Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
pawaaaaaaPeppleeezz
Unajiliwaza siyo?Hii ndio Taarifa unayopaswa kuifahamu popote ulipo , kwamba
Kwamba uchaguzi haupo na kwahiyo nazusha au ?Unajiliwaza siyo?
Ya kurogana na kuviziana kwa sumu.kwamba uchaguzi haupo na kwahiyo nazusha au ?
Hayo hayapo Chadema , mpe pole Mangula , hivi yupo kweli ?Ya kurogana na kuviziana kwa sumu.
Yakutekana ni ya CHADEMA. Wanao lumbana ni CHADEMAMuulize Mangula
hapo pagumu.Uchaguzi wa mwenyekiti ni lini?
Usiondoke JFTuanaomba Ratiba ya chaguzi ktk ngazi zote za chadema iwekwe wazi ili nasi tukatie Nia maeneo yetu .
Ulikuwa na umri gani Mangula alipolishwa sumu Lumumba ? Mzee wa watu hadi leo hataki hata kushiriki misiba !Yakutekana ni ya CHADEMA. Wanao lumbana ni CHADEMA
Safari hii hakuna wakumsingizia. Mjitathmini.
Hayo hayapo Chadema , mpe pole Mangula , hivi yupo kweli ?
Jikumbushe:Hii ndio Taarifa unayopaswa kuifahamu popote ulipo, kwamba huko Chadema moto unawaka, mwenye hoja ndiye atakayechaguliwa , Isipokuwa ni Aman tupu, hakuna kulogana wala kuuana kwa sumu kama wale Jamaa.
Naomba nifichue siri kwamba niliombwa kugombea Mkoa wa Mbeya, lakini nikaona kwamba kwa sasa ni vema nikachukua Ubunge kwanza ili kusaidia watu wote badala ya uongozi wa Chama.
View attachment 2958282
Unamuamini Kitilla Mkumbo na Mwigamba ?Wazamanlivisoma humu visa vya vichupa vya sumu na majung7
Jikumbushe:
Sababu kuu za kuporomoka kwa CHADEMA na umaarufu wa Dr Slaa
Ndugu zanguni Najua watu wengi siku hizi wanajiuliza kulikoni Chadema? Kama mjuavyo , haya yaliisha tabiriwa siku nyingi na tulirudia mara nyingi kuwajuza kuwa chadema itakufa kifo cha mende na sasa yametimia. Zifuatazo ni sababu kubwa zilizosababisha kuporomoka kwa Chadema na Dr Slaa...www.jamiiforums.com
Endelea kujikumbusha:Unamuamini Kitilla Mkumbo na Mwigamba ?
Wako taabani!Hii ndio Taarifa unayopaswa kuifahamu popote ulipo, kwamba huko Chadema moto unawaka, mwenye hoja ndiye atakayechaguliwa , Isipokuwa ni Aman tupu, hakuna kulogana wala kuuana kwa sumu kama wale Jamaa.
Naomba nifichue siri kwamba niliombwa kugombea Mkoa wa Mbeya, lakini nikaona kwamba kwa sasa ni vema nikachukua Ubunge kwanza ili kusaidia watu wote badala ya uongozi wa Chama.
View attachment 2958282
Bc hizo chaguzi zngn n za kihunihapo pagumu.
Chadema hakina watu wapya sura zilezile zinarudia kugombea.Hii ndio Taarifa unayopaswa kuifahamu popote ulipo, kwamba huko Chadema moto unawaka, mwenye hoja ndiye atakayechaguliwa , Isipokuwa ni Aman tupu, hakuna kulogana wala kuuana kwa sumu kama wale Jamaa.
Naomba nifichue siri kwamba niliombwa kugombea Mkoa wa Mbeya, lakini nikaona kwamba kwa sasa ni vema nikachukua Ubunge kwanza ili kusaidia watu wote badala ya uongozi wa Chama.