Uchaguzi wa Kiteto: Taarifa mbalimbali

Uchaguzi wa Kiteto: Taarifa mbalimbali

Status
Not open for further replies.
if you really fought like winners, then whats the sympathy for ? ningependa kuwataarifu watu kwamba be more aware of these people that try to attract people's minds by being sorry and sympathetic in one way or the other to grab attention or pass out their feelings.SUALA LA WEWE KUSHINDWA UBUNGO WITH THE SO CALLED KAMPENI SAFI WAS NOT A GUARANTEE KWAMBA U WERE GOING TO WIN THAT PARTICULAR SEAT, JUST KEEP THAT IN MIND !!(UKITAKA KUJUA ZAIDI ANGALIA MFANO WA KAMPENI YA URAIS MAREKANI 2004, J.KERRY VS G. BUSH NANI ALIYEFANYA KAMPENI SAFI NA NANI ALIONDOKA MSHINDI ) halafu mnyika i cant really look at you and maybe say you can be my role model, WHY ? here's why ! uliposema sijui kiongozi wa chadema ana heshima zaidi ya kiongozi wa ccm, what good point were you really trying to illustrate here, because i simply dont get it !!

Kada Mpinzani

Umenilazimisha kurudi kidogo, ingawa nilishaaga kuwahi mkutano na wananchi wengine.

Mtanganyika

Nashukuru kwa maoni yako, mengi ya uliyoyasema na ya kukubali- na nisehemu ya mambo ambayo tulishaanza kuyatekeleza toka 2006; jambo moja ambayo watanzania wanapaswa wafahamu- CHADEMA ya mwaka 2010, haitakuwa kama CHADEMA ya mwaka 2010 kuanzia kwenye organization(grassroot) mpaka policy positioning. Kuna mengi yatafanyika 2008 na 2009, mwaka 2006 ulikuwa mwaka wa mabadiliko ya katiba yetu; mwaka 2007 ulikuwa mwaka wa ku-position hoja za kitaifa za kisiasa na ku pilot program za ujenzi wa chama katika baadhi ya maeneo. Mwaka 2008 ni mwaka wa Ujenzi wa oganizesheni ya chama na pia ni mwaka wa kudai uwanja sawa wa kisiasa. Tutawajulisha thrust and theme ya mwaka 2009 wakati ukikaribia

Kada Mpinzani:

Samahani kama neno heshima limekukwaza, I meant to offence- najua kwa mujibu wa ubinadamu na katiba yetu kila mtu ni mheshimiwa. Nilimaanisha tu Crediantials za Kimesera na Nangoro, Kimesera anakubalika zaidi na ni senior. Kumbuka, inasemakana Kimesera na Mmasai wa kwanza kupata degree upande wa Tanzania, lakini pia kwa muda mrefu amekuwa ni Mwenyekiti wa Wamasai. Sijui kwa sasa. Nilikuwa nasoma kitabu cha Historia ya Sokoine, nikashangaa kumkuta Kimesera kama MC wa tukio lile na baadaye mlezi wa karibu wa familia. Huyu ni mtu ambaye kutofautiana kwake na serikali ya Mwalimu kulitokana na mtizamo wake kuhusu sera za kiuchumi kama ilivyokuwa kwa Mtei. Haya ndiyo mambo yanayofanya nimheshimu na kutamka wazi kwamba kwa crediantials hizi, kumweka yeye kulikuwa to our advantage kuliko mgombea mpya kijana hasa kwa kuwa by elections campaign ni 21 days only- ukiingiza new brand katika jimbo ambayo illeteracy ni 23% tu, athari zake ni nyingi.

Kuhusu Ubungo- sitaki ubishani hapa kuwa nilishinda au sikushinda; nataka utafakari:

Hii ndio hoja ya msingi katika kesi ambayo serikali inaihofia katika malalamiko yangu kuhusu uchaguzi wa Ubungo----------

"Kwa hali iliyodhihirisha wazi kuwa matokeo yalipikwa, waliopiga kura za Ubunge walikuwa 185,684 wakati waliopiga kura za Rais walikuwa 152,525 na hivyo kufanya tofauti ya kura za Ubunge na urais kufikia 33,159. Katika hali ya kawaida na katika uchaguzi uliofanyika kwa wakati mmoja ilikuwa ni vigumu kwa tofauti kubwa ya kura kiasi hiki. Na hata kama wananchi wangekuwa hawapendi kupiga kura za rais kwa kuwa mpiga kura alikuwa akipewa karatasi zote tatu kura hizi zilipaswa kuwepo katika kura zilizoharibika kitu ambacho hakikutokea."

Haya ni baadhi ya mambo mengine ya yaliyomo kwenye kesi/mashtaka ya ubungo ambayo nilifungua mwaka 2006:

Kimsingi, hujuma za kimfumo na kimkakati za chama tawala ndiyo hasa vilivyofanya uchaguzi kutokuwa huru na haki. Kabla ya uchaguzi wajumbe wa nyumba kumi waliandikisha kadi za wapiga kura kwa lengo la kuwakosesha kupiga kura wale walioelekea kupigia kura upinzani na pia kuweza kuwapa rushwa wengine ili kupigia CCM.Wananchi wengi walizuiwa kupiga kura licha ya kuwa na kadi kutokana na ama majina yao kutoonekana kwenye orodha au kuwa tofauti na kwenye daftari. Kulikuwa na kampeni za vitisho kwa wapiga kura hususani katika kata za vijijini. Wananchi wengi walihongwa kukipigia kura chama tawala – hii ni pamoja na wengi kujifanya hawajui kusoma na kuandika ingawa baadhi yao vitambulisho vyao vya kupigia kura vilionekana kuwa na saini. Kulikuwa na mapungufu kadhaa katika mpangilio na idadi ya vituo vya kupigia kura. Halikadhalika, kulikuwa na ukiukwaji mkubwa wa kanuni na sheria katika ujumlishaji wa kura za ubunge. Kwa kiasi kidogo mtandao hafifu wa chama katika maeneo machache na udhaifu wa baadhi ya mawakala navyo vilichangia kushindwa katika vituo vichache ambavyo visingeathiri matokeo kwa kiasi kikubwa kwa ujumla. Na mwisho matokeo ya ubunge jimbo la Ubungo yakatangazwa kwa shuruti bila kutangaza na kujumlisha kwa pamoja matokeo ya kituo hadi kituo hali iliyoashiria kuwa matokeo ya Ubunge yalikuwa na utata. Kutangaza huku kwa nguvu ilikuwa ni mkakati wa kutaka matokeo hayo yasihojiwe kama ilivyokuwa katika matokeo ya urais ambayo yalichelewa kutangazwa kutokana na kukutwa na mapungufu mengi.


Naomba usome with open heart, na uamue mwenyewe moyoni.

Ubarikiwe

JJ
 
Kada Mpinzani

Umenilazimisha kurudi kidogo, ingawa nilishaaga kuwahi mkutano na wananchi wengine.

Mtanganyika

Nashukuru kwa maoni yako, mengi ya uliyoyasema na ya kukubali- na nisehemu ya mambo ambayo tulishaanza kuyatekeleza toka 2006; jambo moja ambayo watanzania wanapaswa wafahamu- CHADEMA ya mwaka 2010, haitakuwa kama CHADEMA ya mwaka 2010 kuanzia kwenye organization(grassroot) mpaka policy positioning. Kuna mengi yatafanyika 2008 na 2009, mwaka 2006 ulikuwa mwaka wa mabadiliko ya katiba yetu; mwaka 2007 ulikuwa mwaka wa ku-position hoja za kitaifa za kisiasa na ku pilot program za ujenzi wa chama katika baadhi ya maeneo. Mwaka 2008 ni mwaka wa Ujenzi wa oganizesheni ya chama na pia ni mwaka wa kudai uwanja sawa wa kisiasa. Tutawajulisha thrust and theme ya mwaka 2009 wakati ukikaribia

Kada Mpinzani:

Samahani kama neno heshima limekukwaza, I meant to offence- najua kwa mujibu wa ubinadamu na katiba yetu kila mtu ni mheshimiwa. Nilimaanisha tu Crediantials za Kimesera na Nangoro, Kimesera anakubalika zaidi na ni senior. Kumbuka, inasemakana Kimesera na Mmasai wa kwanza kupata degree upande wa Tanzania, lakini pia kwa muda mrefu amekuwa ni Mwenyekiti wa Wamasai. Sijui kwa sasa. Nilikuwa nasoma kitabu cha Historia ya Sokoine, nikashangaa kumkuta Kimesera kama MC wa tukio lile na baadaye mlezi wa karibu wa familia. Huyu ni mtu ambaye kutofautiana kwake na serikali ya Mwalimu kulitokana na mtizamo wake kuhusu sera za kiuchumi kama ilivyokuwa kwa Mtei. Haya ndiyo mambo yanayofanya nimheshimu na kutamka wazi kwamba kwa crediantials hizi, kumweka yeye kulikuwa to our advantage kuliko mgombea mpya kijana hasa kwa kuwa by elections campaign ni 21 days only- ukiingiza new brand katika jimbo ambayo illeteracy ni 23% tu, athari zake ni nyingi.

Kuhusu Ubungo- sitaki ubishani hapa kuwa nilishinda au sikushinda; nataka utafakari:

Hii ndio hoja ya msingi katika kesi ambayo serikali inaihofia katika malalamiko yangu kuhusu uchaguzi wa Ubungo----------

"Kwa hali iliyodhihirisha wazi kuwa matokeo yalipikwa, waliopiga kura za Ubunge walikuwa 185,684 wakati waliopiga kura za Rais walikuwa 152,525 na hivyo kufanya tofauti ya kura za Ubunge na urais kufikia 33,159. Katika hali ya kawaida na katika uchaguzi uliofanyika kwa wakati mmoja ilikuwa ni vigumu kwa tofauti kubwa ya kura kiasi hiki. Na hata kama wananchi wangekuwa hawapendi kupiga kura za rais kwa kuwa mpiga kura alikuwa akipewa karatasi zote tatu kura hizi zilipaswa kuwepo katika kura zilizoharibika kitu ambacho hakikutokea."

Haya ni baadhi ya mambo mengine ya yaliyomo kwenye kesi/mashtaka ya ubungo ambayo nilifungua mwaka 2006:

Kimsingi, hujuma za kimfumo na kimkakati za chama tawala ndiyo hasa vilivyofanya uchaguzi kutokuwa huru na haki. Kabla ya uchaguzi wajumbe wa nyumba kumi waliandikisha kadi za wapiga kura kwa lengo la kuwakosesha kupiga kura wale walioelekea kupigia kura upinzani na pia kuweza kuwapa rushwa wengine ili kupigia CCM.Wananchi wengi walizuiwa kupiga kura licha ya kuwa na kadi kutokana na ama majina yao kutoonekana kwenye orodha au kuwa tofauti na kwenye daftari. Kulikuwa na kampeni za vitisho kwa wapiga kura hususani katika kata za vijijini. Wananchi wengi walihongwa kukipigia kura chama tawala – hii ni pamoja na wengi kujifanya hawajui kusoma na kuandika ingawa baadhi yao vitambulisho vyao vya kupigia kura vilionekana kuwa na saini. Kulikuwa na mapungufu kadhaa katika mpangilio na idadi ya vituo vya kupigia kura. Halikadhalika, kulikuwa na ukiukwaji mkubwa wa kanuni na sheria katika ujumlishaji wa kura za ubunge. Kwa kiasi kidogo mtandao hafifu wa chama katika maeneo machache na udhaifu wa baadhi ya mawakala navyo vilichangia kushindwa katika vituo vichache ambavyo visingeathiri matokeo kwa kiasi kikubwa kwa ujumla. Na mwisho matokeo ya ubunge jimbo la Ubungo yakatangazwa kwa shuruti bila kutangaza na kujumlisha kwa pamoja matokeo ya kituo hadi kituo hali iliyoashiria kuwa matokeo ya Ubunge yalikuwa na utata. Kutangaza huku kwa nguvu ilikuwa ni mkakati wa kutaka matokeo hayo yasihojiwe kama ilivyokuwa katika matokeo ya urais ambayo yalichelewa kutangazwa kutokana na kukutwa na mapungufu mengi.


Naomba usome with open heart, na uamue mwenyewe moyoni.

Ubarikiwe

JJ

asante sana tena sana mnyika kwa kuweka wazi, napenda sana watu wawazi kama wewe !
(1) nimependa hizo sifa za kimesera kama ulivyoanisha hapo juu, knowing that alikuwa mmasai wa kwanza kupata degree na meeengi uliyosema juu ya huyu mzee, inaonyesha kwamba mgombea wa ccm alikuwa anashindana na big candidate kutokana na sifa ulizommwagia, lakini still mgombea wa ccm managed kuibuka mshindi, dont you think kwamba mshindi wa kiteto ambae ni ccm anastahili pia kupongezwa kwa juhudi zake katika kampeni na hatimae kuibuka mshindi baada ya kugombea uongozi na mtu ambae alikuwa ALREADY ESTABLISHED katika hiyo jamii ?

suala la 2 ambalo ni watu sijui kutoandikishwa kupiga kura, je mlifuata hatua gani kabla ya uchaguzi knowing that kuna makosa ambayo yapo in the making ???? THIS IS WHAT I DONT UNDERSTAND, na please dont write the whooooole forum kutujulisha ishu ndogo kama hiyo ya swali nililouliza !
 
JM i need to talk to you personal my friend. I see you do have a desire and goal, but you have big challanges infront of you. The CCM (big monster) is gonna eat you alive if you will keep wining and wining around.

If you want to kill CCM don't hit them on the tail, you need to cut their head. If you expect CCM will give you a championship ring then you must be in deep sleep, you need to tell Mbowe and its alliens to GO GET it. That how you play with CCM, you dont use their rules, You create your rules.

Komba is stupid, i think you will get hard time to fight with crazy men like Komba. What you need is to find which eye can get soar if you will punch it, and then you keep punch that eye.

Let run 2010 like winner and not looser, let change CHADEMA strategy and create new winner strategy. I believe I, Rev.Kishoka and many people in JF are tired of CCM, however few of us trust upinzani. Please restore our rust John.

Kaka Mtanganyika

1. Hilo la 'to find which eye can get sour and punch it', ni sawa lakini kama nilivyoomba mwanzoni- CCM isilazimishe watu wakafikia siasa za kuchochea wananchi kuasi, hebu jiulize- kama siku ile viongozi wa CHADEMA Komba alipovamia jukwaa, wangeelekezwa apigwe- ingekuwaje? Palikuwa na FFU wengi katika eneo hilo, badala ya kumtoa Komba, walikuwa wanambembeleza, lakini kama CHADEMA wangemshusha kwa nguvu FFU wangegeuka na kuwapiga wanaCHADEMA kama wale polisi wengine walivyofanya kwa viongozi wetu. Hakika siku ile ya kutangazwa matokeo, ni Mbowe ndiye aliyeokoa jahazi- vijana walikuwa wameshaanza kujikusanya, na walikuwa wanaimmba kuwa 'tunataka kufanya kama Kenya"; na kwa kweli ameacha chuki ya vijana dhidi ya viongozi wa CHADEMA kwa kuwazuia kufanya walichotaka

2. I had already taken hid of your call, I will go and get it.

3. I hope you meant trust, because if i restore the 'rust' in you, then there will be no hope for real change.

Halafu you guys are just looking at things- it seems we are all winning and wining- bado nguvu yenu ni ndogo ya kuhamasisha mabadiliko nchini tofauti na uwezo mlionao. Nafurahia sana nguvu yenu katika kupambana na ufisadi. Lakini katika masuala ya mabadiliko ya Katiba, Tume Huru ya Uchaguzi, Sheria, Kujenga oganizesheni ya vyama mbadala- bado mnakuwa kama wanatazamaji wengine tu, mnalalamika na kulaumu tu. As if sisi tuliupinzani ni kikundi fulani cha watu wachache waliozaliwa kuwa wapinzani tu. Hivi upinzani ni nani hasa? Mpaka hapo, watu kama wewe mtakapotoka nje ya box, na kutambua kwamba mpinzani wa kwanza ni wewe mwenyewe mwananchi usiyetaka hali iwe kama ilivyo sasa, tutaendelea kulalama tu milele. I am sorry if I am getting personal, but today I have to say it.

Kama ukiamua say- Nataka by 2009- Sheria X, iwe imebadilika na nitamia uwezo nilionao hata kama niko mbali- basi hayo yatatokea- instead of fire brigading tu. The management by crisis kind of!

Sisi CHADEMA tulishapanga, nini tunafanya lini- bahati mbaya uchaguzi wa Kiteto umekuja ghafla tu hapa kati kati, ndio maana mnadhani haya tunayesema sasa kwa sababu ya kushindwa Kiteto. Lakini rejea tamko la Mwenyekiti wa Taifa kwa wananchi katika mwaka mpya- tulishautangaza mwaka 2008 kuwa ni mwaka wa kudai Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi, na Tulishatangaza kuwa ni mwaka wa Uchaguzi ndani ya Chama- which means ni mwaka wa kusuka upya mtandao wa chama nchi nzima.

Yet you guys are just watching, yet you guys are just giving ushauri, ushauri, and ushauri. Its time for action guys, stop wining!

Get up, and stand up for your right- some people can be fooled for some time, but not all the people all the time( Robert Nesta Marley). The train is on the way...



JJ
 
asante sana tena sana mnyika kwa kuweka wazi, napenda sana watu wawazi kama wewe !
(1) nimependa hizo sifa za kimesera kama ulivyoanisha hapo juu, knowing that alikuwa mmasai wa kwanza kupata degree na meeengi uliyosema juu ya huyu mzee, inaonyesha kwamba mgombea wa ccm alikuwa anashindana na big candidate kutokana na sifa ulizommwagia, lakini still mgombea wa ccm managed kuibuka mshindi, dont you think kwamba mshindi wa kiteto ambae ni ccm anastahili pia kupongezwa kwa juhudi zake katika kampeni na hatimae kuibuka mshindi baada ya kugombea uongozi na mtu ambae alikuwa ALREADY ESTABLISHED katika hiyo jamii ?

suala la 2 ambalo ni watu sijui kutoandikishwa kupiga kura, je mlifuata hatua gani kabla ya uchaguzi knowing that kuna makosa ambayo yapo in the making ???? THIS IS WHAT I DONT UNDERSTAND, na please dont write the whooooole forum kutujulisha ishu ndogo kama hiyo ya swali nililouliza !

Kada Mpinzani

katika hatua zote tulikuwa tunawasilisha Tume ya Uchaguzi malalamiko kama sheria inayoelekeza; lakini kada kama wewe unaijua tume yetu!

Mimi ndiye nilikuwa Kaimu Katibu Mkuu kipindi chote cha uchaguzi wakati Dr Slaa na Zitto wako Kiteto- so I signed most of the letters, and I met with Tume also. We were doing it both ways, Msimamizi wa Uchaguzi Kiteto- viongozi wetu wa wilaya walikuwa wakiwasilisha, na taifani tulikuwa tunawasilisha tume makao makuu. At the same time, ili kuhakikisha marekebisho yanafanyika haraka. But the tume, just left things to flow as the way they have been explained in the tamko!

It is sad, but that is Tanzanian democracy- ni jukumu letu wewe na mimi kubadili hali hii, ama sivyo- ipo siku wananchi watachoka kulalamika, na watamweka madarakani kiongozi wanayemtaka- kwa nguvu ya umma!

We are not far from Kenya, I pray that we do not reach up there- kikombe hiki tunaweza kukiepuka, kama tukitaka. Lakini kwanza tuondoe arrogance, na kuwaona wapinzani kama ni watu wa kulalamika tu, na CCM ndio wenye hatimiliki ya utawala katika taifa letu.

JJ
 
Siku tukaposhindwa kwa njia za kidemokrasia- bila ya rushwa, vitisho, vipigo, hujuma nk!

Otherwise, The Masatu's will always have excuses to justify their rigging.

Since when has CCM conceded defeat, kwa kuacha umma uchague upendacho?

CCM imefungua kesi Tarime, Moshi Mjini, Karatu nk kupinga matokeo- ili hali waliovuruga uchaguzi ni wao wenyewe, lakini kwa kuwa pamoja na kuvuruga wameshindwa- bado wanashindwa kukubali!

What a state party?

JJ


John,
I have been following up maelezo yako mara kwa mara nashawishika kwamba huenda umeamua kuwa a full time politician kama vile akina Mzee Kingunge na wengine kama yeye.

Kwa mtazamo wangu mwanasiasa wa hulka kama yako hupenda kuongea mambo yale ambayo anapenda kuyasikia yeye na wale makada wengine wakubwa-wakubwa ili aweze kuaminika zaidi au aweze kulinda nafasi yake katika uongozi wa chama.

Ninachotaka kufahamu kutoka kwako (ili niweze kujua kama wewe hasa ni mwanasiasa mpya au ni walewale) ni kama ifutavyo, je katika harakati za chaguzi mbalimbali kuanzia kuanzia ule uchaguzi mkuu uliopita na hadi uchaguzi mdogo wa jimbo la Kiteto, ni makosa gani ambayo unadhani chama chako kimefanya?

Je, wewe binafsi unayafamu matatizo na vipaumbele vya wananchi wa Kiteto? (Kama uliyafahamu, ni lini uliyafahamu na mlichukua hatua gani kabla ya kufariki kwa Mbunge aliyepita)

Je, unakubali Chadema inahitaji reforms ili kiwe chama chetu sisi wananchi kama vile kilivyo CCM, na sio chama cha kibwanyenye kama kilivyo sasa?

(NB: Mimi sio mwanachama wa chama chochote cha siasa)
 
JM, Tanzania hakuna sheria ya kurun as independent, ndio maana CHADEMA wana watu wengi supporter from outside. Swala ni mmoja tuu, jee kwa nini tunapiga kelele outside of the Arena?

Ni kweli kumake changes we all need to join pamoja, and create strong correlation which will take CCM down. Lakini tatizo ni mmoja tuu, nalo ni policy za CHADEMA, mimi binafsi naamini ya kwamba CHADEMA ndio mpinzani pekee anaitaje CPR ili afufuke, waliobaki their dead.

Kusema kwamba JF hatulii katiba mpya ni wrong, wote humu tunafahamu katiba yetu ina wababysit CCM na kumpa more power Raisi. Lakini kwa kupiga mbiu hapa hatuwezi kubadili katiba, the only way ni kupata wabunge wengi bungeni ambao watapitisha mswada wa mabadiliko ya kikatiba then we will all become winners.

I have to agree ni kweli JF hatujapiga kelele kuhusu tume kikagaragosi ya Uchaguzi, ni kweli tume yetu ya uchaguzi ni Branch la serikali, something which is total wrong.

Mimi nadhni kuna umuhimu wa kikatiba kuwatambua independent candidate kama mimi. Tanzania mbado inawabana raia haki zao za msingi.

I know we need to take action, lakini I as independent i cant have any voice ni lazima nijiunge na chama, na kusema kweli majority ya vyama vinaongozwa kama duka la bibi na babu. That is what am against with it.

Nimependa mabishano haya, i see one thing on you, you have potential and momentum. You need more forces to join you and to gather we will push Tanzania forward.
 
So far kwenye swala hili mmefikia wapi? We have two more years kwenda kwenye general election, jee mmeshapata wagombea ubunge wa kutosha ambao wana sifa za kushinda na CCM? Sifa kama Elimu, uchapa kazi, exeperience kwenye maswala ya leadership, na N.K. Na kama mnao wagombea jee mmeanza kuwanadi kwa wananchi? au mnasubiri mpaka 2009 ndio muanze wakati CCM nao wameanza?

JM, i respect your commitment toward changes in Tanzania, however you need to step on the table and ask Hon. Freeman Mbowe to learn how to run political organization. My opinion is CHADEMA is not showing us (wananchi) enough commitment kurun Tanzani.

I salute you!
 
John,
I have been following up maelezo yako mara kwa mara nashawishika kwamba huenda umeamua kuwa a full time politician kama vile akina Mzee Kingunge na wengine kama yeye.

Kwa mtazamo wangu mwanasiasa wa hulka kama yako hupenda kuongea mambo yale ambayo anapenda kuyasikia yeye na wale makada wengine wakubwa-wakubwa ili aweze kuaminika zaidi au aweze kulinda nafasi yake katika uongozi wa chama.

Ninachotaka kufahamu kutoka kwako (ili niweze kujua kama wewe hasa ni mwanasiasa mpya au ni walewale) ni kama ifutavyo, je katika harakati za chaguzi mbalimbali kuanzia kuanzia ule uchaguzi mkuu uliopita na hadi uchaguzi mdogo wa jimbo la Kiteto, ni makosa gani ambayo unadhani chama chako kimefanya?

Je, wewe binafsi unayafamu matatizo na vipaumbele vya wananchi wa Kiteto? (Kama uliyafahamu, ni lini uliyafahamu na mlichukua hatua gani kabla ya kufariki kwa Mbunge aliyepita)

Je, unakubali Chadema inahitaji reforms ili kiwe chama chetu sisi wananchi kama vile kilivyo CCM, na sio chama cha kibwanyenye kama kilivyo sasa?

(NB: Mimi sio mwanachama wa chama chochote cha siasa)

I see more independent kama mimi. Labda Pundamilia utueleze why not CHADEMA, CUF au TLP?
 
John,
I have been following up maelezo yako mara kwa mara nashawishika kwamba huenda umeamua kuwa a full time politician kama vile akina Mzee Kingunge na wengine kama yeye.

Kwa mtazamo wangu mwanasiasa wa hulka kama yako hupenda kuongea mambo yale ambayo anapenda kuyasikia yeye na wale makada wengine wakubwa-wakubwa ili aweze kuaminika zaidi au aweze kulinda nafasi yake katika uongozi wa chama.

Ninachotaka kufahamu kutoka kwako (ili niweze kujua kama wewe hasa ni mwanasiasa mpya au ni walewale) ni kama ifutavyo, je katika harakati za chaguzi mbalimbali kuanzia kuanzia ule uchaguzi mkuu uliopita na hadi uchaguzi mdogo wa jimbo la Kiteto, ni makosa gani ambayo unadhani chama chako kimefanya?

Je, wewe binafsi unayafamu matatizo na vipaumbele vya wananchi wa Kiteto? (Kama uliyafahamu, ni lini uliyafahamu na mlichukua hatua gani kabla ya kufariki kwa Mbunge aliyepita)

Je, unakubali Chadema inahitaji reforms ili kiwe chama chetu sisi wananchi kama vile kilivyo CCM, na sio chama cha kibwanyenye kama kilivyo sasa?

(NB: Mimi sio mwanachama wa chama chochote cha siasa)

Pundamilia

I have never planned to be a career politician- take this from me. Kuna miaka ambayo nimejipangia ya kufanya siasa. Maisha ni zaidi ya siasa. Naamini utumishi wangu katika miaka hiyo, utakuwa umetosha kuwapisha wengine ili nao watumikie. Kwa hiyo, kunifananisha na Kingunge aliyekuwa tuyari kusema uwongo kwa sababu tu ni Mwanasiasa ni kunitukana na kuharibu maana nzima ya siasa. Watu kama Kingunge ndio wanafanya siasa kuwa mchezo mchafu. Na kwa kweli, i stand for principle, and certain values I am brought up with. If I will be forced to compromise my values, just because of politics, then I will quit politics in the first place. Naomba uyanukuu haya maneno yangu, uyahifadhi na uyatumie kunihumu nikienda tofauti. Ni muumini mzuri wa maneno ya Mwalimu kwamba ili tuendelee tunahitaji watu, ardhi(ingawa suala la ardhi natofautiana naye kiasi), siasa safi na uongozi bora!

Maneno yako yananifanya niamue kutokujibu maswali yako kwa kina kwa kuwa naisoma dhamira yako katika maneno yako. Kitendo cha kutamka kwamba CCM ni chama cha watu na pia umenihukumu tayari kuhusu hulka yangu ya kisiasa.

That said- Majibu kwa Maswali yako

1. Kosa la CHADEMA ni kuruhusu CCM kuiba uchaguzi- kwa kutoshinikiza kwa nguvu zote mapema sana mabadiliko ya mwenendo wetu wa uchaguzi. Lengo la 2008 tuliojiwekea ni mbali, shinikizo lingepaswa lianze kwa nguvu zote toka mwaka 2006. Pia uchaguzi wa ndani ya chama tulipaswa kuufanya toka mwaka 2007 ili kuwa na miaka mingi zaidi ya kuwaridhisha wakina Tomaso kabla ya mwaka 2010. Lakini kwa ujumla, mwelekeo tunaokwenda ni sahihi, na makosa hayo madogo, yanaweza kurekebishika 2008 mpaka 2010. Kosa lingine, ni kushindwa kuwafanya wananchi wachangie hizi harakati zetu kila mahali, kuna baadhi ya watu pamoja na kuwa wanapenda upinzani- lakini wanaona kuwa kama si wajibu wao kuufanya upinzani ushamiri. Wanaona kama ni wajibu wa viongozi wa upinzani wenyewe. Changamoto kwetu ni kufanya wote tuwe kwenye same page

2. Kuhusu Kiteto, mimi sio mkazi wa Kiteto- lakini jua kwamba CHADEMA tuna diwani kwenye kata ya mjini kabisa Kibaya, diwani wetu kule amewatumikia wananchi vizuri toka 2005 ndio maana tunakubalika. Kimesera wakati wote amekuwa mstari wa mbele kuwatetea wanaKiteto hata baada ya kushindwa ubunge. Rejea sakata la wakulima ambalo hata LHRC ilijitokeza kulifuatilia.

3. CHADEMA inahitaji reforms, hilo nakubali. We always strive to be better, and if we get there we will strive to be the best, ndio maana tumeshaanza reforms toka 2006. Soma thread ya CHADEMA must reform nimeeleza utekelezaji. Lakini sikubaliane tujireform kuwa kama CCM, umesema CHADEMA ni chama cha mabwanyeye na kwamba CCM ni chama cha watu- lakini ukweli ni kuwa CHADEMA ni chama cha demokrasia na maendeleo-utawala watu, lakini CCM ya leo si sawa na CCM ya Nyerere- CCM ya leo ni Chama Cha Mabwanyeye kama nitatumia neno lako mwenyewe

Karibu ujiunge na CHADEMA, tembelea www.chadema.net kwa maelezo zaidi

JJ
 
Mtaalamu mwingine wa propaganda na kuhamisha mijadala. We unajua kuwa CHADEMA imetumia helikopta siku mbili za mwisho za Kampeni; siku zingine zote 19 fedha zilielekezwa kwenye mikakati mingine ya kampeni chini kwa chini. Helikopta ambayo iliwapa kiwewe CCM mpaka nao wakakimbilia kukodi helikopta, lakini kwa bahati mbaya CCM walikuwa wakizomewa na helikopta yao

Ahsante kwa kunipa cheo cha utaalam.

Hayo ya hapo juu yana confirm usemi wangu kuhusu helikopta kuwa ni chombo kilichofikirika na chadema kuwa kinaweza kuleta ushindi wa kura.


Viongozi gani wa CHADEMA hao ambao bado ni system? Au ni mkakati mwingine wa kuwatia hofu wananchi wasiwaamini viongozi wao?-Wagawe uwatawale.
Wa kwanza Mbowe, anajulikana na amesha tajwa sana kuwa ni system, wengine siwajui nikipata data ntakufahamisha.

Kwa kiteto tumefanya preventive measures nyingi sana ndio maana umeona tumepata hayo maelfu ya kura- in fact, watanzania wanapaswa kumpongeza Kimesera kwa kupata kura zote hizo katika mazingira kama hayo ya uchaguzi. Ni kama timu ambayo, mpinzani wako refa wake, washabiki kila mtu uwanjani, isipokuwa wachezaji wako tu. Ukifungwa mbili kwa moja tena kwa goli la kuotea, unastahili pongezi kwa kweli.

Whatever you did was not good enough, ndio maana mkashindwa na matokeo mkasaini kuwa ni sawa, au bado hamjasaini?

Sasa CHADEMA tunafanya nini ili kuzuia hali hizo wakati ujao; Soma Msimamo wetu hapa ambao ni sehemu ya hilo tamko.
Msimamo wa CHADEMA kuhusu mchakato mzima wa Uchaguzi

Kufuatia mwenendo mzima wa uchaguzi Kiteto na Mwelekeo wa Taifa kwa ujumla CHADEMA tunachukua hatua zifuatazo;
Kuhusu Viongozi waliopigwa
Tunaitaka serikali ifikishe suala hili mahakamani haraka iwezekanavyo. Na endapo watachelewa tutaisimamia wenyewe.

Na kwa kuwa IGP Said Mwema alitangaza kuunda kikosi cha uchunguzi wa kadhia hii tunamtaka aweke wazi matokeo ya tume aliyounda kufuatia vurugu na kupigwa kwa viongozi wa CHADEMA. Hasa kwa kuwa moja ya silaha zilizotumiwa ni kemikali ambayo mpaka sasa haijajulikana.

Lakini pia tunasikitika kwamba mpaka sasa wadau wa Demokrasia nchini kama wanaharakati wa haki za binadamu, viongozi wa dini na wadau mbalimbali wameonekana kutojali unyama waliofanyiwa viongozi wa CHADEMA , unyama ambao unaweza kupelekea machafuko ya kisiasa katika nchi yetu.


Kuhusu CCM kuvamia mikutano ya CHADEMA
Tunapenda kuwafahamisha Watanzania kuwa tumekwisha fungua kesi polisi Kijungu na mpaka sasa hatujui polisi inasubiri nini kumkamata Mkurugenzi wa TOT, Mh Komba. Lakini zaidi tunashangaa Tume ya Taifa ya Uchaguzi haijaeleza lolote kuhusu uvunjaji wa taratibu za uchaguzi wa makusudi kwa kiwango hiki. Tunaitaka serikali ichukue hatua haraka kabla hatujachukua hatua wenyewe kwakuwa hatuwezi kukubali suala hili liishe kirahisi. Tunavipongeza vyombo vya habari kwa namna walivyolipa uzito suala hili.

Hayo juu ndio yale niliyosema "tunangoja ushahidi", unakijuwa kisa cha tunangoja ushahidi? Kama hukijuwi ngoja nikudokeze kwa kifupi: Kuna mtu alikuwa kalala, kuna muhuni mmoja akaona nimepata mdondo, akamnyatia akamvua suruali, akamvua chupi, akamgeuza, akampaka mate, akambandika, akamaliza. baada ya hapo jamaa alielala akamkamata yule aliefanya na kumaliza, akamshitaki. Kufika mahakamani Hakimu akawa anamuuliza, wewe kavua suruali alikuwa umelala tu? jamaa akajibu hapana nilistuka lakini nilikuwa nangoja nione atafanya nini. Kakuvua chupi, kakugeuza, kakuingiza, yote ulikuwa unafanya nini na ulishastuka? Akajibu alikuwa anangoja apate ushahidi.

Nadhani umeelewa nimejaribu kukifanya hichi kiwe ashaakum. Ndio hayo? tulikuwa tunangoja ushahidi?


Mengine yote uliyosema ni irrelevant.
 
JM, Tanzania hakuna sheria ya kurun as independent, ndio maana CHADEMA wana watu wengi supporter from outside. Swala ni mmoja tuu, jee kwa nini tunapiga kelele outside of the Arena?

Ni kweli kumake changes we all need to join pamoja, and create strong correlation which will take CCM down. Lakini tatizo ni mmoja tuu, nalo ni policy za CHADEMA, mimi binafsi naamini ya kwamba CHADEMA ndio mpinzani pekee anaitaje CPR ili afufuke, waliobaki their dead.

Kusema kwamba JF hatulii katiba mpya ni wrong, wote humu tunafahamu katiba yetu ina wababysit CCM na kumpa more power Raisi. Lakini kwa kupiga mbiu hapa hatuwezi kubadili katiba, the only way ni kupata wabunge wengi bungeni ambao watapitisha mswada wa mabadiliko ya kikatiba then we will all become winners.

I have to agree ni kweli JF hatujapiga kelele kuhusu tume kikagaragosi ya Uchaguzi, ni kweli tume yetu ya uchaguzi ni Branch la serikali, something which is total wrong.

Mimi nadhni kuna umuhimu wa kikatiba kuwatambua independent candidate kama mimi. Tanzania mbado inawabana raia haki zao za msingi.

I know we need to take action, lakini I as independent i cant have any voice ni lazima nijiunge na chama, na kusema kweli majority ya vyama vinaongozwa kama duka la bibi na babu. That is what am against with it.

Nimependa mabishano haya, i see one thing on you, you have potential and momentum. You need more forces to join you and to gather we will push Tanzania forward.


Kaka

Wewe ni kati ya wale mnaogopa vyama vya siasa kama ukoma!

1. Katiba na Sheria haviruhusu mgombea binafsi, lakini Mahakama ilishaelekeza kupitia hukumu ya Mtikila kwamba serikali ifanye mabadiliko. Binafsi naunga mkono uwepo wa mgombea binafsi, lakini naunga mkono pia uwepo wa vyama thabiti vya siasa. Kwa kuwa wewe ni independent, ombi langu kwako- Sukuma ajenda ya serikali kutekeleza maamuzi haya ya Mahakama. Sukuma pia Tanzania iwe na mfumo kamili wa mchanyato- uwakilishi wa uwioano(PR) na FPTP/Winner takes all.

2. Avoid generalization, si vyama vyote vya siasa ni sawa. Treat vyama case by case. Na wenye wajibu wa kutengeneza mfumo wa chama ni wanachama, sasa kama watu kama wewe wanaona kuwa na kadi ya chama cha upinzani ni kama kuwa na passport ya kikagaidi; je tutafika?

JJ
 
Hayo juu ndio yale niliyosema "tunangoja ushahidi", unakijuwa kisa cha tunangoja ushahidi? Kama hukijuwi ngoja nikudokeze kwa kifupi: Kuna mtu alikuwa kalala, kuna muhuni mmoja akaona nimepata mdondo, akamnyatia akamvua suruali, akamvua chupi, akamgeuza, akampaka mate, akambandika, akamaliza. baada ya hapo jamaa alielala akamkamata yule aliefanya na kumaliza, akamshitaki. Kufika mahakamani Hakimu akawa anamuuliza, wewe kavua suruali alikuwa umelala tu? jamaa akajibu hapana nilistuka lakini nilikuwa nangoja nione atafanya nini. Kakuvua chupi, kakugeuza, kakuingiza, yote ulikuwa unafanya nini na ulishastuka? Akajibu alikuwa anangoja apate ushahidi.

Nadhani umeelewa nimejaribu kukifanya hichi kiwe ashaakum. Ndio hayo? tulikuwa tunangoja ushahidi?


Mengine yote uliyosema ni irrelevant.

I think mfano ulitumia sio irrelevant na topic. So, please try to be more professional sababu, we have different people from defferent places visits here. So, i advise you not to use such of words, because at the end of the day tutaonekana kama bunch of thugs.
 
I think mfano ulitumia sio irrelevant na topic. So, please try to be more professional sababu, we have different people from defferent places visits here. So, i advise you not to use such of words, because at the end of the day tutaonekana kama bunch of thugs.

Tukubsli ukweli, kuwa haiwezekani kila siku kushindwa halafu tunangoja kutowa sababu. Zozote zile ziwazo.

Simply, kama kuna uonevu haina haja ya kufanya chochote ni kukataa kuingia kwenye mchakato wa kupiga kura mpaka hapo tutapoona kuwa sababu zitazojitokeza hazitojitokeza.
 
Kaka

Wewe ni kati ya wale mnaogopa vyama vya siasa kama ukoma!

1. Katiba na Sheria haviruhusu mgombea binafsi, lakini Mahakama ilishaelekeza kupitia hukumu ya Mtikila kwamba serikali ifanye mabadiliko. Binafsi naunga mkono uwepo wa mgombea binafsi, lakini naunga mkono pia uwepo wa vyama thabiti vya siasa. Kwa kuwa wewe ni independent, ombi langu kwako- Sukuma ajenda ya serikali kutekeleza maamuzi haya ya Mahakama. Sukuma pia Tanzania iwe na mfumo kamili wa mchanyato- uwakilishi wa uwioano(PR) na FPTP/Winner takes all.

2. Avoid generalization, si vyama vyote vya siasa ni sawa. Treat vyama case by case. Na wenye wajibu wa kutengeneza mfumo wa chama ni wanachama, sasa kama watu kama wewe wanaona kuwa na kadi ya chama cha upinzani ni kama kuwa na passport ya kikagaidi; je tutafika?

JJ

JM mimi sijasema upinzani ni UKOMA. Nimesema kama wewe ulivyo na values and credentials zako concern politics, that is the samething i have. I have my own rules and values kuhusu siasa. CHADEMA and I differ in policy and organization management chart. I declared that for years that i don't belive Hon. Mbowe is a good Organization leader. I dont agree with him in many things, i differ with him in policy and management issues.

I believe movement start from bottom goes up, i believe grassroot politics is the way. I do believe your house management will reflect your principle and values. From that perceptives then i see problems with CHADEMA, i want them first to clean inside and I believe many will join the forces and to gather will move Tanzania forward.
 
Tukubsli ukweli, kuwa haiwezekani kila siku kushindwa halafu tunangoja kutowa sababu. Zozote zile ziwazo.

Simply, kama kuna uonevu haina haja ya kufanya chochote ni kukataa kuingia kwenye mchakato wa kupiga kura mpaka hapo tutapoona kuwa sababu zitazojitokeza hazitojitokeza.

I believe the same thing. What i don't agree na wewe ni kutumia mfano wa matusi pale juu. I guess kuna mifano mingi zaidi unaweza kutumia, na mfano wa kumvua nguo sijui kumfanya nini doesn't prove your point, lather it shows your weakness toward creation of strong argumented points.
 
I believe the same thing. What i don't agree na wewe ni kutumia mfano wa matusi pale juu. I guess kuna mifano mingi zaidi unaweza kutumia, na mfano wa kumvua nguo sijui kumfanya nini doesn't prove your point, lather it shows your weakness toward creation of strong argumented points.

Ahsante kwa kunijuza hilo, mwenye kufahamu atafahamu nimesema nini na nimesema hayo kwa makusudi kabisa na sidhani kama hayo ni matusi kwani kwa kwetu Dar Es Salaam, husema "Ashaakum si matusi".
 
Pundamilia

I have never planned to be a career politician- take this from me. Kuna miaka ambayo nimejipangia ya kufanya siasa. Maisha ni zaidi ya siasa. Naamini utumishi wangu katika miaka hiyo, utakuwa umetosha kuwapisha wengine ili nao watumikie.

Kwa hiyo, kunifananisha na Kingunge aliyekuwa tuyari kusema uwongo kwa sababu tu ni Mwanasiasa ni kunitukana na kuharibu maana nzima ya siasa. Watu kama Kingunge ndio wanafanya siasa kuwa mchezo mchafu.

John hapa umepotoka, kukufananisha na Kingunge si kosa na wala siyo matusi. Mchango wa Mzee Kingung kwenye siasa ni mkubwa na wala sio wa kubeza kiasi hicho. Tafadhali consult your personal advisors on how to communicate and answer questions kutoka kwa watu mbalimbali. Mimi na wewe hatufahamiani lakini nina haki ya kujua wewe ni mtu wa namna gani ili niweze kujenga imani kuwa ni kiongozi wa namna gani. Hakuna njia nyingine yeyote ila ni kukuuliza maswali ambayo nina uhakika yanahitaji umahiri wa kuyajibu.


Na kwa kweli, i stand for principle, and certain values I am brought up with. If I will be forced to compromise my values, just because of politics, then I will quit politics in the first place. Naomba uyanukuu haya maneno yangu, uyahifadhi na uyatumie kunihumu nikienda tofauti. Ni muumini mzuri wa maneno ya Mwalimu kwamba ili tuendelee tunahitaji watu, ardhi(ingawa suala la ardhi natofautiana naye kiasi), siasa safi na uongozi bora!

Maneno yako yananifanya niamue kutokujibu maswali yako kwa kina kwa kuwa naisoma dhamira yako katika maneno yako. Kitendo cha kutamka kwamba CCM ni chama cha watu na pia umenihukumu tayari kuhusu hulka yangu ya kisiasa.

John, kiongozi bora ni yule ambaye hakimbii wananchi, kwa hapa usinikwepe kwa kutumia dhana dhamira. Hiyo ni mbinu ya wanasiasa wa zamani au wale waoga. Please go to my questions unijibu na kama labda huna majibu ya papo kwa hapo unaweza kuniambia utanijibu baadae, lakini si vema kukwepa maswali kwa njia hiyo.

That said- Majibu kwa Maswali yako

1. Kosa la CHADEMA ni kuruhusu CCM kuiba uchaguzi- kwa kutoshinikiza kwa nguvu zote mapema sana mabadiliko ya mwenendo wetu wa uchaguzi. Lengo la 2008 tuliojiwekea ni mbali, shinikizo lingepaswa lianze kwa nguvu zote toka mwaka 2006. Pia uchaguzi wa ndani ya chama tulipaswa kuufanya toka mwaka 2007 ili kuwa na miaka mingi zaidi ya kuwaridhisha wakina Tomaso kabla ya mwaka 2010.

Hapa John, sikubaliani na wewe. Kwa mtazamo wako unaona kwamba wale wanaohoji udhaifu wa CHADEMA basi ni kina Tomaso na wanahitaji kuridhishwa tu. Nadhani hii si kauli ya uwajibikaji, sisi wananchi tunataka chama ambacho kitakuwa na kiko tayari kuwajibika kwa wananchi, si vema mkaona kila mawazo ya wananchi ambayo nitofauti na mawazo yenu basi huo ni 'usaliti' hapana, endapo mnataka dhamana ya uongozi wa nchi yetu inabidi mje na hoja za kimsingi na wala sio hoja za kutaka kuturidhisha.

Lakini kwa ujumla, mwelekeo tunaokwenda ni sahihi, na makosa hayo madogo, yanaweza kurekebishika 2008 mpaka 2010. Kosa lingine, ni kushindwa kuwafanya wananchi wachangie hizi harakati zetu kila mahali, kuna baadhi ya watu pamoja na kuwa wanapenda upinzani- lakini wanaona kuwa kama si wajibu wao kuufanya upinzani ushamiri. Wanaona kama ni wajibu wa viongozi wa upinzani wenyewe. Changamoto kwetu ni kufanya wote tuwe kwenye same page.

Hapa ndipo ninapochoka na siasa za wanasiasa wa nyumbani. Hampendi ku-admit weakness katika vyama vyenu especially katika kueleza makosa ambayo mmekwisha yafanya. Hili swali kwangu lilikuwa ni muhimu kujua kuwa wewe ni mwanasiasa wa aina gani, huenda unaimba mwimbo na kucheza mdundo mwingine. Tunahitaji wanasiasa ambao wako tayari kueleza kwa uwazi matatizo yaliyokuwepo katika chaguzi ambayo yalikuwa ndani ya uwezo wa chama chenyewe. Kuna malalamiko juu ya namna ya uongozi wa juu wa Chadema unavyofanya kazi, kwa maana ya uwezo mdogo wa kisiasa alionao Mwenyekiti pamoja na vision yake yeye mwenye binafsi.
Kumekuwa na tabaka la watu ambao ndani ya chama hawaguswi kutokana nguvu zao kifedha ambao hao wanahodhi demokrasia ndani ya chama. Najua kwamba kwa mwanasiasa mwoga hawezi kuongea ukweli kwani huwa anajengwa na tamaa na ubinafsi ndani ya fikra zake, huogopa pengine atawajibishwa ndani ya chama au atanyimwa anayoyafaidi kwa sasa au nafasi yake ya kuteuliwa kuwania kiti cha ubunge katika jimbo fulani itakwenda na maji. Tunataka mabadiliko ya kweli na si vinginevyo


2. Kuhusu Kiteto, mimi sio mkazi wa Kiteto- lakini jua kwamba CHADEMA tuna diwani kwenye kata ya mjini kabisa Kibaya, diwani wetu kule amewatumikia wananchi vizuri toka 2005 ndio maana tunakubalika. Kimesera wakati wote amekuwa mstari wa mbele kuwatetea wanaKiteto hata baada ya kushindwa ubunge. Rejea sakata la wakulima ambalo hata LHRC ilijitokeza kulifuatilia.

Nilitaka kujua ni nini priorities za wananchi wa Kiteto, it is very simple na wala haihitaji kupiga kampeni kwa uchaguzi uliopita. Kama unavijua utupatie nadhani huenda hapo ndipo mlipokosea, inawezekana mmejitahidi sana lakini hamkudeliver hatimaye hamkueleweka na mkashindwa. Ninahitaji kujua ili niweze kutoa mchango wangu wa kusaidia nini kifanyike.

3. CHADEMA inahitaji reforms, hilo nakubali. We always strive to be better, and if we get there we will strive to be the best, ndio maana tumeshaanza reforms toka 2006. Soma thread ya CHADEMA must reform nimeeleza utekelezaji. Lakini sikubaliane tujireform kuwa kama CCM,

Mimi si mwana CCM, lakini nimeweza kushirikishwa katika mambo mbalimbali ya chama chao bila ya kuwa mwanachama. Na vivyo hivyo ningependa CHADEMA iwe na nafasi ya kuwashirikisha wananchi wengi bila ya kulazimika kuwa wanachama. Ikumbukwe kuwa wanachama wa vyama vya siasa ni wachache sana kulinganisha idadi ya wananchi wengine.

umesema CHADEMA ni chama cha mabwanyeye na kwamba CCM ni chama cha watu- lakini ukweli ni kuwa CHADEMA ni chama cha demokrasia na maendeleo-utawala watu, lakini CCM ya leo si sawa na CCM ya Nyerere- CCM ya leo ni Chama Cha Mabwanyeye kama nitatumia neno lako mwenyewe

John, sisi wananchi tunaona hivyo kuwa chama chenu ni cha mabwanyenye na kama umeamua kutokulisemea hilo basi ninaamini kuwa ni zito kwako kuliongelea, lakini halina mjadala. Kuweni wa wazi ili tuwetayari kuwaunga mkono kwa dhati kama wananchi.

Karibu ujiunge na CHADEMA, tembelea www.chadema.net kwa maelezo zaidi

Nadhani nafasi hii ya kuwa free from Chama cha siasa ndiyo nzuri kwani hainizibi mdomo wa kuongea, sitapenda kuwa katika mifumo ya siasa za kunifanya niseme hatuna matatizo kwenye uongozi wetu il-hali kumeoza.
 
I see more independent kama mimi. Labda Pundamilia utueleze why not CHADEMA, CUF au TLP?

Nadhani nafasi hii ya kuwa free from Chama cha siasa ndiyo nzuri kwani hainizibi mdomo wa kuongea, sitapenda kuwa katika mifumo ya siasa za kunifanya niseme hatuna matatizo kwenye uongozi wetu il-hali kumeoza.
 
Pundamilia

I have never planned to be a career politician- take this from me. Kuna miaka ambayo nimejipangia ya kufanya siasa. Maisha ni zaidi ya siasa. Naamini utumishi wangu katika miaka hiyo, utakuwa umetosha kuwapisha wengine ili nao watumikie.

Kwa hiyo, kunifananisha na Kingunge aliyekuwa tuyari kusema uwongo kwa sababu tu ni Mwanasiasa ni kunitukana na kuharibu maana nzima ya siasa. Watu kama Kingunge ndio wanafanya siasa kuwa mchezo mchafu.

John hapa umepotoka, kukufananisha na Kingunge si kosa na wala siyo matusi. Mchango wa Mzee Kingung kwenye siasa ni mkubwa na wala sio wa kubeza kiasi hicho. Tafadhali consult your personal advisors on how to communicate and answer questions kutoka kwa watu mbalimbali. Mimi na wewe hatufahamiani lakini nina haki ya kujua wewe ni mtu wa namna gani ili niweze kujenga imani kuwa ni kiongozi wa namna gani. Hakuna njia nyingine yeyote ila ni kukuuliza maswali ambayo nina uhakika yanahitaji umahiri wa kuyajibu.


Na kwa kweli, i stand for principle, and certain values I am brought up with. If I will be forced to compromise my values, just because of politics, then I will quit politics in the first place. Naomba uyanukuu haya maneno yangu, uyahifadhi na uyatumie kunihumu nikienda tofauti. Ni muumini mzuri wa maneno ya Mwalimu kwamba ili tuendelee tunahitaji watu, ardhi(ingawa suala la ardhi natofautiana naye kiasi), siasa safi na uongozi bora!

Maneno yako yananifanya niamue kutokujibu maswali yako kwa kina kwa kuwa naisoma dhamira yako katika maneno yako. Kitendo cha kutamka kwamba CCM ni chama cha watu na pia umenihukumu tayari kuhusu hulka yangu ya kisiasa.

John, kiongozi bora ni yule ambaye hakimbii wananchi, kwa hapa usinikwepe kwa kutumia dhana dhamira. Hiyo ni mbinu ya wanasiasa wa zamani au wale waoga. Please go to my questions unijibu na kama labda huna majibu ya papo kwa hapo unaweza kuniambia utanijibu baadae, lakini si vema kukwepa maswali kwa njia hiyo.

That said- Majibu kwa Maswali yako

1. Kosa la CHADEMA ni kuruhusu CCM kuiba uchaguzi- kwa kutoshinikiza kwa nguvu zote mapema sana mabadiliko ya mwenendo wetu wa uchaguzi. Lengo la 2008 tuliojiwekea ni mbali, shinikizo lingepaswa lianze kwa nguvu zote toka mwaka 2006. Pia uchaguzi wa ndani ya chama tulipaswa kuufanya toka mwaka 2007 ili kuwa na miaka mingi zaidi ya kuwaridhisha wakina Tomaso kabla ya mwaka 2010.

Hapa John, sikubaliani na wewe. Kwa mtazamo wako unaona kwamba wale wanaohoji udhaifu wa CHADEMA basi ni kina Tomaso na wanahitaji kuridhishwa tu. Nadhani hii si kauli ya uwajibikaji, sisi wananchi tunataka chama ambacho kitakuwa na kiko tayari kuwajibika kwa wananchi, si vema mkaona kila mawazo ya wananchi ambayo nitofauti na mawazo yenu basi huo ni 'usaliti' hapana, endapo mnataka dhamana ya uongozi wa nchi yetu inabidi mje na hoja za kimsingi na wala sio hoja za kutaka kuturidhisha.

Lakini kwa ujumla, mwelekeo tunaokwenda ni sahihi, na makosa hayo madogo, yanaweza kurekebishika 2008 mpaka 2010. Kosa lingine, ni kushindwa kuwafanya wananchi wachangie hizi harakati zetu kila mahali, kuna baadhi ya watu pamoja na kuwa wanapenda upinzani- lakini wanaona kuwa kama si wajibu wao kuufanya upinzani ushamiri. Wanaona kama ni wajibu wa viongozi wa upinzani wenyewe. Changamoto kwetu ni kufanya wote tuwe kwenye same page.

Hapa ndipo ninapochoka na siasa za wanasiasa wa nyumbani. Hampendi ku-admit weakness katika vyama vyenu especially katika kueleza makosa ambayo mmekwisha yafanya. Hili swali kwangu lilikuwa ni muhimu kujua kuwa wewe ni mwanasiasa wa aina gani, huenda unaimba mwimbo na kucheza mdundo mwingine. Tunahitaji wanasiasa ambao wako tayari kueleza kwa uwazi matatizo yaliyokuwepo katika chaguzi ambayo yalikuwa ndani ya uwezo wa chama chenyewe. Kuna malalamiko juu ya namna ya uongozi wa juu wa Chadema unavyofanya kazi, kwa maana ya uwezo mdogo wa kisiasa alionao Mwenyekiti pamoja na vision yake yeye mwenye binafsi.
Kumekuwa na tabaka la watu ambao ndani ya chama hawaguswi kutokana nguvu zao kifedha ambao hao wanahodhi demokrasia ndani ya chama. Najua kwamba kwa mwanasiasa mwoga hawezi kuongea ukweli kwani huwa anajengwa na tamaa na ubinafsi ndani ya fikra zake, huogopa pengine atawajibishwa ndani ya chama au atanyimwa anayoyafaidi kwa sasa au nafasi yake ya kuteuliwa kuwania kiti cha ubunge katika jimbo fulani itakwenda na maji. Tunataka mabadiliko ya kweli na si vinginevyo


2. Kuhusu Kiteto, mimi sio mkazi wa Kiteto- lakini jua kwamba CHADEMA tuna diwani kwenye kata ya mjini kabisa Kibaya, diwani wetu kule amewatumikia wananchi vizuri toka 2005 ndio maana tunakubalika. Kimesera wakati wote amekuwa mstari wa mbele kuwatetea wanaKiteto hata baada ya kushindwa ubunge. Rejea sakata la wakulima ambalo hata LHRC ilijitokeza kulifuatilia.

Nilitaka kujua ni nini priorities za wananchi wa Kiteto, it is very simple na wala haihitaji kupiga kampeni kwa uchaguzi uliopita. Kama unavijua utupatie nadhani huenda hapo ndipo mlipokosea, inawezekana mmejitahidi sana lakini hamkudeliver hatimaye hamkueleweka na mkashindwa. Ninahitaji kujua ili niweze kutoa mchango wangu wa kusaidia nini kifanyike.

3. CHADEMA inahitaji reforms, hilo nakubali. We always strive to be better, and if we get there we will strive to be the best, ndio maana tumeshaanza reforms toka 2006. Soma thread ya CHADEMA must reform nimeeleza utekelezaji. Lakini sikubaliane tujireform kuwa kama CCM,

Mimi si mwana CCM, lakini nimeweza kushirikishwa katika mambo mbalimbali ya chama chao bila ya kuwa mwanachama. Na vivyo hivyo ningependa CHADEMA iwe na nafasi ya kuwashirikisha wananchi wengi bila ya kulazimika kuwa wanachama. Ikumbukwe kuwa wanachama wa vyama vya siasa ni wachache sana kulinganisha idadi ya wananchi wengine.

umesema CHADEMA ni chama cha mabwanyeye na kwamba CCM ni chama cha watu- lakini ukweli ni kuwa CHADEMA ni chama cha demokrasia na maendeleo-utawala watu, lakini CCM ya leo si sawa na CCM ya Nyerere- CCM ya leo ni Chama Cha Mabwanyeye kama nitatumia neno lako mwenyewe

John, sisi wananchi tunaona hivyo kuwa chama chenu ni cha mabwanyenye na kama umeamua kutokulisemea hilo basi ninaamini kuwa ni zito kwako kuliongelea, lakini halina mjadala. Kuweni wa wazi ili tuwetayari kuwaunga mkono kwa dhati kama wananchi.

Karibu ujiunge na CHADEMA, tembelea www.chadema.net kwa maelezo zaidi

Nadhani nafasi hii ya kuwa free from Chama cha siasa ndiyo nzuri kwani hainizibi mdomo wa kuongea, sitapenda kuwa katika mifumo ya siasa za kunifanya niseme hatuna matatizo kwenye uongozi wetu il-hali kumeoza.

Pundamilia

Nimerudia tena kusoma Maswali yako, na nimesoma tena Majibu yangu- na nimejiridhisha kwamba nilijibu Maswali yako yote uliyoyaibua. Na sijaona hoja yoyote uliyoitoa kudhirisha kwamba CHADEMA ni chama cha mabanyenye. Ukienda kule Karatu, Kigoma, Tarime nk ukasema maneno hayo; wananchi watakutazama tu- na ukaanza kuwaambia kwa CCM ndio chama cha watu, watakuangalia zaidi. Kumbuka wale mawaziri waziliozunguka ziarani kusema CCM na serikali yake zinajali wananchi waliowengi, kumbuka waliambulia majibu gani toka kwa wananchi.

Kuhusu Kingunge, mara ya kwanza nilipomuona ni kigeugeu ni wakati kabla sijaingia siasa- wakati huo nilikuwa Mwenyekiti wa Asasi ya Dira ya Vijana(TYVA); bwana Kingunge alikuwa anajaribu kueleza jinsi gani ambavyo CCM ni chama cha ujamaa na kujitegemea- maelezo yake, wakati huo nikiwa sekondari- nimepata basic za kutofautisha kati ya uchumi wa soko; na uchumi wa dola kuhodhi njia za uzalishaji nk nilimshangaa sana. Lakini nilimshangaa zaidi kwa kuwa wakati nasoma shule ya msingi, huyu jamaa alionekana mbele yetu kama muumini mzuri wa misingi ya Nyerere. Kwa kweli toka siku hiyo, nikawa namwangalia kwa jicho tofauti kabisa.

Nikapata kituko kingine wakati wa uchaguzi mkuu 2005, alipokwenda maelezo kumsema Mbowe kuwa asimtaje Nyerere katika kampeni za CHADEMA- matokeo yake Wazee wenzake kama Profesa Baregu wakatoa kauli za kuonyesha kuwa amekuwa 'mtu mzima ovyo'.

Sasa mwaka 2007 ndipo nilipofunga ukurasa kabisa wa kumheshimu kama kiongozi(ingawa bado namheshimu kama ninavyoheshimu mtanzania mwenzangu yoyote mwingine); pale alipoibuka na kutetea ufisadi ambao leo umedhihirika. Nakumbuka wakati huo nilikuwa Arusha na tukatoa tamko lifuatalo:
TAMKO KUHUSU KAULI ZA KINGUNGE


Sisi, viongozi wa vyama vya CHADEMA, CUF, NCCR Mageuzi
na TLP tuliokutana Equator Hotel tarehe 20 Septemba
2007 hapa Arusha tumeitafakari “Orodha ya
Mafisadi”(List of Shame) na tumejadili kauli za Waziri
wa Nchi, Ofisi ya Rais, Siasa na Uhusiano wa
Jamii-Mheshimiwa Kingunge Ngombale-Mwiru alizozitoa 18
Septemba 2007 na kunukuliwa na vyombo mbalimbali vya
habari Jumatano 19 Septemba 2007 na kwa pamoja
tumeazimia kutoa tamko lifuatalo:

Kingunge anapotosha umma, apuuzwe; wapinzani wanatetea
taifa

Tunaunga mkono uamuzi wa viongozi wetu wa kitaifa
kuanika wazi kwa umma orodha ya mafisadi; hii ni kwa
sababu rasilimali zinazofujwa ni za wananchi
watanzania, wanaoathirika kutokana na ufisadi ni umma
wa watanzania na wenye uamuzi wa mwisho wa
kuwawajibisha viongozi mafisadi ni umma wa watanzania.
Kwa kuzunguka nchini kueleza yaliyotokea bungeni(
hususani kusimamishwa kwa Mbunge Zitto Kabwe na
kupigwa danadana kwa hoja ya kashfa ya ufisadi ndani
ya Benki Kuu iliyokuwa iwasilishwe na Dr Wilbroad
Slaa) wakati wa Mkutano wa Bunge la Bajeti
uliomalizika hivi karibuni, wabunge wa upinzani
wanatimiza wajibu wao kama wawakilishi wa kweli wa
wananchi. Kwa kuzunguka nchini kueleza kuhusu ufisadi
unaendelea nchini, viongozi wa upinzani wanatekeleza
wajibu wao wa kisiasa wa kuwazungumzia wananchi wote
wa Tanzania wanaoguswa na ufisadi bila kujali itikadi
ama uanachama; ikumbukwe kuwa vyama vya siasa sio
vyombo vya uchaguzi tu bali ni taasisi muhimu katika
jamii katika kuchochea uwajibikaji na maendeleo. Kwa
mantiki hiyo basi Waziri Kingunge anaupotosha umma
anaposema kwamba ziara za viongozi wa upinzani
zinatokana na ‘hasira ya kushindwa uchaguzi mkuu 2005,
kambi ya upinzani kushindwa kumtetea Zitto bungeni,
wivu wa kuona CCM inatekeleza ilani yake vizuri, na
kwamba wanautumia vibaya mfumo wa vyama vingi’.
Tunapenda kusisitiza kuwa Viongozi wa umma wanaokiuka
na/au kuvunja masharti ya katiba ya Jamhuri ya
Muungano na Sheria za Maadili ya Viongozi wa umma
lazima waanikwe hadharani na kuwajibishwa na yoyote
anayetoka kauli ya kubeza jitahada hizi ni vyema
watanzania wakampuuza. Kama viongozi wa upinzani
wanavunja sheria kwa kutoa uzushi na kufanya uchochezi
kama Waziri Kingunge anavyodai kwa nini serikali
haiwakamati na kuwapeleka mahakamani badala ya kutoa
matamko ya kulalamika?


Kauli za Kingunge ni msimamo wa Serikali?; Ikulu itoe
tamko!

Tumezijadili kauli za Waziri Kingunge na katika hatua
ya sasa tusingependa kuamini kama zinawakilisha
msimamo wa serikali kwa ujumla wake; hatutaki kuamini
kwamba kauli hizo ni msimamo wa pamoja wa Serikali
chini ya Rais Jakaya Kikwete ambaye pia ni Mwenyekiti
wa Baraza la Mawaziri. Katika hatua ya sasa
tunazichukulia kauli hizo kuwa ni maoni binafsi ya
Bwana Kingunge mpaka hapo Ikulu itakapothibitisha
vinginevyo; hivyo kwa tamko hili tungependa ikulu itoe
ufafanuzi kuhusu kauli hizo. Lakini tunapenda pia
kutoa tahadhari kwamba inawezekana kauli hizi za Bwana
Kingunge amezitoa kwa nia ya kupoteza lengo tuanze
kuzijadili kauli zake badala ya kujadili orodha ya
mafisadi na hatma ya rasilimali za nchi yetu. Hivyo
tungependa kusisitiza kuwa ikulu ijibu hoja
zilizotolewa na viongozi wa upinzani ambazo zimemgusa
moja kwa moja Rais na serikali.


Anayelinda ufisadi ndiye anayekwamisha maendeleo na
huduma za kijamii

Tunashangazwa na uamuzi kauli ya Kingunge kwamba
uamuzi wa Viongozi wa Vyama na Wabunge wa Upinzani
kuzunguka nchini ni mkakati wa kisiasa wa kuitoa
serikali kwenye mstari wa kushughulikia maji, afya na
barabara. Tunapenda kumbukusha Waziri Kingunge kuwa
katika orodha hii ya mafisadi pekee zaidi ya shilingi
trilioni 1.3(1,300,000,000,000) ambazo kama
zingetumika vizuri ni wazi zingeweza kutumika
kuboresha maji, umeme na barabara bila kuendelea
kuwakamua zaidi wananchi masikini. Ukweli ni kuwa kwa
kuendelea kulea ufisadi serikali inajitoa yenyewe
kwenye mstari wa kutumia vyema kodi za wananchi na
rasilimali za taifa katika kushughulikia shughuli za
maendeleo na huduma za kijamii ikiwemo maji, afya na
barabara. Ni ukweli pia kwamba kwa kuwawajibisha
mafisadi viongozi wa upinzani wanatimiza wajibu wao wa
kuhakikisha rasilimali za taifa zinatumika kwa ustawi
wa wananchi walio wengi.


Vyombo vya dola tayari vinayo orodha ya mafisadi;
vichukue hatua

Tunashangazwa na kauli ya Waziri Kingunge ya kuhoji
sababu za Viongozi wa Upinzani kushindwa kuziwasilisha
kwenye vyombo vya dola tuhuma walizozitoa dhidi ya
vigogo hao iwapo kweli wanao ushahidi wa
kuzithibitisha. Tunashangazwa na kauli hii kwa kuwa
tunaamini kabisa Waziri Kingunge anafahamu kabisa kuwa
sehemu kubwa ya tuhuma hizi zipo katika Ripoti za
Mkaguzi wa Serikali ikiwemo ile ya mwaka 2005/06 na
kwamba vyombo vya dola vinafahamu uwepo wa tuhuma hizi
lakini kwa zaidi ya miaka miwili vyombo hivyo
havijachukua hatua dhidi ya vigogo waliotajwa.
Tunaamini kwamba viongozi wa upinzani walichofanya ni
kuamua kushtaki kwa wenye mali walioibiwa ambao ni
wananchi wote wa Tanzania ili kwa pamoja tuweze
kuvitaka vyombo vya dola viweze kuchukua hatua.
Tunashangazwa na kauli hii ya Waziri Kingunge ya
‘kuwahukumu’ viongozi wa upinzani kwa kushindwa
kupeleka ushahidi kwa kuwa kauli hii inapingana na
kauli zingine ambazo zimewahi kutolewa na viongozi wa
serikali kuhusu tuhuma hizo hizo. Tunapenda
kumkumbusha Waziri Kingunge kwamba tayari Spika Wa
Bunge-Samuel Sitta alishasema kwamba anavipeleka
polisi vielelezo vyote vya ushahidi alivyotoa Dr Slaa
ili vichunguzwe. Pengine Kingunge angetoa hukumu hiyo
kwa Spika kwa kushindwa kupeleka vielelezo. Pia
ikumbukwe kwamba ni serikali hiyo hiyo iliyowahi kutoa
taarifa kwa umma kwamba tuhuma za ufisadi ikiwemo za
BOT zinachunguzwa na TAKUKURU. Kadhalika Waziri
Mkuu-Edward Lowasa alitoa kauli baadaye kwamba
Serikali iliyafahamu madai ya Kashfa ya ufisadi Benki
Kuu(BOT) kabla ya upinzani. Kwa upande mwingine, madai
ya kutaka kushughulikia rushwa kubwa kubwa ikiwemo za
kwenye mikataba yalianza kutolewa na Rais Kikwete
wakati akifungua Mkutano wa Kwanza kabisa wa Bunge
mwaka 2005. Lakini baadaye ni Rais Kikwete alinukuliwa
na vyombo vya habari akisema kwamba anawafahamu wala
rushwa na anawapa muda wajirekebishe; tulitarajia
Waziri Kingunge kama mshauri wa Rais wa masuala ya
siasa angemshauri apeleke ushahidi katika vyombo vya
dola na si kuwahukumu viongozi wa upinzani ambao
wametoa orodha ya mafisadi na ushahidi kutoka kwenye
taasisi za serikali yenyewe!. Na ni jukumu la vyombo
vya dola kuchukua hatua za kufuatilia baada ya orodha
ya mafisadi kuwekwa hadharani.

TAKUKURU inajipotezea imani yenyewe!
Tumeshangazwa pia na kauli ya Waziri Kingunge ya
kuwalaumu viongozi wa upinzani kwa kutokuwa na imani
na TAKUKURU. Kwa misingi ya kauli zao ambazo wamezitoa
katika nyakati mbalimbali, viongozi wa upinzani
wamekuwa wakikisisitiza kuwa TAKUKURU inajipotezea
yenyewe imani kwa wananchi kutokana na taarifa zake na
kwamba wamekuwa wakiipa changamoto TAKUKURU kuchukua
hatua. Mathalani TAKURU kuisafisha kampuni ya
RICHMOND. “….hakuna ushahidi wowote uliopatikana
kuthibitisha vitendo vya rushwa, uzembe na upokeaji wa
kamisheni watendaji wa serikali….uchunguzi huo
umethibitisha udhaifu wa kawaida katika utendaji na
ambao haukuhusisha rushwa au manufaa ya aina yoyote
ile kwa upande wa watendaji na hakuna hasara
iliyosababishwa na udhaifu huo”(Mwananchi 12/5/2007).
“….baada ya kuona hivyo, Richmond ilionekana kufahamu
mwenendo wa mambo serikalini…”(Tanzania Daima
12/5/2007). Maswali yaliyobaki mpaka hivi sasa ambayo
si TAKURU wala TAKUKURU ya sasa hawajayajibu ni pamoja
na: Ni kwanini Kamati ya Waziri Mkuu iliipa tenda
Richmond baada ya Bodi ya Wakurugenzi ya Tanesco
kuitaka bodi yake ya sabuni kutangaza upya zabuni hiyo
kwa kutimia zabuni za kimataifa? Richmond kuweza
kufahamu mwenendo wa mambo ya ndani serikalini sio
ishara ya rushwa ya kimadaraka? Ni kweli kama hakuna
hasara iliyosababishwa na uamuzi huu wakati ambapo
watanzania wamekaa bila umeme kwa miezi mingi bila
kupata umeme wa dharura waliotarajia wakati wa
dharura, Rais amekiri kwamba umeme ulichangia kushuka
kwa kasi ya ukuaji wa uchumi na hata kuongeza mfumuko
wa bei na mpaka leo bado megawatts 100 hazijatimizwa
na Richmond/Dowans? Tunapenda kumkumbusha Waziri
Kingunge kwamba Mkataba wa Richmond/Dowans pekee
umeligharimu taifa zaidi ya Bilioni 200 mpaka sasa
ambazo zingeweza kuelekezwa kwenye elimu, afya na
barabara. Viongozi wa upinzani wanapohoji utendaji wa
TAKUKURU wanataka ichukue hatua za haraka
kushughulikia mafisadi na kuendelea kuwa Taasisi ya
Kuzuia na Kudhibiti Rushwa na si Taasisi ya Kulinda,
Kusafisha ama Kutetea Rushwa !
Wasomi na asasi za kijamii wako sahihi; Kingunge
amelewa madaraka
Tumefadhaishwa na kauli ya Waziri Kingunge kwamba
wasomi nchini wametathimini uamuzi wa Bunge wa
kumsimamisha Mbunge Zitto Kabwe kwa kutanguliza jazba
badala ya busara na kutilia wasiwasi uelewa wa makundi
ya kijamii kuhusu mantiki ya uzalendo. Hatutaki
kuamini katika hatua ya sasa kwamba huu ni msimamo wa
serikali kwamba wasomi na makundi ya kijamii
wametanguliza jazba na kukosa busara na uelewa katika
kuijadili adhabu aliyopewa Mbunge Zitto Kabwe na hoja
yake ya kutetea Rasilimali za nchi yetu hususani
madini. Tunaamini kwamba kauli hii ni maoni binafsi ya
Bwana Kingunge ambayo ni ishara ya kulewa madaraka
kutokana kung’ang’ania serikalini toka wakati nchi hii
inapata uhuru kwani hii si mara ya kwanza kutoa kauli
za kubeza-aliwahi kuibeza CHADEMA kwa kumtaja Nyerere
kwenye kampeni 2005 na hivi karibuni Julai 3, 2007
aliripotiwa na vyombo vya habari akitetea msimamo wa
Rais Kikwete wa kutumia nafasi yake kama rais
kudhoofisha upinzani kwa kufanya kampeni za CCM katika
mikutano ya kiserikali. Tunapenda kumbukusha Waziri
Kingunge maneno ya Shaban Robert kwamba “ elimu
ilipokuwa bado kujulikana mvi zilihesabika kuwa alama
ya hekima lakini fikra hizo wakati wake umeshapita
haupo na wala hauji tena. Kisichobadilika ni kwamba
mtu mzima bado anastahili heshima kutoka kwa mdogo” .
Ni vyema Waziri Kingunge akafahamu kwamba wasomi kama
Profesa Issa Shivji na makundi ya Kijamii mathalani
Mtandano wa Jinsia(TGNP), Chama cha Wanasheria wa
Mazingira(LEAT), Kituo cha Sheria na Haki za
Binadamu(LHRC) walifanya tathmini yao kwa lengo la
kulinda maslahi ya taifa bila kujali itikadi.
Mafisadi zaidi waendelee kutajwa; serikali ijibu hoja

Hivyo tunapongeza na tutaendelea kuunga mkono jitahada
zote za vyama vya siasa, asasi za kijamii na hata watu
binafsi waliowataja na watakaoendelea kuwataja
viongozi na/au maafisa wa umma na/au mawakala na/au
washirika wao katika sekta binafsi ambao kwa namna
mbali mbali wameshiriki katika kupora utajiri na/au
fedha za umma na hivyo kulisababishia taifa na umma wa
Watanzania ufukara na/au umaskini mkubwa. Kadhalika
tunaunga mkono na kutoa mwito kwa vyama vya siasa,
asasi za kijamii na hata watu binafsi kuendelea
kuwawajibisha viongozi wa umma ambao kwa kutumia
nyadhifa na/au vyeo vyao katika utumishi wa umma
wamefanya maamuzi ambayo yamesababisha taifa
limepoteza mapato na/au utajiri na rasilmali zake na
kuwaneemesha raia na/au taasisi za kiuchumi na/au za
kibiashara za kigeni. Kwa mfano, viongozi wa umma
walioshiriki katika kusaini mikataba mibovu katika
sekta za madini na/au nishati na/au maeneo mengine
yenye umuhimu mkubwa kwa maisha ya taifa na jamii ya
Watanzania. Na katika haya tunataka serikali ijibu
hoja na si kupuuzia na kutoa kauli za kejeli kama "hao
ni wapinzani hawana jingine la kufanya", "wana haki ya
kutoa maoni yao na huo ndio uzuri wa demokrasia" .
Waziri Kingunge na serikali kumbukeni kuwa watu
wachache wanaweza kudanganyika katika muda mchache
lakini watu wote hawewezi kudanganywa wakati wote.
Watanzania wa leo na kesho si watanzania wa jana na
juzi.



John Mnyika
Mkurugenzi wa Vijana Taifa (CHADEMA)
Na Mwenyekiti wa Kikao


Godbless Lema
Katibu Mwenezi Mkoa-Arusha(TLP)
Na Msemaji wa Ushirikiano wa Vyama vya Upinzani-Arusha


Mohamed Maabad
Mwenyekiti wa Wilaya-Arusha Mjini(CUF)
Na Mwenyekiti wa Ushirikiano wa Vyama vya
Upinzani-Arusha


Ened Muro
Mwakilishi-Arusha(NCCR-Mageuzi)


Amos Kibanda
Katibu Mkoa-Arusha(CHADEMA)


Calist Lazaro
Mwenyekiti wa wilaya-Arusha Mjini (TLP)



Kwa hiyo ukitafakari haya yote, utagundua kwamba katika Wazee wanaostahili kutukuzwa kwa mchango wao kwa taifa bila kujali itikadi Kingunge hapaswi kuwepo- alikuwa na heshima nzuri tu kama kiongozi katika enzi za mwanzo za utumishi wake; amejiharibia na kujichafua! Neno Kingunge sasa ni synonimous na ukinganganizi wa madaraka kwa gharama yoyote na kwa njia zozote hata kwa kufanya siasa chafu!

JJ
 
Mnyika

Naona unaingia kwenye tundu la sindano ambalo watu wamekutegea. Jitahidi kutokujibu na kutolea maelezo kila kitu.

kumbuka hapa kuna wenye nia njema na wasio na nia njema kwako na kwa chadema. Kwa hiyo watapenda kujua unafanya au mnafanya nini ili nao wabuni njia za kukinzana nanyi. Usimpe nafasi mshindani wako kujua una silaha gani na unataka kufanya nini.

nitamsg jioni.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom