UCHAGUZI UVCCM: Kawaida kutoka Zanzibar Mwenyekiti Mpya wa UVCCM Taifa, Rehema Sombi Makamu Mwenyekiti Taifa

UCHAGUZI UVCCM: Kawaida kutoka Zanzibar Mwenyekiti Mpya wa UVCCM Taifa, Rehema Sombi Makamu Mwenyekiti Taifa

ISRAEL JR

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2013
Posts
1,523
Reaction score
758
Mohamed Kawaida ameshinda Nafasi ya Mwenyekiti wa UVCCM-Taifa ambapo Nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa UVCCM-Taifa imechukuliwa na Bi Rehema Sombi Omary

IMG-20221127-WA0204.jpg
IMG-20221127-WA0205.jpg


MATOKEO YA UCHAGUZI UVCCM
==========================
IMG-20221128-WA0063.jpg
IMG-20221128-WA0066.jpg
IMG-20221128-WA0065.jpg
IMG-20221128-WA0064.jpg
IMG-20221128-WA0067.jpg
IMG-20221128-WA0069.jpg

IMG-20221128-WA0068.jpg

IMG-20221128-WA0062.jpg
 

Attachments

  • VID-20221127-WA0208.mp4
    1,014.5 KB
Hongereni Sana, Tunahitaji hoja zenye nguvu kutoka kwenu
 
Hakukuwa na wakristo wenye sifa za kugombea?
Walikuwepo wengi sana sema tu wamefanyiwa mizengwe

Ikiwemo kuenguliwa kwenye mchujo-majina yao kukatwa mapema.....(Mwenyekiti huwa na orodha yake), na wale wanaobakizwa hadi kufikia hatua ya kupigiwa kura wakati wa matokeo kura zao walizopata hupunguzwa na kuhamishiwa kwa wagombea wa mwenyekiti
 
Huyo Rehema,ni mchapakazi kwelikweli.Hongera kwao.
 
Huyo Rehema, ni mchapakazi kwelikweli. Hongera kwao.
 
Back
Top Bottom