sidhani kama kuorodhesha matumizi ya fedha za kampeni ndogo ndogo za chaguzi ni SHERIA, correct me if am wrong (even though am not sure) that being said, kama sio sheria kuwakilisha matumizi ya fedha za kampeni sioni ulazima wake, na IWAPO kama ni sheria basi naunga mkono hoja yako mnyika !
other thing is, i strongly DISAGREE kwamba uchaguzi mliibiwa, zitto nadhani aliibua kifua mbele na kusema sijui nini kuhusu daftari la kupiga kura, sasa namuuliza hiyo ishu ya daftari alikuja kulijua baada ya matokeo ya uchaguzi kutoka ama kabla ? naombeni mfute machozi yenu ya kenge hayo na mpunguze excuses, kubalini kwamba mmeshindwa and we move on lakini unaposema kwamba mmeonewa (AND YOU KNEW WHERE THE MISTAKE WAS PRIOR TO ELECTION refer: madai ya zitto (a)kwamba daftari la uchaguzi lilikuwa na walakini) MLIFANYA NINI ILI KUHAKIKISHA HATUA ZA KISHERIA ZINAFUATWA ILI KUHAKIKISHA MAMBO YANAKUWA MSWANO "? mimi napinga kabisa haya madai, na lazima tuyakemee kila pale mnaposhindwa chaguzi, and ndio mnaanda mind set kwa watu kwamba kila mnaposhindwa chaguzi basi ndio mmeibiwa ?? and above all, how did you know mliibiwa ??