Uchaguzi wa Bunge la Wananchi CHADEMA

Uchaguzi wa Bunge la Wananchi CHADEMA

Nawapongeza kwa kurasimisha concept ya bunge la wananchi ila sijapenda suala la Suzan Lyimo kuwa kiongozi Tena!!



Mtu ameshakua mbunge since 2010 akastaafu 2020 akakaribishwa Baraza la wazee how on earth anapewa active post??



Hili bunge ni kwa ajili ya active politics na liko kimkakati kwa wagombea wa Chadema 2025 waanze kuonekana mapema. So ni jambo jema watu kama Lumola na Shija kuibuliwa Leo ila sura zile zile kupewa Uspika sioni kama ni strategic kabisa na hapo tumefeli.



Na hii tabia haipo Chadema tu hata CCM, unakuta mtu ni waziri Bado anagombea ujumbe NEC wakati huo huo ni mbunge as if hakuna sura mpya!!



Iwekwe kanuni kwamba mtu mmoja kofia Moja haiwezekani Msigwa akawa mwenyekiti wa Kanda hapo hapo alikua mbunge hapo hapo ukute mjumbe wa kamati kuu!! Hapana waamue Moja na kingine waachie wengine nao wapate fursa ya kuonyesha uwezo wao.



Cc Erythrocyte Kalamu
Nilivyoelewa mada yako hii, ni kama umeweka mambo mawili tofauti kwa pamoja.

Kwa mtu aliyewahi kuwa kiongozi, halafu akastaafu; baadae akaitwa tena kushika nafasi ya uongozi. Hili moja.

La pili, nilivyoelewa mimi, ni kwamba mtu bado ni kiongozi ambaye anashikilia cheo maalum ndani ya chama, halafu wakati huo huo, anasaka au anateuliwa kushika nyadhifa nyingine ambazo zitahitaji ufanisi wa kuzisimamia.

Hili la pili ninakubaliana nawe moja kwa moja.

Hilo la mwanzo, kama kiongozi alistaafu na rekodi nzuri ya utendaji, na bado anazonguvu za kukisaidia chama kufikia malengo yake, sioni tatizo kabisa juu ya hilo.

Na hasa ukichukulia, kwa mfano hilo la kuwa Spika wa Bunge, kazi ambayo nadhani inahitaji mtu ambaye, hata kama hakushika nafasi hiyo kabla ya kung'atuka kwake, lakini alifanya kazi zake kwenye taratibu zinazohusiana na cheo hicho, nadhani mtu huyo anafaa sana kurudishwa ili uzoefu wake usaidie shughuli za chama.
 
Bunge ni la serikali ya....inaweza kuwa serikali ya wanafunzi,serikali ya Wananchi wa JMT na kukosekana kwa neno serikali hilo ni genge.

Je, CHADEMA ina serikali gani mpaka iwe na uwezo na hadhi ya kuendesha bunge? Acheni kujitoa ufahamu ninyi BAVICHA , uhaini na uasi unaanzaga hivihivi mwisho wa siku mnajikuta mnamuita Mbowe au Lissu Rais
 
Uhaini ni upi? Vyuo vikuu tu kuna bunge na mawaziri mpaka Marais ndio sembuse chama kikubwa kama Chadema?

Acheni kukariri maisha, hakuna kosa kuwa na bunge maana ni majadiliano tu yanafanyika hapo Wala sio kama ni jeshi kwamba Kuna risk ya machafuko
Mtu kama huyo uliyemjibu hapo, ni kati ya raia wetu wa kuwaonea huruma sana kwa ujinga walionao kichwani. Inasikitisha.
 
Bunge ni la serikali ya....inaweza kuwa serikali ya wanafunzi,serikali ya Wananchi wa JMT na kukosekana kwa neno serikali hilo ni genge.

Je, CHADEMA ina serikali gani mpaka iwe na uwezo na hadhi ya kuendesha bunge? Acheni kujitoa ufahamu ninyi BAVICHA , uhaini na uasi unaanzaga hivihivi mwisho wa siku mnajikuta mnamuita Mbowe au Lissu Rais
Wewe ni ujinga tu ndio unaokusumbua, na watu kama nyinyi ndio mtaji mkubwa sana kwa CCM.
 
Inasikitisha sana
Inasikitisha zaidi, ukigundua kwamba hawa watu wamesoma hadi chuo kikuu, wanazo digrii kabisa, tena huenda katika maeneo yanayohusiana na siasa, tawala, jumuia, n.k.
Hata mtu aliyesoma masomo ya sayansi hawezi kukosa upeo wa maisha ya kila siku kama wanavyoonyesha hawa watu.
 
Inasikitisha zaidi, ukigundua kwamba hawa watu wamesoma hadi chuo kikuu, wanazo digrii kabisa, tena huenda katika maeneo yanayohusiana na siasa, tawala, jumuia, n.k.
Hata mtu aliyesoma masomo ya sayansi hawezi kukosa upeo wa maisha ya kila siku kama wanavyoonyesha hawa watu.
Na wengine ni Masters degree kabisa ila kichwani wametanguliza njaa kwanza
 
Nawapongeza kwa kurasimisha concept ya bunge la wananchi ila sijapenda suala la Suzan Lyimo kuwa kiongozi Tena!!



Mtu ameshakua mbunge since 2010 akastaafu 2020 akakaribishwa Baraza la wazee how on earth anapewa active post??



Hili bunge ni kwa ajili ya active politics na liko kimkakati kwa wagombea wa Chadema 2025 waanze kuonekana mapema. So ni jambo jema watu kama Lumola na Shija kuibuliwa Leo ila sura zile zile kupewa Uspika sioni kama ni strategic kabisa na hapo tumefeli.



Na hii tabia haipo Chadema tu hata CCM, unakuta mtu ni waziri Bado anagombea ujumbe NEC wakati huo huo ni mbunge as if hakuna sura mpya!!



Iwekwe kanuni kwamba mtu mmoja kofia Moja haiwezekani Msigwa akawa mwenyekiti wa Kanda hapo hapo alikua mbunge hapo hapo ukute mjumbe wa kamati kuu!! Hapana waamue Moja na kingine waachie wengine nao wapate fursa ya kuonyesha uwezo wao.



Cc Erythrocyte Kalamu
Tukubaliane tu, kuna baadhi ya post zinahitaji sana experience, kwangu Suzan Lyimo kuwa Spika sioni ubaya.

Lakini pia ulichosema kuhusu historia yake, kwangu naona hujamtendea haki, ni kama umemtenga, kama hakuondoka/staafu kwa rekodi mbaya, pia sioni ubaya kwake kurudi hapo alipo.

Vijana ni muhimu wapewe nafasi, lakini kuna namna ya kufanya transition ili hao vijana waone mambo yanavyoendeshwa, siku ikifika nao kupewa nafasi, wazitendee haki.
 
#HABARI Mkurugenzi wa Mawasiliano wa @ChademaTz @JonMrema amesema Bunge la Wananchi limeundwa na wanachama wa CHADEMA waliogombea ubunge mwaka 2020 na kwamba litakuwa linaendeshwa kwa njia ya mtandao na litashughulika na bajeti za serikali,
 
#HABARI Mkurugenzi wa Mawasiliano wa @ChademaTz @JonMrema amesema Bunge la Wananchi limeundwa na wanachama wa CHADEMA waliogombea ubunge mwaka 2020 na kwamba litakuwa linaendeshwa kwa njia ya mtandao na litashughulika na bajeti za serikali,
makes a lot of sense! Kwa kila mortion itakayokuwa bungeni, basi na Chadema watakuwa wanaijadili as if wako Bungeni (Bunge la wananchi). sasa wananchi (of course wenye akili) watapima wapi makapi na wapi cream, wapi penye great thinkers!
 
Yaani CHADEMA viongozi wake ni zero brain...na ni form 4 na 6 failure...hivi mnajua mnachokifanya ni uhaini kwa nchi...?mnatumia katiba ipi?
Msajili wa vyama akikufutieni usajili msilalamike!!!

NB:MMEMDHARAU SANA MAMA ILA MAGU ANGEKUWEPO MSINGEFANYA HUO UJINGA
Mkuu

BADO unaamini, Elimu iliyopo haihitajit reform Ili tupate elimu HALISI!!?

Unachopinga hakiendani na hoja ya Elimu Yao!

Acha demokrasia itamalaki !

Tupate hoja mbadala ambazo hazipo kwenye Bunge la chama kimoja lililopo dodoma!

Haifanyiki KWA Bahati mbaya ni MALENGO maalum KWA faida ya wananchi!

LABDA

Bunge hili likatumika kuteua Bunge la katiba Mpya KWA baadhi yao ya member waliopo humo!(refer Tumia akili;-operation imesitishwa the state wamesema apewe Muda")
Kwamba wateule wa Bunge la Katiba wasiwe hao tu waliopo Bungeni bali wengine watoke nje ya Bunge kimkakati!

NDICHO ninachokiona,sijui wewe unaonaje!
 
Mkuu

BADO unaamini, Elimu iliyopo haihitajit reform Ili tupate elimu HALISI!!?

Unachopinga hakiendani na hoja ya Elimu Yao!

Acha demokrasia itamalaki !

Tupate hoja mbadala ambazo hazipo kwenye Bunge la chama kimoja lililopo dodoma!

Haifanyiki KWA Bahati mbaya ni MALENGO maalum KWA faida ya wananchi!

LABDA

Bunge hili likatumika kuteua Bunge la katiba Mpya KWA baadhi yao ya member waliopo humo!(refer Tumia akili;-operation imesitishwa the state wamesema apewe Muda")
Kwamba wateule wa Bunge la Katiba wasiwe hao tu waliopo Bungeni bali wengine watoke nje ya Bunge kimkakati!

NDICHO ninachokiona,sijui wewe unaonaje!
Wewe ni mwl?
 
Mngefungua hata online radio na tv moja ili tuwastream huko
 
Back
Top Bottom