Uchaguzi 2020 Uchaguzi utakuwa wa haki na uwazi – NEC

Uchaguzi 2020 Uchaguzi utakuwa wa haki na uwazi – NEC

Tume ya Taifa ya uchaguzi imesisitiza kuwa Uchaguzi utakaofanyika Tarehe 28 Oktoba, 2020 utakuwa huru, wa haki na wenye kuzingatia uwazi kwa mujibu wa sheria.


Hayo yamesemwa na Makamu Mwenyekiti wa Tume, Jaji Mstaafu Mhe. Mbarouk S. Mbarouk alipokuwa akihutubia Mkutano wa Wadau na Asasi mbalimbali za Uchaguzi Mkoani Iringa.

SOURCE: Daily News Tanzania
Kuanzia waanze kuzawadia wanaume viti maalumu kupita bila kupingwa hawa nawaangalia kwa jicho la tatu na la nne
 
Hayo ni maneno tu, mtashuhudia jinsi kuapisha mawakala wa upinzani jinsi wakurugenzi watakavyofanya figisu...
 
Tume ya Taifa ya uchaguzi imesisitiza kuwa Uchaguzi utakaofanyika Tarehe 28 Oktoba, 2020 utakuwa huru, wa haki na wenye kuzingatia uwazi kwa mujibu wa sheria.


Hayo yamesemwa na Makamu Mwenyekiti wa Tume, Jaji Mstaafu Mhe. Mbarouk S. Mbarouk alipokuwa akihutubia Mkutano wa Wadau na Asasi mbalimbali za Uchaguzi Mkoani Iringa.

SOURCE: Daily News Tanzania
Uchaguzi no Mchakato, ni aibu kwa boss was tume kidhani Uchuagizi unaanzia siku ya Kupiga Kura. Ilipaswa hadi Muda huu tuwe tumeshaona hiyo haki ikitendeka. Lakini hakuna kitu. Limahela limejiingiza had kwenye kupigia chapuo Chama chake. Aibu gani hii? Hii Tume ni Ovess (Hopeless) kabisa!
 
Tume ya Taifa ya uchaguzi imesisitiza kuwa Uchaguzi utakaofanyika Tarehe 28 Oktoba, 2020 utakuwa huru, wa haki na wenye kuzingatia uwazi kwa mujibu wa sheria.


Hayo yamesemwa na Makamu Mwenyekiti wa Tume, Jaji Mstaafu Mhe. Mbarouk S. Mbarouk alipokuwa akihutubia Mkutano wa Wadau na Asasi mbalimbali za Uchaguzi Mkoani Iringa.

SOURCE: Daily News Tanzania


Engua engua alisaidia kujua kama uchaguzi hautakuwa huru na haki, na hayo mabomu ndiyo basi tena yanakoleza kwamba hautakuwa huru na haki. Swali fikirishi je mawakala wa upinzani mutawapisha kwa wakati na nakala zitakuwepo za kutosha
 
Tume ya Taifa ya uchaguzi imesisitiza kuwa Uchaguzi utakaofanyika Tarehe 28 Oktoba, 2020 utakuwa huru, wa haki na wenye kuzingatia uwazi kwa mujibu wa sheria.


Hayo yamesemwa na Makamu Mwenyekiti wa Tume, Jaji Mstaafu Mhe. Mbarouk S. Mbarouk alipokuwa akihutubia Mkutano wa Wadau na Asasi mbalimbali za Uchaguzi Mkoani Iringa.

SOURCE: Daily News Tanzania

Huyu naye ni mpuuzi kama wapuuzi wengne. Engua engua ni haki?
 
Back
Top Bottom