Uchaguzi wa Kiteto: Taarifa mbalimbali

Status
Not open for further replies.
Nimeshasema huko nyuma zile sheria ambazo watu walizisema za "Mwalimu" bado zipo.. sheria ya magazeti ya 1976 bado iko hai na inatumiwa; sheria ya usalama wa Taifa ya 1970 nayo bado ipo... sheria ya kuweka watu vizuizini ya 1962 bado ipo na kama nilivyotabiri siku chache zilizopita zitaendelea kutumiwa tena na tena;

Tunaweza kuwaonesha kuwa hawakukosea kama wataangalia Katiba..
 

MKJJ mbali na sheria hizi pia wanao zitumia they are thinking way back miaka hiyo bila ya kujua kazi ya media mwaka 2008 ama karne ya 21.Kusema fulani anaongoza kwa sasa ni kawaida na wanapawa kujifunza kwa wenzetu huwa wanatabiri ushindi hata kabla sembuse hawa waliwa wana report ?
 
Ndipo sasa utaona kuwa sheria zinapowafaa wao huzitumia, lakini zisipowafaa wao huunda tume kuzikwepa!
 
hawa guardian nao wasilete ujinga hapa. Tangu lini Tanzania Daima likawa tabloid? watu wanatumia maneno bila kujua maana yake? magazeti ya mengi (minus thisday kama ni yake) yote ni tabloid na wala wasitake kuita mengine tabloids.
 
Tayari serikali imeshalisamehe gazeti hilo. Mhariri alikwenda kujitetea na utetezi wake umekubalika kuwa hawakuchapisha matoleo mawili bali toleo moja lenye issues mbili kutokana na kuamua kuamua kuifuatilia stori 'mpaka kieleweke'
 
Tayari serikali imeshalisamehe gazeti hilo. Mhariri alikwenda kujitetea na utetezi wake umekubalika kuwa hawakuchapisha matoleo mawili bali toleo moja lenye issues mbili kutokana na kuamua kuamua kuifuatilia stori 'mpaka kieleweke'

kulikuwa hakuna kosa in the first place, wameona mambo yameanza kuwaka JF na wananywea taratibu. Kulikuwa hakuna makosa yoyote katika story ya Tanzania Daima na serikali inajua hili ila kwa sababu wanazozijua wao wameanza kile alichoapa Mkuchika kuwa watafanya (kudhibiti vyombo vya habari).
 
Tayari serikali imeshalisamehe gazeti hilo. Mhariri alikwenda kujitetea na utetezi wake umekubalika kuwa hawakuchapisha matoleo mawili bali toleo moja lenye issues mbili kutokana na kuamua kuamua kuifuatilia stori 'mpaka kieleweke'

That is good, kama hujaelewa unaomba kueleweshwa mambo yanakwisha siyo kutishia!!. Kitu cha muhimu hapo ni suala la kuomba msamaha baada ya kukosea.

Hivi ni lini Serikali iliomba msamaha? au huwa haikosei? Mbona Serikali za nchi zingine mfano US huwa wanaomba msamaha. Nimesikia mara kadhaa wakiomba msamaha kwa kua raia huko kandahar, bagdad nk. Je Serikali yetu huwa haikosei? kama huwa inakosea mbona haina utamaduni wa kuomba msamaha? ila ipo macho sana kwa wanaoikosea. uummh uwazi na uwajibikaji bado!!!
 

Mkuchika anadhani yuko jeshini? Utawala na mawazo ya watu wa aina ya Mkuchika yamepitwa na wakati .Wakicheza watu watazama Mahakamani kupata tafsiri hakuna mchezo .
 
Ikiwa sheria ipo japo ni ya kikandamizi ni lazima ifatwe kwani hiyo ndio itayotumika kutukandamiza - watu wanamuona chizi Mtikila lakini inabidi kuzipiga vita sheria hizi kwa nguvu moja kwani zimewekwa maksudi kuteteagenge fulani.
 
Mkuchika anadhani yuko jeshini? Utawala na mawazo ya watu wa aina ya Mkuchika yamepitwa na wakati .Wakicheza watu watazama Mahakamani kupata tafsiri hakuna mchezo .

Hapa walikuwa wanatest zari kuona kama wanaweza kulifungia Tanzania daima maana wamelitafuta siku nyingi toka enzi za fisadi namba moja Mkapa
 
hawa guardian nao wasilete ujinga hapa. Tangu lini Tanzania Daima likawa tabloid? watu wanatumia maneno bila kujua maana yake? magazeti ya mengi (minus thisday kama ni yake) yote ni tabloid na wala wasitake kuita mengine tabloids.
tusianze kuyaattck magazeti.tuangalie habari ambayo imeletwa na Mwandishi.
 
Hivi kwa nini Tanzania tuna Wizara na Waziri anayelipwa marupurupu kwa ajili ya Habari na Michezo?

What has got the government to do with Michezo na habari? should this be rolled to private institutions with a regulatory body like Maelezo or BMT under one of those special offices and not a Waziri, Naibu Waziri, Katibu mkuu Michezo, Katibu mkuu habari and such?

With current political structure of the world, Serikali should run away from managing and running Michezo and Media!

Ndio maana wanashindwa kumkamata JF!
 


Wote ni waoga wa kuondoka madarakani na ndiyo maana unaona wanajifanya wao ndiyo wao .
 
Mwanakijiji,

Hapa Tanzania Daima wamevunja sheria period... sababu zaweza kuja baadaye... wao kama wanahabari watumie kalamu zao kusaidia sheria kubadilika sio kufanya vitendo vya kihuni vya kuvunja sheria halali ya sheria ya jamhuri ya muungano... hivi kila mmoja akitoa issue kumi kwa siku... sheria ita-be-monitored vipi.
Ushabiki kitu kibaya sana
 

sheria gani hapa iliyovunjwa?
 
If really it is about breaking the law, let them then go after everyone who have broken one, otherwise this selective justice should stop. To me this is a new move by the CCM govt to try to curb the media, I hope CPJ in NY and others are watching closely.

They started by detaining the young journalists, as young as 18yrs, just because are moderating a website they don't like. Now they are moving on to the print media, starting with the opposition newspaper, what are they afraid of? Surely they have felt the power of the keyboard in combating ball-pen corruption. And from the smell of EPA scandal, even H.E. JMK seem to have been a willing participant otherwise he wouldn't have gotten the chair in the white corrupt ANNBEN kiosk cum office. Hail the King media, the fight goes on.
 
TD wamechemsha ushabiki wa siasa unapoingizwa kwenye sekta nyeti kama ya habari kunaleta usumbufu mkubwa ktk kuwa habarisha wananchi.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…