Uchaguzi USA 2024: Kamala hana mpinzani na atashinda asubuhi!

Uchaguzi USA 2024: Kamala hana mpinzani na atashinda asubuhi!

Ulichoandika ni uongo mtupu. Nadhani huijui siasa za USA kwa kina.
Trump hawezi kuimaliza vita ya Ukraine kwa sababu hakuianzisha yeye, vita ya Ukraine itakwisha siku Putin akishindwa vita au akiitwaa ukraine yoyote. Trump anasimama wapi katika hilo?

Kuhusu uzalishaji viwandani, Biden amekuwa ni rais bora kuliko wengi katika hilo, rekodi ambayo Trump hakuwahi hata kuiwaza.
Suala la LGBT kwa marekani linalindwa na sheria za kupinga upaguzi wa rangi na wahamiaji, hakuna namna Trump anaweza kukabiliana nalo bila kuipasua USA vipande vipande. Na makundi yenye mlengo wa kuunga mkono hayo ndio makubwa zaidi na yaliyobeba wapiga kura wengi wazuri kwa zaidi ya 70%. Trump apingane nayo halafu apigiwe kura na nani?

Kuhusu vita, anza kujiuliza mtazamo wa Trump kuhusu mashariki ya kati (ambapo kitisho cha vita ya dunia ni kikubwa zaidi), Trump anaunga mkono msimamo wa Israel kuendeleza vita na Kamala Harris anataka zaidi mazungumzo ya amani kusitisha vita. Na kanuni rahisi ya kihistoria huwa, Republican ni wapenda vita zaidi huku Democratic ni wapenda mazungumzo zaidi kwenye mizozo.

Mwisho kabisa ukitaka kujua ni kwanini Kamala Harris huenda atashinda urais kirahisi sana nenda kaangalie ni kwanini 2008 Democratic walimpitisha Obama kugombea urais na mwisho wamerekani wengi wakampigia kura na kushinda uchaguzi. Uchaguzi huu ni kama marudio ya mwaka 2008.
siwezi kubishana sana na wewe. Tusubiri matokeo ya November 2024. Tutarudi hapa, usikimbie
 
Ujio wa Kamala umekuwa kama ngumi ya ghafla kwa Trump na Republicans iliyowapeleka chini, hawakutegemea kabisa.

Baada ya lile shambulio la risasi Trump alionekana kuwa clear favourite, lakini ujio wa Kamala ghafla umemgeuza Trump kuwa clear loser.
kuna kamsemo kanasema adui yako ni adui wa adui wako ,ukifika hapo patana na huyo adui wa adui,IRAN haimtak Trump ,na US pia hawamtaki,ndio maana sasa hivi US na Iran wako pamoja kuhakikisha huyu kibaraka wa Putin hashind
 
Sikukatalii kuhusu kampeni ila awe makini sana. She is still a women, a liberal from San Fransisco bay area. If Trump can tie her to all the liberal policies of California then he still has a chance to clinch the presidency come November. Trump need discipline and that is all because most American trust him on economy and that is what matter. She need to come to the middle as she was for healthcare for all, banning fracking while it is an industry that can make or break you in Pennsylvania, Ohio. She need to trade very carefully on the issues or else she shall see all her leads evaporating in the election night.
Walau wewe unazungumza sense, huyu mtoa mada analeta ushabiki.
 
Kwa ninayolijua taifa kubwa USA, lilikuwa ni kosa kubwa kumpa uongozi felon na ex-convict kama Trump mwaka 2016. Pia kwa ninavyoifahamu Marekani hilo kosa haliwezi kurudiwa.

Trump wannabe dictator ambaye ndoto yake ni kuitawala USA kwa mkono wa chuma kama Putin nchini Urusi, Kamala Harris ataizima hiyo ndoto ya Trumo mapema asubuhi mwezi November!

Kuna watu wana wasiwasi kwa vipi mwanamke anaweza kuwa Rasi wa wa Marekani. Naomba niwaondoe wasi wasi, kwa taifa la kidemokrasia kama USA hilo lawezekana sana tu.

Natazama convention ya DEMOCRATS ikiendelea mjini Chicago na nawaambia ile ya Trump wa REPUBLICANS ilikuwa cha mtoto! Kamala Harris hana mpinzani, anashinda mapema asubuhi.
Sawa, akipigwa huyo maza ako tutakuja kufukua kaburi.
 
Mwaka-Trump hana tofauti na Magufuli kabisa,

Trump kila akisimama ni kusema Marekani imechezewa na inachezewa, sasa watu wa Tanganyika wao makofi tu, wazungu hawapo hivo

Mitume na manabii wanaotanganza ushind kwa Trump wataficha wapi uuso
Mmh Kuna mtume yyt katangaza hivyo?
Nani huyo nikamsikie?

Naowafuatilia Mimi hakuna ht 1 katangaza Trump atashinda
 
Unafananisha siasa za CCM na siasa za Marekani?
Kule sasa hivi Wahamiaji wako tumbo moto! Wakati dunia inaomba Trump ashike dola ili azuie vita vya dunia vya tatu ambavyo viko karibu kutokea wengine wanaomba dunia itawaliwe na Wapenda haki za binadamu (ushoga na usagaji) na vita!
Wahamiaji wepi hao?
Maana Kuna waliohamia Kwa njia sahihi tu
Ht hivyo ningekuwa napiga kura ningempigia Trump 🤣
 
Kwa wapenda amani duniani Kamala anachaguliwa kuwa Rais.
D. Trump ni mtu mbaya sana hafai kwa jamii ya watu waliostarabika
 
Kwa ninayolijua taifa kubwa USA, lilikuwa ni kosa kubwa kumpa uongozi felon na ex-convict kama Trump mwaka 2016. Pia kwa ninavyoifahamu Marekani hilo kosa haliwezi kurudiwa.

Trump wannabe dictator ambaye ndoto yake ni kuitawala USA kwa mkono wa chuma kama Putin nchini Urusi, Kamala Harris ataizima hiyo ndoto ya Trumo mapema asubuhi mwezi November!

Kuna watu wana wasiwasi kwa vipi mwanamke anaweza kuwa Rasi wa wa Marekani. Naomba niwaondoe wasi wasi, kwa taifa la kidemokrasia kama USA hilo lawezekana sana tu.

Natazama convention ya DEMOCRATS ikiendelea mjini Chicago na nawaambia ile ya Trump wa REPUBLICANS ilikuwa cha mtoto! Kamala Harris hana mpinzani, anashinda mapema asubuhi.
Je Wazee wa Marekani wenye nchi yao wako tayari kuongozwa na Mwanamke?
Kati ya Kamala Harris na Hillary Clinton yupi Mwenye nguvu na ushawishi kumzidi mwenzie?
 
Kwa ninayolijua taifa kubwa USA, lilikuwa ni kosa kubwa kumpa uongozi felon na ex-convict kama Trump mwaka 2016. Pia kwa ninavyoifahamu Marekani hilo kosa haliwezi kurudiwa.

Trump wannabe dictator ambaye ndoto yake ni kuitawala USA kwa mkono wa chuma kama Putin nchini Urusi, Kamala Harris ataizima hiyo ndoto ya Trumo mapema asubuhi mwezi November!

Kuna watu wana wasiwasi kwa vipi mwanamke anaweza kuwa Rasi wa wa Marekani. Naomba niwaondoe wasi wasi, kwa taifa la kidemokrasia kama USA hilo lawezekana sana tu.

Natazama convention ya DEMOCRATS ikiendelea mjini Chicago na nawaambia ile ya Trump wa REPUBLICANS ilikuwa cha mtoto! Kamala Harris hana mpinzani, anashinda mapema asubuhi.
Mkuu umekula propaganda za fake news media nawe unatulisha hapa kwa raha zako...... Trump hakuwa convict wala hakuwa na felony yoyote mwaka 2016. Wahuni wa US ndo wamemfungulia makesi ili kumzuia asishiriki uchaguzi, wamemuondoa kwenye karatasi za kura baadhi ya majimbo ya madems karudishwa na SCOTUS.... wamejaribu kumuua Mungu kamnusuru.
Anashinda uchaguzi. Madikteta ni hao wanaopitisha mgombea urais bila kumshindanisha
 
Trump alipokuwa Rais miaka 4 yote hakuna vita mpya iliyoanzishwa. Mnalishwa matango pori wakati mnashinda mtandaoni aisee?
Kamala atakuwa puppet wa deep state
Maisha ya wananchi wa usa yalikuwa mabaya sana kipindi cha Trump kiongozi.

Ukubali ukatae hakuna mtu mwenye akili timamu akamchagua Trump. Ni vile kwenye siasa huwezi kupata mtu sahihi. Ila akili ya trump hapna aisee bora huyo mumama japo naye anamapungufu yake
 
1724282555775.png
 
Mkuu umekula propaganda za fake news media nawe unatulisha hapa kwa raha zako...... Trump hakuwa convict wala hakuwa na felony yoyote mwaka 2016. Wahuni wa US ndo wamemfungulia makesi ili kumzuia asishiriki uchaguzi, wamemuondoa kwenye karatasi za kura baadhi ya majimbo ya madems karudishwa na SCOTUS.... wamejaribu kumuua Mungu kamnusuru.
Anashinda uchaguzi. Madikteta ni hao wanaopitisha mgombea urais bila kumshindanisha
Kwa kawaida sijibu upuuzi kama huu wako lakini nakuomba kama utakuwa na muda ufuatilie yanayojiri kwenye Convention mjini Chicago.

Hilo la kwanza, la pili subiri yatakayofuata siku kampeni rasmi inazinduliwa baada ya Kamala kuteuliwa rasmi siku ya Ijumaa.

Kwa muda mfupi nimefuatilia machapisho yako ya karibuni humu ndani na ghafla nimejikuta nakuhurumia na nakusikitikia sana tu!

Naihurumia nchi yangu Tanzania na nafadhaika na kuumia kweli moyoni kwamba watu kama ninyi mmetamalaki ndani ya taifa letu!

Katika miaka mia mbili ajira mpya 51,000,000 zilianzishwa nchini Marekani na kati ya hizo 50,000,000 zilianzishwa na Democrats...nakutakia siku njema.

Dakika hii Oprah Winfrey anaongea, ngoja nimsikilze! Americans are not going back, In 75 days Trump, the enigma, will disappear!
 
Unaandika kishabiki maandazi tu. Hujaangalia global politics. Sera za Trump za kumaliza vita vya Ukraine, kuzuia wahamiaji haramu Marekani, kukemea ushoga (LGBT), kuongeza uzalishaji viwandani na kuweka kodi nafuu vinamfanya Trump awe chaguo la wengi
Hivi mnaposema kukemea ushoga mnakuwa na taarifa sahihi au mnaandika tu!? Marekani ushoga unalindwa na sheria na mashoga na supporters wao ndo wameshika hizo kura za urais so hilo ni eneo ambalo hakuna mwenye uwezo wa kuligusa. Tuache ushabiki wa kahawa.
 
Hivi mnaposema kukemea ushoga mnakuwa na taarifa sahihi au mnaandika tu!? Marekani ushoga unalindwa na sheria na mashoga na supporters wao ndo wameshika hizo kura za urais so hilo ni eneo ambalo hakuna mwenye uwezo wa kuligusa. Tuache ushabiki wa kahawa.
Kwani wewe ni shoga? Mbona unatumia nguvu nyingi kutetea? Soma hapa kauli yake ya jana
Screenshot_20240822_123851_X.jpg

Endelea na ushoga wenu ila mwenyewe amesema jeshini atawatoa.
 
Back
Top Bottom