Uchaguzi USA 2024: Kamala hana mpinzani na atashinda asubuhi!

Uchaguzi USA 2024: Kamala hana mpinzani na atashinda asubuhi!

Exactly yule Mama pamoja na kutumia sympathy ya uindi na uafrica Ila watu bado wanataka Trump aingie pale kwa mara nyingine
Weka data hapa zinazosapoti unachosema.

Eti “Watu wanataka Trump aingie pale”

We ndo umesema na unapigiwa makofi kabisa!🤦🏾‍♂️
 
Wanamkubali Kamala ni watu waupinde mashoga globalist ambao wanampango wa kuitawala dunia na kueneza ushoga na transgender kwa speed Kwann ww uwapende ni Bora trump atubague weusi lakin uzur wake yeye anapiga upinde na ujinga wote wa kishetani kuliko hao democrats wanao support kampeni za ushoga dunian hasa Africa na kuchochea vita
 
Una data yoyote mkuu mfano ya
1.inflation?
Maisha ya wananchi wa usa yalikuwa mabaya sana kipindi cha Trump kiongozi.

Ukubali ukatae hakuna mtu mwenye akili timamu akamchagua Trump. Ni vile kwenye siasa huwezi kupata mtu sahihi. Ila akili ya trump hapna aisee bora huyo mumama japo naye anamapungufu yake

Kwa kawaida sijibu upuuzi kama huu wako lakini nakuomba kama utakuwa na muda ufuatilie yanayojiri kwenye Convention mjini Chicago.

Hilo la kwanza, la pili subiri yatakayofuata siku kampeni rasmi inazinduliwa baada ya Kamala kuteuliwa rasmi siku ya Ijumaa.

Kwa muda mfupi nimefuatilia machapisho yako ya karibuni humu ndani na ghafla nimejikuta nakuhurumia na nakusikitikia sana tu!

Naihurumia nchi yangu Tanzania na nafadhaika na kuumia kweli moyoni kwamba watu kama ninyi mmetamalaki ndani ya taifa letu!

Katika miaka mia mbili ajira mpya 51,000,000 zilianzishwa nchini Marekani na kati ya hizo 50,000,000 zilianzishwa na Democrats...nakutakia siku njema.

Dakika hii Oprah Winfrey anaongea, ngoja nimsikilze! Americans are not going back, In 75 days Trump, the enigma, will disappear!
Hakika kabisa wewe ndo wa kuhurumia. Inasikitisha mtu kushinda mtandaoni lakini hana taarifa. Kwa hiyo wewe huwa unapata wapi data zako? Nenda leta hapa comparative data za inflation wakati wa Trump Vs Biden-Harris. Kazi kwa watu wa rangi ziliongezeka kwa blacks na hispanics. US ikaanza kutotegemea nishati kutoka nje, hqkuna vita mpya iliyoanzishwa na wanajeshi wa US wakaondolewa maeneo mengi.
Roe Vs Wade ikawa overturned, mashariki ya kati ikawa stable, mikataba ya amani ikasainiwa, Urusi hakuivamia Ukraine kama alivyofanya wakati wa Obama kule Crimea na sasa kule Donmbas....... Halafu unakuja kusambaza issue za fake news mkuu!!....... Hizo polls zenu za fake CNN, CBS nk ngoja tuone zitafika wapi. Novemba si mbali
 
Convention ilitawaliwa na maandamano ya wademocrats wasiokubaliana na uhuni uliofanywa kumpa ugombea Kamala. Watetezi wa Kamala hapa ndo haohao watakuja hapa kulalamika mgombea wa CCM akipitishwa kwa kura za ndiyo na hapana.
 
O
Na sasa... Wakati Iran wako katika majaribio ya kumuua Trump.... Ndoalimuua Soleiman yule, alijitoa mkataba wa Nuclear wa Iran nk... Iran inamchukia Trump kufa. Inawataka wadhaifu kama Obama, Biden na sasa huyo Kamara.
 
Mag3 na nyie mnaruhusiwa kupiga kura? Nakumbuka uchaguzi uleee ulimwingiza Trump pale white house kuna mdau m1 wa hapa jf sijui kwa sasa yuko wapi BAK alituaminisha kwamba mama clinton atashinda kwa ushimdi wa kishindo kama ccm.
Shida nyie wahamiaji mnamchukia D Trump kwa kukataa wahamiaji na sasa mna mfanyia maombi ilj asiingie pale white house. Mtaubiri sana...
 
Kwa kawaida sijibu upuuzi kama huu wako lakini nakuomba kama utakuwa na muda ufuatilie yanayojiri kwenye Convention mjini Chicago.

Hilo la kwanza, la pili subiri yatakayofuata siku kampeni rasmi inazinduliwa baada ya Kamala kuteuliwa rasmi siku ya Ijumaa.

Kwa muda mfupi nimefuatilia machapisho yako ya karibuni humu ndani na ghafla nimejikuta nakuhurumia na nakusikitikia sana tu!

Naihurumia nchi yangu Tanzania na nafadhaika na kuumia kweli moyoni kwamba watu kama ninyi mmetamalaki ndani ya taifa letu!

Katika miaka mia mbili ajira mpya 51,000,000 zilianzishwa nchini Marekani na kati ya hizo 50,000,000 zilianzishwa na Democrats...nakutakia siku njema.

Dakika hii Oprah Winfrey anaongea, ngoja nimsikilze! Americans are not going back, In 75 days Trump, the enigma, will disappear!
Mkuu, I hope unafuatilia kinachoendelea kwenye kampeini na jinsi honey moon kwa Harris inavoisha
 
Kwa ninayolijua taifa kubwa USA, lilikuwa ni kosa kubwa kumpa uongozi felon na ex-convict kama Trump mwaka 2016. Pia kwa ninavyoifahamu Marekani hilo kosa haliwezi kurudiwa.

Trump wannabe dictator ambaye ndoto yake ni kuitawala USA kwa mkono wa chuma kama Putin nchini Urusi, Kamala Harris ataizima hiyo ndoto ya Trumo mapema asubuhi mwezi November!

Kuna watu wana wasiwasi kwa vipi mwanamke anaweza kuwa Rasi wa wa Marekani. Naomba niwaondoe wasi wasi, kwa taifa la kidemokrasia kama USA hilo lawezekana sana tu.

Natazama convention ya DEMOCRATS ikiendelea mjini Chicago na nawaambia ile ya Trump wa REPUBLICANS ilikuwa cha mtoto! Kamala Harris hana mpinzani, anashinda mapema asubuhi.
Nimekaa paleeee, kamala hatoboi. Trump anashinda.
 
Kamala wanampa moyo ila ameshaharibu tokea mwanzo 😃 mara aseme kuwa ana asili ya watu weusi mara aseme ni latina! Trump anaingia kibabe
 
Kwa ninayolijua taifa kubwa USA, lilikuwa ni kosa kubwa kumpa uongozi felon na ex-convict kama Trump mwaka 2016. Pia kwa ninavyoifahamu Marekani hilo kosa haliwezi kurudiwa.

Trump wannabe dictator ambaye ndoto yake ni kuitawala USA kwa mkono wa chuma kama Putin nchini Urusi, Kamala Harris ataizima hiyo ndoto ya Trumo mapema asubuhi mwezi November!

Kuna watu wana wasiwasi kwa vipi mwanamke anaweza kuwa Rasi wa wa Marekani. Naomba niwaondoe wasi wasi, kwa taifa la kidemokrasia kama USA hilo lawezekana sana tu.

Natazama convention ya DEMOCRATS ikiendelea mjini Chicago na nawaambia ile ya Trump wa REPUBLICANS ilikuwa cha mtoto! Kamala Harris hana mpinzani, anashinda mapema asubuhi.
Unafikiri mafuriko ya lowasa ndio yanaamua urais wa America!!?

Inategemea "the state yao inamtaka nani"sidhani kama huyo Harriss anatakiwa na hao jamaa!!

Ni muda wa Trumph tena!
 
Shabiki kwa nani? Kwa taarifa mimi si Mmarekani

Taarifa ya uchambuzi...Kwa taarifa huko Marekani hakuna tume ya taifa ya uchaguzi!
Kama hawana Tume ya Uchaguzi, ni chombo gani sasa kinaratibu na kusimamia zoezi zima la uchaguzi? Au mfumo wao wa uchaguzi uko vipi?
 
Unaijua marekani kuliko wamarekani wenyewe
 
Weka data hapa zinazosapoti unachosema.

Eti “Watu wanataka Trump aingie pale”

We ndo umesema na unapigiwa makofi kabisa!🤦🏾‍♂️
Hatuna haja kubishana, siku 4 zijazo zitaongea..Trumph hana mpinzani
 
Ya
Mkuu, I hope unafuatilia kinachoendelea kwenye kampeini na jinsi honey moon kwa Harris inavoisha
Tatizo la Hawa wahamiaji haramu wamejawa na hofu, wanajua mabadiliko ya immigration policies yatakayofanywa na serikali ya Trump yatawarudisha huku mavumbini...

Pamoja na hivyo, huyo mwanamama Kamala ambaye mpaka leo hii hata yeye mwenyewe hajui Yuko ethnic group gani hawezi kushinda, maana hata huko blue states tu ameshaanza kugalagazwa.
 
While I am for her winning it is not as easy as you think. Trump still has a chance to 270 votes comes November. She need to lock in Pennsylvania, Wisconsin, Michigan while holding her ground in traditional Democrats states. She still need to campaign hard.
In 2016 Clinton thought she had the presidency only losing it at the last day!
It's three days away before Tuesday, November 5th...

As it goes now, do you still believe Donald Trump will become 47th USA President..?

Put those thoughts away. Your friend Donald Trump has a very slim chance of winning the election....

It's impossible because, Kamala Harris and Democrats by in large, are slowly slamming Donald Trump...

Republicans are regretting endorsing Donald Trump for USA 2024 presidential election..

This blunder mistake is going to be done by CCM comes 2025 by endorsing Samia Suluhu Hassan for Tanganyika's 2025 presidential election...

If they do this mistake, then it will mark the end of their beginning...!!
 
Kwa ninayolijua taifa kubwa USA, lilikuwa ni kosa kubwa kumpa uongozi felon na ex-convict kama Trump mwaka 2016. Pia kwa ninavyoifahamu Marekani hilo kosa haliwezi kurudiwa.

Trump wannabe dictator ambaye ndoto yake ni kuitawala USA kwa mkono wa chuma kama Putin nchini Urusi, Kamala Harris ataizima hiyo ndoto ya Trumo mapema asubuhi mwezi November!

Kuna watu wana wasiwasi kwa vipi mwanamke anaweza kuwa Rasi wa wa Marekani. Naomba niwaondoe wasi wasi, kwa taifa la kidemokrasia kama USA hilo lawezekana sana tu.

Natazama convention ya DEMOCRATS ikiendelea mjini Chicago na nawaambia ile ya Trump wa REPUBLICANS ilikuwa cha mtoto! Kamala Harris hana mpinzani, anashinda mapema asubuhi.
It's challenging to predict an election outcome with certainty, especially with so many factors at play: voter turnout, economic conditions, key debates, and campaign strategies all have a strong impact. Polling data and historical trends provide some insight, but elections are dynamic and sometimes unpredictable.

Kamala Harris and Donald Trump would represent two very different policy visions for the U.S., so the outcome would likely hinge on key issues like the economy, healthcare, climate policy, and foreign relations, as well as the candidates’ ability to mobilize their voter bases.
 
Kwa ninayolijua taifa kubwa USA, lilikuwa ni kosa kubwa kumpa uongozi felon na ex-convict kama Trump mwaka 2016. Pia kwa ninavyoifahamu Marekani hilo kosa haliwezi kurudiwa.

Trump wannabe dictator ambaye ndoto yake ni kuitawala USA kwa mkono wa chuma kama Putin nchini Urusi, Kamala Harris ataizima hiyo ndoto ya Trumo mapema asubuhi mwezi November!

Kuna watu wana wasiwasi kwa vipi mwanamke anaweza kuwa Rasi wa wa Marekani. Naomba niwaondoe wasi wasi, kwa taifa la kidemokrasia kama USA hilo lawezekana sana tu.

Natazama convention ya DEMOCRATS ikiendelea mjini Chicago na nawaambia ile ya Trump wa REPUBLICANS ilikuwa cha mtoto! Kamala Harris hana mpinzani, anashinda mapema asubuhi.

View: https://x.com/TheWakeninq/status/1852680843128348690
 
Back
Top Bottom