Uchaguzi USA 2024: Kamala hana mpinzani na atashinda asubuhi!

Uchaguzi USA 2024: Kamala hana mpinzani na atashinda asubuhi!

Nenda kachunguze vizuri siasa za marekani, kajikumbushe jinsi alivyoangushwa Hilarry Clinton na Trump. Hakuna nchi yenye mfumo dume kama marekani kwenye nafasi ya uraisi.
 
Kwani wewe ni shoga? Mbona unatumia nguvu nyingi kutetea? Soma hapa kauli yake ya jana
View attachment 3076236
Endelea na ushoga wenu ila mwenyewe amesema jeshini atawatoa.
Unajua maana ya transgender au umekurupuka!? Wapi hapo amezungumzia ushoga!? Nchini Marekani mashoga hawagusiki, wanalindwa na sheria na ndo sababu wengi huwaita wamarekani wote mashoga sababu wameukubali ushoga na kuulinda. Hebu rudi shule au tumia kamusi kutafsiri kilichoandikwa hapo then jishike makalio na kusema "mimi ni mpumbavu"
 
Unajua maana ya transgender au umekurupuka!? Wapi hapo amezungumzia ushoga!? Nchini Marekani mashoga hawagusiki, wanalindwa na sheria na ndo sababu wengi huwaita wamarekani wote mashoga sababu wameukubali ushoga na kuulinda. Hebu rudi shule au tumia kamusi kutafsiri kilichoandikwa hapo then jishike makalio na kusema "mimi ni mpumbavu"
Yote ni mashoga tu ndiyo maana yameundiwa acronym yao inaitwa LGBT. Mtajijuwa wenyewe
 
Yote ni mashoga tu ndiyo maana yameundiwa acronym yao inaitwa LGBT. Mtajijuwa wenyewe
Kwa taarifa yako sasa: Trump au kiongozi mwingine yeyote wa Marekani hawezi kuigusa hiyo jamii akapata support ya umma! Wale wameshajichagulia upande (wa kutetea huo uchafu) so usijipe matumaini kwa kutarajia Trump atafanya lolote kinyume na hilo.
 
Kwa ninayolijua taifa kubwa USA, lilikuwa ni kosa kubwa kumpa uongozi felon na ex-convict kama Trump mwaka 2016. Pia kwa ninavyoifahamu Marekani hilo kosa haliwezi kurudiwa.

Trump wannabe dictator ambaye ndoto yake ni kuitawala USA kwa mkono wa chuma kama Putin nchini Urusi, Kamala Harris ataizima hiyo ndoto ya Trumo mapema asubuhi mwezi November!

Kuna watu wana wasiwasi kwa vipi mwanamke anaweza kuwa Rasi wa wa Marekani. Naomba niwaondoe wasi wasi, kwa taifa la kidemokrasia kama USA hilo lawezekana sana tu.

Natazama convention ya DEMOCRATS ikiendelea mjini Chicago na nawaambia ile ya Trump wa REPUBLICANS ilikuwa cha mtoto! Kamala Harris hana mpinzani, anashinda mapema asubuhi.
Nchini Marekani mshindi wa nafasi ya urais huwa anapatika kwa "collage vote" wala siyo "popular vote". Marekani ipo katika tishio kubwa la kupoteza "dollar dominance due multiple reasons, one being impacts of expiration of US-Saudi petrodollar pact"

Sera za kiuchumi za Democrat haziwezi kuifanya Marekani kushindana kimkakari na mataifa shindani kiuchumi kama China. Sera za Republican ndizo hasa ambazo kwa sasa huaminiwa na mabwanyenye waliokuwa wengi wa nchi hii.

Na hawa ndiyo hasa wenye nguvu na nafasi kubwa ya kufanya "endorsement" ili kumpata kiongozi wa taifa lao.
 
wanawake wakae nyumbani walelee familia zao. kazi ya utawala haiwahusu. Hata kiongozi wa familia sio mama ni baba.
 
Kwa taarifa yako sasa: Trump au kiongozi mwingine yeyote wa Marekani hawezi kuigusa hiyo jamii akapata support ya umma! Wale wameshajichagulia upande (wa kutetea huo uchafu) so usijipe matumaini kwa kutarajia Trump atafanya lolote kinyume na hilo.
Jisikie aibu kutetea ushoga !! Haijalishi wamarekani wanaukubali.
 
Kwa ninayolijua taifa kubwa USA, lilikuwa ni kosa kubwa kumpa uongozi felon na ex-convict kama Trump mwaka 2016. Pia kwa ninavyoifahamu Marekani hilo kosa haliwezi kurudiwa.

Trump wannabe dictator ambaye ndoto yake ni kuitawala USA kwa mkono wa chuma kama Putin nchini Urusi, Kamala Harris ataizima hiyo ndoto ya Trumo mapema asubuhi mwezi November!

Kuna watu wana wasiwasi kwa vipi mwanamke anaweza kuwa Rasi wa wa Marekani. Naomba niwaondoe wasi wasi, kwa taifa la kidemokrasia kama USA hilo lawezekana sana tu.

Natazama convention ya DEMOCRATS ikiendelea mjini Chicago na nawaambia ile ya Trump wa REPUBLICANS ilikuwa cha mtoto! Kamala Harris hana mpinzani, anashinda mapema asubuhi.
Babu yenu Trump amechanganyikiwa.

Ndivyo na Samia atawapiga Machadema saa 1 asubuhi
 
Jisikie aibu kutetea ushoga !! Haijalishi wamarekani wanaukubali.
Au we ndo choko mwenyewe nini!!??? Mada hapa ni Trump kupinga ushoga na ndo nakwambia hawezi kufanya hicho kitu maana sheria za nchi yake hazimruhusu...ajabu ni kuwa unanitwisha mimi zigo la Trump! Au we ni choko!? Nasisitiza tena: Wamarekani wote wanasupport ushoga so usitegemee hata siku moja atokee Mmarekani (hasa kiongozi mkubwa) aupinge ushoga hadharani, haiwezekani hiyo. Kama hutaki basi tulia na uchoko wako usinisumbue
 
Back
Top Bottom