Pua ya zege
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 1,941
- 2,081
Unataka kuloga uchaguzi!!?Uchaguzi wa mwenyekiti ni lini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka kuloga uchaguzi!!?Uchaguzi wa mwenyekiti ni lini?
Ulienda kuchukua fomu ukanyimwa!!?Chadema hakina watu wapya sura zilezile zinarudia kugombea.
Naomba nifichue siri kwamba niliombwa kugombea Mkoa wa Mbeya, lakini nikaona kwamba kwa sasa ni vema nikachukua Ubunge kwanza ili kusaidia watu wote badala ya uongozi wa Chama.
View attachment 2958282
Mwakyembe hivi bado yupo hai?Ulikuwa na umri gani Mangula alipolishwa sumu Lumumba ? Mzee wa watu hadi leo hataki hata kushiriki misiba !
Chama hakina miiko!!Hii ndio Taarifa unayopaswa kuifahamu popote ulipo, kwamba huko Chadema moto unawaka, mwenye hoja ndiye atakayechaguliwa , Isipokuwa ni Aman tupu, hakuna kulogana wala kuuana kwa sumu kama wale Jamaa.
Naomba nifichue siri kwamba niliombwa kugombea Mkoa wa Mbeya, lakini nikaona kwamba kwa sasa ni vema nikachukua Ubunge kwanza ili kusaidia watu wote badala ya uongozi wa Chama.
View attachment 2958282
Umetoa wapi hilo neno ?Kwahiyo utagombea ubunge Mbeya mjini?
Miiko ya kutoa fomu 1 Chadema hakunaChama hakina miiko!!
Sina hakika sanaMwakyembe hivi bado yupo hai?
😂😂😂 Kazi ipoNaomba nifichue siri kwamba niliombwa kugombea Mkoa wa Mbeya, lakini nikaona kwamba kwa sasa ni vema nikachukua Ubunge kwanza ili kusaidia watu wote badala ya uongozi wa Chama.
Chadema inakamilisha safu ya wachumia tumboHii ndio Taarifa unayopaswa kuifahamu popote ulipo, kwamba huko Chadema moto unawaka, mwenye hoja ndiye atakayechaguliwa , Isipokuwa ni Aman tupu, hakuna kulogana wala kuuana kwa sumu kama wale Jamaa.
Naomba nifichue siri kwamba niliombwa kugombea Mkoa wa Mbeya, lakini nikaona kwamba kwa sasa ni vema nikachukua Ubunge kwanza ili kusaidia watu wote badala ya uongozi wa Chama.
View attachment 2958282
Wewe ndiye sugu?Naomba nifichue siri kwamba niliombwa kugombea Mkoa wa Mbeya, lakini nikaona kwamba kwa sasa ni vema nikachukua Ubunge kwanza ili kusaidia watu wote badala ya uongozi wa Chama.
View attachment 2958282
Mimi siyo Sugu , uchaguzi wa Taifa utatangazwa baada ya Mikoa na Kanda kukamilikaWewe ndiye sugu?
Uchaguzi Kwa nafasi ya mkt kitaifa ni lini?
Jikite kwenye madaUlikuwa na umri gani Mangula alipolishwa sumu Lumumba ? Mzee wa watu hadi leo hataki hata kushiriki misiba !
Nyinyi chaguaneni weeee mpaka mkome.pawaaaaaa
AmenNyinyi chaguaneni weeee mpaka mkome.
Siangalii nani kapita katika ngazi ipi.
Kitu ambacho nawahakikishia ni kua,
Mimi na familia yangu kura zetu mnazo katika uchaguzi Mkuu.