Mushobozi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2007
- 543
- 103
Niemuliza hapa "Tingatinga" lishaingia huko?
sasa sijui PCCB watakuwa na ubavu wa kuwadeal, maana wamepoteza credibility.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niemuliza hapa "Tingatinga" lishaingia huko?
Aliyekamatwa akinunua shahda anaitwa; Mohamed Bakari.
Ambaye ni mwenyekiti wa kitongoji cha matui ,pia balozi wa CCM .
Alikutwa na shahada za wapiga kura na waliokuwa na hizo shahada walipoulizwa walisema kuwa aliwaendea na kuwaambia kuwa kama hawatampa basi wangefukuzwa hapo kijijini na hilo ni agizo la serikali.
Kesi hivi sasa ipo kituo kidogo cha polisi Matui.
La ajabu ni kuwa polisi wanataka kusuluhisha jambo hilo na hawataki kufungua jalada kama inavyotakiwa kwani wao wanataka kusuluhisha .....
Ntaendelea kuwapa news kuhusu kiteto na haswa baada ya bunge kuahirishwa najua wote sasa tutajielekeza huko uwanja wa mapambano.
Tingatinga halijafika ,ila kuna taarifa kuwa litafika w.end hii huku yupo makamba na timu yake pia TOT wapo huku na badala ya kufanya hamasa wamekuwa wakipiga nyimbo usiku na kudai viingilio wananchi kuhudhuria.
Sumaye na Mary Nagu wao wamepangiwa kata moja ya Engusero ...kunani hapo?
Kura za hapo ni 7000+ sasa hapo nasi tutamwekea Sumaye kiboko yake naamini mnanielewa nikisema kiboko yake .......
Hapa mwaweza kuona jinsi ambavyo hawa jamaa wanatumia nguvu kubwa kwenye kushinda uchaguzi,je?nguvu ya pesa ikoje kama hii ni ya watu tuu???????/
Hapa mwaweza kuona jinsi ambavyo hawa jamaa wanatumia nguvu kubwa kwenye kushinda uchaguzi,je?nguvu ya pesa ikoje kama hii ni ya watu tuu???????/
Mhh hii combination sipati picha.....
Nimeongea na Zitto sasa hivi na kwa kadiri ya maelezo yake ni kuwa Dereva huyo kachomwa kisu cha mbavu mbele za polisi na akaondoka bila hata kuguswa. Kinachosikitisha ni kuwa eneo walilofanyiwa uonevu huu ni eneo ambalo halikuwa na masuala ya kampeni na wanachama hao walikuwa wanafanya mazoezi ya kwaya (nyimbo za kichama).
My take:
Njia ya kuwamaliza wapinzani kisiasa isiwe kimabavu; hoja ikijibiwa na hoja inapendeza zaidi kuliko kuiga njia hizi za kidikteta. Tunahitajika kulipigia kelele suala la matumizi makubwa ya nguvu, bado ni tatizo Tanzania.
Haya nyie mapolisi na usalama wa taifa mnaopitia humu, fanyeni kazi sio mnakodolea tu, haraka tunaka haki itendeke.
Nimepata ujumbe toka kwa Zitto sasa hivi, anasema eneo lilolotokea vurugu ni Kijungu ambapo Pius Msekwa kaweka kambi yake.Tumefikia hapo ? OCD anasemaje baada ya Zitto ?Uchaguzi wa Kiteto kwani lazima watu wafe ? Je hali ya dereva ikoje ?
Ya mwisho ambayo imenisikitisha ni hii taarifa ya mwisho ya Zitto:Mugo"The Great";143979 said:Endelea kutuletea habari sisi tulio huku Iguguno.