Uchaguzi wa CHADEMA ukiisha, baadhi ya watu heshima zao zitashuka

Uchaguzi wa CHADEMA ukiisha, baadhi ya watu heshima zao zitashuka

Udart

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2016
Posts
398
Reaction score
586
Habari ya asubuhi, nimekuwa mfuatiriaji wa huu UCHAGUZI na kipindi Cha kampeni CHADEMA ila hawa baadhi ya makada heshima ZAO ZITASHUKA Kwa kiwango Cha 4g badhi ni hawa.

1. Yericko Nyerere. huyu jamaa binafsi nilikuwa mfuasi wake wa kutupwa ni kama wale waumini wa mtumishi mwamposa nilikuwa naona ni kijana mwenye Iq kubwa sana kuanzia vitabu anavyoandika hususani Ujasusi wa kiuchumi na kidola lkn huku CHADEMA kipindi ambacho tubahitaji mabadiliko kuendana na wakati ila yeye amekuwa chawa wa mbowe Kwa lugha nyepesi Ina maana Yuko radhi mbowe kifo ndio kimuondoe kwenye madaraka ya uenyekuti sasa Kwa mantiki hiyo hata vile vitabu vyake ni kama anaandika tu kibiashara ila yeye hayupo huko.

2. Bon Yani. boneface Jacob huyu jamaa amepambana na kashkash nyingi sana kukipambania Chama sasa Leo unapokuja tena kumsuport mbowe aendelee kuwa mwenyekiti hata wapigaji kura wake wanakosa Imani nae wengi watahisi ni mtu asiye na mwerekeo CHADEMA inahitaji akili mpya mbowe alipofika tunashukuru maana Hana jipya tena tubahitaji nguvu mpya.

3. SUGU.huyu jamaa mimi ni mwanachadema lkn nimeanza kumkataa kwanza sio mtu anaweza kuleta hoja au kumchallange maendeleo kipindi kama hiki hata kumkosoa mbowe anaogopa hata bungeni mara nyingi umaarifu wake huwa ni ule wa kurushisna mateke lkn sio kujenga hoja binafsi mimi ni CHADEMA lkn kama ningekuwa mbeya ningempa TULIA kura yangu sina chuki nae ila tunataka watu majasiri kama LEMA.MNYIKA nk kipindi kama hiki unampima mtu uwezo wa kumchallange hata bosi wako sio kuwa chawa.

nb Hao ni baadhi ya wanasiasa naona wanaweza kupoteza hadhi Yao Kwa wapga kura wao ieleweke hii mada haijawekwa kumshusha hadhi mbowe hapana mbowe hata asipopita uenyekiti lkn Bado atabaki kuwa na heshima kubwa CHADEMA nimeandika hii thread kuepusha baadhi ya watu wanakumbatia madaraka mithili ya M7.
 
Kwa kweli Sugu mi hua namuona kama mtu mwenye IQ ndgo mno inapokuja kwenye siasa na kujenga hoja….Huko mbeya alichaguliwa sababu ya kukosa option tu But hamna kitu mule.
kabsa hata yeye ni mtu mwenye haiba ya kupata umaarifu tu Kwa mambo ya kijinga pale mbeya wata mpa kura kwa vile hawana namna lkn TULIA pale ndio anafaa tuongee tu ukweli hivi bungeni unaweka ishu seriuz ya mikataba ya kiuchumi halafu kwenye cabinet una sugu na babu tale Nini kitaendelea😄😄
 
Sikusikia Bon na Sugu wakiongea pumba na kashfa kwa Lisu.

Kuwa na upande siyo issue kwenye demokrasia,watu wana maisha yao nje ya siasa.

Huyo pimbi hapo juu hajielewi.
hapo hatuzungumziu kuongea pumba ila Kuna ishu lazma ukubali kuhtaji mabadiliko mbowe alipofikia ilikuwa ni lazma mabadiliko yafanyike kuendana na upepo wa kisiasa sasa unapounga mkono jamaa aendelee kuongoza Kwa nusu Karne watu hawawezi kukuelewa.
 
Kusema kumchallenge boss wako( mahaba YA ufuasi Wa Mbowe vs Sugu) umediriki kusema Kura yako ungempaTulia ambaye alikataa kuweka hoja mezani YA utekaji

Turudi ndani YA chama chako cha CCM ...pamoja Na Mwenyekiti Wa chama kuja Na Jina moja Tena la kwake mbele YA wajumbe Zaidi YA 3000 Na wasanii wetu Wa siasa plus machawa wote waliofurika Dodoma niambie Nani Ali challenge kiti cha Mwenyekiti Wa kijani

Tofauti Na hivyo mtoe maada utakuwa umekosa hoja kwenye jukwaa hili huru
 
Ntakula wapi jamani uuuwiii
1000341841.jpg
 
Habari ya asubuhi, nimekuwa mfuatiriaji wa huu UCHAGUZI na kipindi Cha kampeni CHADEMA ila hawa baadhi ya makada heshima ZAO ZITASHUKA Kwa kiwango Cha 4g badhi ni hawa.

1. Yericko Nyerere. huyu jamaa binafsi nilikuwa mfuasi wake wa kutupwa ni kama wale waumini wa mtumishi mwamposa nilikuwa naona ni kijana mwenye Iq kubwa sana kuanzia vitabu anavyoandika hususani Ujasusi wa kiuchumi na kidola lkn huku CHADEMA kipindi ambacho tubahitaji mabadiliko kuendana na wakati ila yeye amekuwa chawa wa mbowe Kwa lugha nyepesi Ina maana Yuko radhi mbowe kifo ndio kimuondoe kwenye madaraka ya uenyekuti sasa Kwa mantiki hiyo hata vile vitabu vyake ni kama anaandika tu kibiashara ila yeye hayupo huko.

2. Bon Yani. boneface Jacob huyu jamaa amepambana na kashkash nyingi sana kukipambania Chama sasa Leo unapokuja tena kumsuport mbowe aendelee kuwa mwenyekiti hata wapigaji kura wake wanakosa Imani nae wengi watahisi ni mtu asiye na mwerekeo CHADEMA inahitaji akili mpya mbowe alipofika tunashukuru maana Hana jipya tena tubahitaji nguvu mpya.

3. SUGU.huyu jamaa mimi ni mwanachadema lkn nimeanza kumkataa kwanza sio mtu anaweza kuleta hoja au kumchallange maendeleo kipindi kama hiki hata kumkosoa mbowe anaogopa hata bungeni mara nyingi umaarifu wake huwa ni ule wa kurushisna mateke lkn sio kujenga hoja binafsi mimi ni CHADEMA lkn kama ningekuwa mbeya ningempa TULIA kura yangu sina chuki nae ila tunataka watu majasiri kama LEMA.MNYIKA nk kipindi kama hiki unampima mtu uwezo wa kumchallange hata bosi wako sio kuwa chawa.

nb Hao ni baadhi ya wanasiasa naona wanaweza kupoteza hadhi Yao Kwa wapga kura wao ieleweke hii mada haijawekwa kumshusha hadhi mbowe hapana mbowe hata asipopita uenyekiti lkn Bado atabaki kuwa na heshima kubwa CHADEMA nimeandika hii thread kuepusha baadhi ya watu wanakumbatia madaraka mithili ya M7.
Huko tumeshamaliza. Sasa Tundu Lissu Gusa Achia Hadi Ikulu
 
Kusema kumchallenge boss wako( mahaba YA ufuasi Wa Mbowe vs Sugu) umediriki kusema Kura yako ungempaTulia ambaye alikataa kuweka hoja mezani YA utekaji

Turudi ndani YA chama chako cha CCM ...pamoja Na Mwenyekiti Wa chama kuja Na Jina moja Tena la kwake mbele YA wajumbe Zaidi YA 3000 Na wasanii wetu Wa siasa plus machawa wote waliofurika Dodoma niambie Nani Ali challenge kiti cha Mwenyekiti Wa kijani

Tofauti Na hivyo mtoe maada utakuwa umekosa hoja kwenye jukwaa hili huru
mkuu mimi ni CHADEMA ningekuwa home ningekuonesha kadi yangu shida yangu Huwa naongea sugu pale mbeya anatembelea upepo wa raia kuikataa ccm lkn TULIA ndio mwenye nguvu hata kujenga hoja tukija Kwa mbowe ukiaangali Kwa jicho la tatu jamaa ni kama product ya ccm Yani yupo Kwa agenda maalumu mimi mtaani kwangu mtu hata kama ni ccm ila anafanya vizur Huwa nampongeza lkn sio uwe na kada wako halafu kiazi.
 
Back
Top Bottom