π€£π€£π€£π€£Ntakula wapi jamani uuuwiiiView attachment 3209790
Hivyo vitabu venyewe vyote sio utunzi wake ni plagiarism tupu. Yericko Nyerere zee la copy and pasting.πππ mkuu mimi mfuasi wake Kwa upande wa vitabu sio kisiasa ila ameniangusha tena sina Iman nae tena.
Ni sahihi na ni kitu cha kawaida. Kiukweli dogo alijitoa ufahamu.Sikusikia Bon na Sugu wakiongea pumba na kashfa kwa Lisu.
Kuwa na upande siyo issue kwenye demokrasia,watu wana maisha yao nje ya siasa.
Huyo pimbi hapo juu hajielewi.
Jasusi poriHapo ulipoanza kusema wewe ni mfuasi wa Yericko inatosha kukuweka kwenye kundi la watu wasio na akili.
Au ulidhani ni mtoto wa Nyerere?
π€£π€£π€£ sasa mbona tuzo anachukua au mizimu inapushHivyo vitabu venyewe vyote sio utunzi wake ni plagiarism tupu. Yericko Nyerere zee la copy and pasting.
Wataje ili Waone haya, hata pongezi wameshindwa kuandikauvivu kuandika ila wengi tu