishabiki, nilitegemea taarifa ya kiuchambuzi zaidi toka kwako mkongwe.

Tusubiri muda uongee, ila upepo wa Kamala unachangiwa pia na furaha waliyoipata watu baada ya kujiondoa ghafla kwa Biden ambaye alikuwa amekataliwa na wapiga kura wengi.
 
Kamala hawezi kuwa Rais wa marekani,Niko pale nimekaa,D.Trump ndo ajaye
Sikushangai hata kidogo ndugu yangu kwani mwaka 2008 wapo walionena hivyo hivyo kwamba Obama hawezi kuwa Rais wa Marekani...Obama alipata ushindi wa kishindo.

Miaka kumi na sita baadaye, leo huyo huyo Obama alikuwa jukwaani akimnadi Kamala! Laiti ungefualitia yanayojiri kwenye convention ya DEMS...moto ulikuwa ni ule ule wa 2008!

Siasa za Marekani na siasa za Tanzania ni kama mbingu na ardhi. Nimekufuatilia kidogo humu ndani hivyo sikushangai kwa msimamo wako wa CCM kutawala Tanzania milele.
 
Back
Top Bottom