Mtu wa Pwani
JF-Expert Member
- Dec 26, 2006
- 4,191
- 677
sawa tusubiri uchunguzi ila inaonekana tumefika pahala sasa mtu asiumwe tutatafuta mchawi
basi hizi dini tuzifuteni na tuamini kila aumwae kuna njama ziwe za kisiasa au kishirikina
watanzania tunaelekea wapi?
Hii habari ikithibitishwa kwamba ni sumu itakuwa mbaya sana kwa nchi yetu.
Lengo hapa ni kuua na tukianza kuuana kwasababu ya mambo ya politics basi tunaelekea kubaya mno.
Wacha tusubiri na kusikia madaktari watasema nini ila inaelekea Tanzania tunaelekea huko waliko Kenya sasa. Hata wao walianza na ujinga mdogo mdogo na sasa wamefika pabaya mno.
Mgombea kambi ya upinzani apata nafuu baada ya kula sumu
Na Salim Said, MUM
Alisema baada ya kupigwa picha ya Xray na uchunguzi zaidi madaktari wamebaini kuwa hakuna dalili yoyote ya mgonjwa huyo kula chakula ambacho kilikuwa na sumu na kuongeza kuwa tatizo lililoonekana ni njia ya mkojo na kwa sasa wanatumia mpira kuutoa mkojo huo.
Labda kuna mtu alimroga hadi kibofu cha mkojo kisifanye kazi maana teknolojia ya wabongo si utani..
Pia kwa taarifa tuu ni kuwa nimepata habari za uhakika kuwa kimesera kesho anategemewa kwenda Kiteto kuendelea na kampeni zake na kuwashawishi wananchi wake.
Nitaendelea kuwapa updates kwani hapa inaonekana kama tumesahau huu uchaguzi ambao ni muhimu sana pia kwenye historia ya taifa hili.
Mteule wa CCM ni chaguo la aliyekuwa waziri mkuu je?kuanguka kwa waziri mkuu kutaadhiri vipi uchaguzi huo?
Mpaka Kieleweke,
Bado upo na Kiteto tu? wenzio wapo busy na mambo yana vinjari huko Idodomya!
Talk abt twisting priorities up side down!