Uchaguzi wa Kiteto: Taarifa mbalimbali

Uchaguzi wa Kiteto: Taarifa mbalimbali

Status
Not open for further replies.
John Mnyika.
Good point, lakini nataka kwanza kabisa you need to declare that CHADEMA lost in Kiteto. I understand their were problems in campaign and election day, however CHADEMA had weakness in running campaign.

Vile vile, nilizungumza kwenye mjadala mmoja ya Rev. Kishoka kwamba tatizo sio wananchi, tatizo ni policy za CHADEMA zisizojulikana na wananchi. Ni imani yangu kwamba 2010 haiko mbali sana, kama kweli CHADEMA wanataka kuongeza viti bungeni then this few things need to be do

CHADEMA needs to create realistic strategy. Yaani lazima chadema wa set number ya wabunge wanayotaka kufikia bungeni, then inabidi waangalie miji gani CCM wana weakness, then waananchi wapewe option ya kuchagua strong candidates within CHADEMA ambae atashindana na CCM in 2010

CHADEMA needs to change the whole organization leadership chart.

Sasa hayo ni machache, maana kuna mengi yanayotakiwa kufanyika ili chadema iwape wananchi imani kwamba CHADEMA wako tayari.
 
Nimezisoma kurasa zote tano za uchambuzi wa uchaguzi wa Kiteto.

Huu ni mwelekeo mzuri kwa Chadema na vyama vingine vya uchaguzi kuweza kuchambua matokeo mhimu yaendanayo na uchaguzi.

Kama haya yote au baadhi ya yaliyosemwa katika ripoti hii yana ukweli, basi hapana shaka kwamba tutaendelea na CCM kwa miaka mingi sana ijayo.

Uchambuzi huu naona umekuwa ni zaidi kwenye upande wa ulalamishi tu; lakini inawezekana yale yanayohusiana na Chadema chenyewe huenda yamehifadhiwa ili yawe maongezi ya ndani kwa ndani kichama.

Baada ya kusoma hiyo ripoti nabaki najiuliza, je ni kwa vipi Chadema walikubali yale matokeo ya uchaguzi?

Kama ushahidi wa ununuzi wa shahada upo; wakuu wa mikoa kupiga kampeni na kutumia gharama za serikali wakifanya hivyo; Takukuru, polisi wote kushindwa kufanya kazi zao na mengine mengi yaliyoorodheshwa humo - je Chadema bado waliona ni haki kukubali matokeo ya uchaguzi ule, kwa nini?

Kuna mtu mnene sana aliyeonekana jukwaani akizuia kampeni za chama kilichopewa nafasi ya kampeni hapo, na pia tumeona picha nyingi tu za watu waliopigwa na kuumizwa vibaya. Haitoshi kwa Chadema kuendelea kulialia kwa kutafuta huruma kwa mtu yeyote. Kuna wakati unapofika na kutoa msimamo ulio wazi, ili hao walipo madarakani wasiendelee kupuuza mambo haya hatari. Chadema, au chama kingine chochote itabidi wafikie uamzi wa kutamka wazi kabisa kwamba maonevu hayawezi kuendelea kuvumiliwa. Ni hali hizi ndio zitakazotufikisha katika mambo waliyoyafikia Kenya.
Sema wazi, kila mtu ajue, next time unatuonea, na vyombo vya haki vinashindwa kutoa haki, tutachukua haki yetu. There must be a clear line in the sand stated as clearly as possible for everyone to understand - hasa hao wakubwa wa juu kabisa wenye serikali yao. Hili siyo kuchochea ghasia, bali CCM ndio inaelekea ndio wanaochochea uvunjifu wa amani (Kama yaliyosemwa kwenye ripoti yana ukweli).

Rafiki yangu Kitila naona bado tutaendelea kutofautiana kuhusu hawa waTanzania wetu.

Mimi naamini kabisa kuwa wananchi walioko kule Kigoma Kaskazini, kule Tarime na kule kwa Slaa hawana 'genes' tofauti na wanachi waliopo Monduli au kokote Tanzania.

Hivi Chadema ni kwa nini wasifikirie kwamba hiyo 53% ya wapiga kura wa Kiteto waliosusia kupiga kura ni kwa sababu ya kuwakataa CCM? Kwa maana nyingine, hizi ni kura ambazo zilikuwa wazi kuchukuliwa na Chadema! Kazi iliyopo ni jinsi ya kuzipata.

Swala la kulazimisha kila mtu kupiga kura hilo haliwezekani kabisa. Hilo liacheni kabisa. Mtu ana haki ya kuamua kupiga au kutopiga kura.

jambo la helkopta nalo kila uchaguzi linakuzwa tu bila ya sababu zozote za maana. Hiki ni kifaa tu cha kuwezesha kampeni, kama yalivyo mabasi, baiskeli n.k. Nalo limewekewa msisitizo kana kwamba ni sera ya chama!

Ungeniuliza mimi, ningekwambia kuwa labda baadhi ya matumizi ya namna hiyo yangetumika kununulia vifaa vya kisasa zaidi ili kuwadhibiti CCM katika wizi wao na kuweka ushahidi ulio bayana na wazi zaidi, kuliko kushindana nao katika kuonyesha ni nani ana mahelkopta.

Haiwezekani kila uchaguzi unaopita na kushindwa kuishia katika kutoa uchambuzi wa sababu zilizosababisha. Nadhani wakati sasa umefika kuweka msisitizo zaidi katika kutafuta marekebisho mhimu yanayoleta usawa na kuondoa uonevu wa chama kimoja zidi ya vingine. Hili ndilo jambo mnalotakiwa kuliwekea nguvu zote sasa hivi, ili uchaguzi mwingine utakapowadia uwe ni wa haki; na mkishindwa msiwe na visabau tena vya wananchi kuuza shahada zao kwa sababu ya njaa.
 
MOD: Nawaombeni hii muiche yenyewe kwa siku chache ijadiliwe na baadaye muinganishe pamoja na thread zingine ambazo zimeshajadili uchaguzi wa Kiteto.

Watu kadhaa mmeuliza maoni yangu kuhusu uchaguzi wa Kiteto, kabla sijaanza kujadili mtizamo wangu- someni kwanza hapa msimamo wa kina wa CHADEMA kuhusu yaliyojiri katika Uchaguzi wa Kiteto: http://www.chadema.net/tamko/2008/kiteto.php

Kwa wale mnaofahamu 'the science and art of rigging elections' mtajua kwamba uwizi katika uchaguzi haufanywi kwa njia moja, ni mkusanyiko wa njia mbalimbali ambapo kila moja inatumika kuathiri matokeo kwa maana ya kuongeza au kupunguza idadi fulani ya kura. Jumla ya mbinu zote ndizo huzaa matokeo fulani ambayo yanakuwa yamepangwa.

Nawaomba tusome kwa makini ukurasa hata ukurasa katika tamko hili la kurasa tano. Nitarejea kutoa maoni yangu

JJ

kijana,
mimi sijaenda huko kwenye site yenu mnayojaribu kuitangaza, LAKINI subiri nikuulize ! je kama mngeshinda (chadema) ungekuja na malalamiko haya ?? au kwa kuwa mlichoma sana mafuta ya helikopta hadi iliposhindwa kupaa and still lost ndio unatoa malalamiko yako ? je ulijaribu kufore-tell (kabla)maoni yako kabla ya uchaguzi ?

am starting to see some crocodile tears now !! There is no excuse in losing kijana !
 
kama kweli katika TAMKO RASMI aka OFFICIAL RESPONSE ya chadema inasema kwamba ccm ilitumia bilioni moja katika uchaguzi mdogo wa kiteto, nipo radhi kufuatilia hayo madai hadi nijue ukweli, na kama la basi jua nitakuandama kwa uongo wako (wenu) huo hadi ukiri kwamba umeongopa !
mambo ya dirty politics hapa hakuna, au lete transcripts (wewe mnyika) zinazoonyesha madai yako, JE NA NYINYI CHADEMA mlitumia kiasi gani ?
 
kama kweli katika TAMKO RASMI aka OFFICIAL RESPONSE ya chadema inasema kwamba ccm ilitumia bilioni moja katika uchaguzi mdogo wa kiteto, nipo radhi kufuatilia hayo madai hadi nijue ukweli, na kama la basi jua nitakuandama kwa uongo wako (wenu) huo hadi ukiri kwamba umeongopa !
mambo ya dirty politics hapa hakuna, au lete transcripts (wewe mnyika) zinazoonyesha madai yako, JE NA NYINYI CHADEMA mlitumia kiasi gani ?

Soma:

CHADEMA tumesema wazi tumetumia bei gani, na tumesema pia kwa nini tunasema CCM imetumia kiasi hicho na tumewataka nao waweke wazi matumizi yao kwenye kampeni. Na hii ni mara ya pili, tuliweka wazi Mei 2006 matumizi yetu ya kampeni 2005; tukawataka CCM nao waweke wazi. Mpaka leo hawajafanya hivyo, wanaficha kwa nini?

JJ
 
Mr. John Mnyika

Ahsante sana kwa taarifa lakini naomba kuuuliza haya

a) Hivi ni kweli asilimia 77 ya wananchi wa kiteto hawajui kusoma na kuandika?....idadi hii mbona inaonekana kuwa kubwa sana.

b) Kama mnalalamika kwamba mambo mengi yamepindishwa mbona nasikia mlikubali kushindwa?

c) Kama tuhuma zinazoelezwa umo ni za kweli (baiskeli, kugawa cement, wakuu wa mikoa 2 kutembelea Kiteto kufanya kampeni na mwingine kutembelea miradi ya mandeleo...) sasa kwa nini msipeleke kesi mahakamani kudai uchaguzi ubatilishwe?

d) Hivi madai ya kwamba CCM imetumia takribani bilioni 1 ni ya kweli na kuna jinsi ya kuweza kuthibitisha? Kama hii ni kweli basi inabidi JF na wengine wote wanaoitakia nchi yetu mema kufanya uchunguzi wa kina na hasa kwenye chaguzi zijazo maana hii imenitisha sana kwa kweli.

e) Na mwisho Mr. Mnyika na wenzako wa CHADEMA mna mikakti ipi ya 2010 na kuendelea? Maana mambo ya kukurupuka wakati wa uchaguzi hayana maana yoyote...je unaweza kutupatia mpango mkakati wenu wa miaka 3, 5 hadi 10 ijayo? au mnavamia mambo tu...mkishapigwa chini na CCM mnaanza kutafuta visingizio kibao? Tafadhali tuelezeni tujue....

Kazi njema na naomba ujumbe wangu mfikishie mwenyekiti, Katibu Mkuu na wakurugenzi pamoja na wanachama wenu wote....

Mkiwa na mikakati kamili na njia mbadala ya kupambana na CCM mtaweza kushinda....

Mungu Ibariki Tanzania......

Kishaju

Hicho tulichoeleza ndiyo hali halisi.

Na kwa kweli hatujakubali kushindwa, nenda kaangalie kama mgombea wetu amesaini fomu za matokeo kukubali kushindwa.

Kwa nini tusiende mahakamani? Soma tamko utaona tunaenda mahakamani. Ila hatutaki kutumia rasilimali kwenda mahakamani kupinga matokeo ya Kiteto pekee. Tunataka kupinga mfumo kwa kutumia kesi ya kikatiba. Hatutaki tu kumwondoa Nangoro kuwa mbunge, tunataka kuondoa sheria zinazoruhusu tume ya uchaguzi kutokuwa huru na sheria zinazofanya uwanja wa kisiasa usiwe huru. Leo ni mwaka 2008; ukifungua kesi ya kupinga matokeo ya ubunge itaisha kati ya 2009 mwishoni au 2010 mwanzoni wakati tunakabiribia kwenda uchaguzi mwingine. Angalia kesi za uchaguzi karibu zote zilizofunguliwa 2005; katika maeneo ambayo CCM imeshtakiwa angalia zilivyokuwa dragged zaidi ya mwaka mmoja. Sheria inasema kesi iishe ndani ya miaka miwili lakini upo pia uwezekano wa kuwa extended kama ambavyo wamefanya kwa kesi ya Karatu. Mimi nilifungua kesi ya uchaguzi- Kesi na 1 ya mwaka 2006 nikimshtaki Keenja wa Ubungo, Tume ya Uchaguzi na Jamhuri, unajua mpaka leo dana dana gani zinaendelea? Hivyo, tumeona tupeleke nguvu zote kwenye kufungua kesi itayowezesha mahakama kutamka kwamba:

1. Muundo wa Tume ya uchaguzi- kwa maana ya kutumia watumishi wa serikali ambao ni makada wa chama tawala ni kinyume na haki za msingi za kikatiba

2. Sheria yetu kwa kutokuweka mipaka katika matumizi ya kampeni na kwa kutolazimisha utangazaji wa vyanzo vya mapato na matumizi- inaondoa uhuru wa kuchaguliwa na kuruhusu mianya ya rushwa hivyo mahakama ielekeze serikali iibadilishe.

3. Ongeza orodha ya mambo mengine ambayo ungependa yawepo kwenye hati ya mashtaka. Wanasheria wetu wanaendelea kutafakari kesi ifunguliwe kwa hoja zipi na zipi. Hivyo, nanyi wananchi mnaweza kusema yepi yawepo kwenye kesi hiyo.
http://www.chadema.net/mikakati/msingi.php
Kuhusu Mikakati ya CHADEMA tembelea:http://www.chadema.net/mikakati/msingi.php

Kuhusu utekelezaji, tembelea mara kwa mara www.chadema.net huwa tunadokeza utekelezaji. Lakini Rev Kishoka aliwahi kuandika thread mbili hapa: Kuelekea 2010 na CHADEMA Must reform- kule nilieleza mambo mengi ambayo tunaendelea kuyafanya mijini na vijijini kama maandalizi ya 2010. Lakini niliweka wazi kuwa hatuwezi kuweka kila kitu hadharani, mingine ni mikakati ya ushindi ambayo wapinzani wetu hawapaswi kuifahamu. Karibu CHADEMA uwe mwanachama utapata nafasi ya kufahamu zaidi.

Na kama wewe ni mfanyakazi kijana tembelea: http://www.chadema.net/mikakati/msingi.php kuna ujumbe unakuhusu kuhusiana na maandalizi ya 2010.

Ipo siku kitaeleweka

JJ
 
Sasa tukasome nini na wewe ushatuambia "mmeibiwa" kwa njia mbalimbali.

Since when u conceaded defeat? u will always have excuses to justify u failure...

Siku tukaposhindwa kwa njia za kidemokrasia- bila ya rushwa, vitisho, vipigo, hujuma nk!

Otherwise, The Masatu's will always have excuses to justify their rigging.

Since when has CCM conceded defeat, kwa kuacha umma uchague upendacho?

CCM imefungua kesi Tarime, Moshi Mjini, Karatu nk kupinga matokeo- ili hali waliovuruga uchaguzi ni wao wenyewe, lakini kwa kuwa pamoja na kuvuruga wameshindwa- bado wanashindwa kukubali!

What a state party?

JJ
 
KadaMpinzani good to see you back.
John, moja ya weakness za upinzani ni kulalama kwamba wanaonewa na kukataa kushindwa. I know CCM ni wezi, i know that from experience of other elections. Lakini swala sio CCM tuu, i want you to tell us what is the problem with in CHADEMA?

I know wamerun campaign ya billion of shilling, but the point is does your candidate likeble enough in that region? Ni procidure gani mlitumia kumpata mgombea? What is his credentials in that region?

If you wanna beat CCM then you have to fight as a winner and not a looser. How Zitto won Kigoma sit? How about Ndesamburo? I heard you runed an amazing campaign back in 2005. Why you, Ndesamburo, Slaa and Zitto survived CCM pressure? Sababu you guys has credentials needed to have a sit bungeni.

John, inabidi kwanza muwaambie wale wazee kwamba CHADEMA needs to change its strategy. Mnaitaji kina dada zaidi kama Hon. M.Rhuwanya, kinana kaka wengi zaidi mfano wako na Zitto, then mnaset long time goals.
 
John Mnyika.
Good point, lakini nataka kwanza kabisa you need to declare that CHADEMA lost in Kiteto. I understand their were problems in campaign and election day, however CHADEMA had weakness in running campaign.

Vile vile, nilizungumza kwenye mjadala mmoja ya Rev. Kishoka kwamba tatizo sio wananchi, tatizo ni policy za CHADEMA zisizojulikana na wananchi. Ni imani yangu kwamba 2010 haiko mbali sana, kama kweli CHADEMA wanataka kuongeza viti bungeni then this few things need to be do

CHADEMA needs to create realistic strategy. Yaani lazima chadema wa set number ya wabunge wanayotaka kufikia bungeni, then inabidi waangalie miji gani CCM wana weakness, then waananchi wapewe option ya kuchagua strong candidates within CHADEMA ambae atashindana na CCM in 2010

CHADEMA needs to change the whole organization leadership chart.

Sasa hayo ni machache, maana kuna mengi yanayotakiwa kufanyika ili chadema iwape wananchi imani kwamba CHADEMA wako tayari.

Mtanganyika

Nakubaliana na wewe jambo moja- mpinzani wako akiweza kutoa rushwa, kukutisha, kukuhujumu na hata kukuibia katika uchaguzi basi wewe una weakness fulani. Tarime, Pemba nk- hizo weakness zinaelekea kutokuwepo? Jibu ni kwamba, katika maeneo hayo, wananchi wameamua kuasi- hivyo, wameacha kufanya siasa za kistaraabu, ndio maana wanaweza kupambana na hujuma za aina hii. Lakini siasa za uasi, in a long run sio nzuri kwa utangamano wa taifa. CCM itatupeleka mahali ambapo tutalazimika kuchochea wananchi kuasi kila mahali tunapokwenda kufanya kampeni za uchaguzi. Tukifika huko, amani yetu itakuwa mashakani. Unafanyaje katika uchaguzi ambao makomandoo wa CCM wanashirikiana na polisi kuwapiga viongozi waandamizi wa kampeni? Unamwagaje sera katika mahali ambapo Komba baada ya kukosa watu katika mikutano yao anavamia mkutano wa CHADEMA kumwaga sera zake na bado polisi wanamuangalia? Unafanyaje katika siasa ambazo Waziri Nagu, yupo pamoja na wenzake wakituhumiwa kunununua kadi za wapiga kura- huku TAKUKURU wakiwa wamekaa tu toothless?

Katika mazingira kama hayo, unaweza kusema CHADEMA haina sera- wala CHADEMA haina mikakati?

Tuma mtu Kiteto leo, mgombea wa CCM anapita kwa tabu makao makuu ya wilaya huko Kibaya, wanachi wanazomea. Nenda kata za wananchi waliowengi wenyewe ulewa kama Matui. Leo hii Kiteto haina tu vyombo vya habari, lakini ukweli ni kuwa uchaguzi umeacha majeraha kule- watu wakipita na nguo za CCM nyakati za jioni wananchi wanawapiga.

Ukweli ni kuwa umma umemkubali Kimesera na sera za CHADEMA; lakini kuna sehemu ya umma pia- hususani maeneo ya wafugaji, huko ambapo kampeni zilifanywa kwa kilugha, na vituo kikahamishwa hamishwa na mambo mengine kama ambavyo Mzee Kasisiko Mwenyekiti wetu wa Kigoma ameeleza, huko ndipo kumefanya mambo yakawa yalivyo.

Unapotumia milioni chini ya 50, mwenzio akatumia milioni zaidi ya 500, kwa watanzania imeacha mfumo unaoendeleza umasikini wa kipato, huku wengine wakiwa hawajui kusoma na kuandika; unaweza kabisa kujua nini kitafuata!

Mnakumbuka hapa- kwa uchaguzi wa Tunduru, nilikiri hapa kwamba kweli palikuwa na udhaifu kwa upande wa mgombea wa CHADEMA; lakini kwa Kiteto- ni tofauti kabisa. Badala ya kutumia muda mrefu kuilaumu CHADEMA kuhusu Kiteto, tutumie muda huu kwa yoyote mpenda demokrasia- kuuchambua mwenendo wetu wa uchaguzi na uwanja wetu wa kisiasa- kwa hapa ndipo tatizo la msingi lilipo.

Lakini tusipochukulia hili kwa uzito wake, ipo siku watakuja wapinzani ambao uvumilivu utawashinda, wataendeleza siasa za kuchochea uasi, ili pasiwepo vitisho, rushwa, hujuma na uwizi- kwa kuwa vyombo vya dola, vinashindwa kusimamia sheria zetu kuweka uwanja sawa wa ushindani katika siasa! Madhara ya siasa za uasi ni chuki kuendelea hata baada ya uchaguzi, majeraha yake huchukua muda kuponyeka.

Naamini watanzania tumeona madhara ya siasa za uasi kwa jirani zetu Kenya- tusijaribu kabisa, kutafuta power sharing baada ya uasi kutokea. Tuitafute power sharing mapema, kwa kuruhusu chaguo la wananchi waliowengi kukubalika, kwa kuruhusu ushindani wa kisiasa uwe huru na haki.


JJ
 
Naona kuwa njia moja kubwa ya kutafuta ushindi kwa upande wa CHADEMA ilikuwa ni helikopta. Yaani waTanzania wamekuwa mbumbumbu kiasi cha kuweza kudanganywa na helikopta? Laiti chadema wangeelekeza nguvu zao kwingine zaidi ya kutegemea helikopta labda matokeo yangekuwa kwingine. Nikimaanisha kuwa, CHADEMA ingewekeza katika kuonyesha maendeleo yepi na kwa mifano si kwa maneno na kabla ya kukurupuka na helikopta dakika za mwisho wakitegemea kuwa, kwa kuwa wanazunguka na helikopta basi ndio chombo cha kuwaletea ushindi. Inashangaza sana, kwani sidhani kama waliona kuwa wanaojazana kwenda kuilaki helikopta ni watoto na wengi si wapiga kura. Na isitoshe hata yaongewayo na huyo aliekuja na helikopta hawayasikilizi, wao huwa wako na issue ya helikopta. Si "washamba" wa helikopta?

Na hili la rigging tumelisikia miaka nenda miaka rudi, linakuwa kama nyimbo. Mimi nauliza hivi, hivi nyumbani kwako kila siku unaibiwa na kudhulumiwa na wewe unapiga kelele tu baada ya kudhulumiwa na kuibiwa miaka yote, huchukuwi preventive security measures? au unategemea "ngoja wamalize kuiba nipate ushahidi"? nashindwa kuelewa.

Kama mambo yenyewe ndio hayo, kitaeleweka tu.

Me, I have a big feeling kuwa most ya viongozi wa CHADEMA si CHADEMA kweli na bado ni wale wale system. Wanadanganya wananchi tu.
 
Mpango Mkakati wa Pili kwa 2006 -2010
Kutambua, kulea na kuandaa viongozi wa baadaye wa serikali na chama kwa kuwajengea uwezo wa kiuongozi na kitaaluma.

Katika kipindi cha miaka mitano mafunzo yatapewa kipaumbele katika maeneo mbalimbali.


Kutambua,kujenga mawasiliano na kuwaandaa wagombea watarajiwa mapema na Kuhakikisha chama kinashinda katika chaguzi ndogo zitakazojitokeza hususani katika ngazi ya ubunge.


Kuhamasisha vijana kujiunga na CHADEMA, wengine kugombea uongozi na mkazo utawekwa katika kuwapa vijana mbinu na mafunzo ya kisiasa hususani katika ngazi za chini.


Mkazo uwekwe kuhakikisha wanawake wengi wanajiunga na CHADEMA na kuandaliwa kupenya katika uongozi na kuwa mhimili muhimu wa chama wakati wa chaguzi mbalimbali.

So far kwenye swala hili mmefikia wapi? We have two more years kwenda kwenye general election, jee mmeshapata wagombea ubunge wa kutosha ambao wana sifa za kushinda na CCM? Sifa kama Elimu, uchapa kazi, exeperience kwenye maswala ya leadership, na N.K. Na kama mnao wagombea jee mmeanza kuwanadi kwa wananchi? au mnasubiri mpaka 2009 ndio muanze wakati CCM nao wameanza?

JM, i respect your commitment toward changes in Tanzania, however you need to step on the table and ask Hon. Freeman Mbowe to learn how to run political organization. My opinion is CHADEMA is not showing us (wananchi) enough commitment kurun Tanzani.
 
KadaMpinzani good to see you back.
John, moja ya weakness za upinzani ni kulalama kwamba wanaonewa na kukataa kushindwa. I know CCM ni wezi, i know that from experience of other elections. Lakini swala sio CCM tuu, i want you to tell us what is the problem with in CHADEMA?

I know wamerun campaign ya billion of shilling, but the point is does your candidate likeble enough in that region? Ni procidure gani mlitumia kumpata mgombea? What is his credentials in that region?

If you wanna beat CCM then you have to fight as a winner and not a looser. How Zitto won Kigoma sit? How about Ndesamburo? I heard you runed an amazing campaign back in 2005. Why you, Ndesamburo, Slaa and Zitto survived CCM pressure? Sababu you guys has credentials needed to have a sit bungeni.

John, inabidi kwanza muwaambie wale wazee kwamba CHADEMA needs to change its strategy. Mnaitaji kina dada zaidi kama Hon. M.Rhuwanya, kinana kaka wengi zaidi mfano wako na Zitto, then mnaset long time goals.

Mtanganyika
http://www.chadema.net/mikakati/msingi.php
Long term goals za wagombea vijana tunazitengeneza: http://www.chadema.net/mikakati/msingi.php na naomba utuunge mkono.

In Kiteto, we fought like winners- not losers, soma maelezo yangu hapo juu utaelewa kwa nini nasema hivyo. Katika vijana wa CHADEMA ninao wafahamu, hakuna ambaye alikuwa na crediantials kama za Mzee Kimesera pale Kiteto. He was the candidate the party could foot. Najua hata Mzee Nangoro wa CCM aliyetangazwa mshindi, naye anajua kwamba kwa upande wa crediantials, Mzee Kimesera anaheshima zaidi Kiteto zaidi yake. Lakini uchaguzi, unapokuwa uchafuzi, mambo huwa mengine kabisa.

Inabidi pia wakati wa kujadili, tutofautishe katika ya by election, na uchaguzi mkuu- tabia moja wapo ya by election ni kuwa nguvu yote huwa inamwagwa hapo. Sasa katika siasa zetu zinazoendeshwa kwa kanuni za mwitu, unajua maana yake.

Ya Kiteto ni funzo kwa demokrasia yetu changa, tutazame mbele. Lakini rai yangu ni moja tu- kama tutaendelea kuilaumu CHADEMA, na kuendelea kuacha hali ikawa kama ilivyo katika uwanja wa kisiasa. Tunatangwa maji kwenye kinu. Nyinyi mlio huo ughaibuni, ukisoma hilo tamko ukurasa kwa ukurasa, ukilinganisha na siasa za hapa nyumbani- mnajifunza kitu gani?

Naweza nikawa nazungumza with a lot of emotions- ni kwa sababu uchaguzi wa Kiteto umenikumbusha mambo kadhaa kuhusu Ubungo; kwamba unaweza kuendesha kampeni safi za sera ukakubalika, lakini mwishowe ukashindwa- kwa sababu za tofauti kabisa. Ndio chaguzi zetu hizo! Lakini natazama mbele kwa matumaini makubwa, kwamba mabadiliko yanakaribia.....

JJ
 
Soma:

CHADEMA tumesema wazi tumetumia bei gani, na tumesema pia kwa nini tunasema CCM imetumia kiasi hicho na tumewataka nao waweke wazi matumizi yao kwenye kampeni. Na hii ni mara ya pili, tuliweka wazi Mei 2006 matumizi yetu ya kampeni 2005; tukawataka CCM nao waweke wazi. Mpaka leo hawajafanya hivyo, wanaficha kwa nini?

JJ

sidhani kama kuorodhesha matumizi ya fedha za kampeni ndogo ndogo za chaguzi ni SHERIA, correct me if am wrong (even though am not sure) that being said, kama sio sheria kuwakilisha matumizi ya fedha za kampeni sioni ulazima wake, na IWAPO kama ni sheria basi naunga mkono hoja yako mnyika !

other thing is, i strongly DISAGREE kwamba uchaguzi mliibiwa, zitto nadhani aliibua kifua mbele na kusema sijui nini kuhusu daftari la kupiga kura, sasa namuuliza hiyo ishu ya daftari alikuja kulijua baada ya matokeo ya uchaguzi kutoka ama kabla ? naombeni mfute machozi yenu ya kenge hayo na mpunguze excuses, kubalini kwamba mmeshindwa and we move on lakini unaposema kwamba mmeonewa (AND YOU KNEW WHERE THE MISTAKE WAS PRIOR TO ELECTION refer: madai ya zitto (a)kwamba daftari la uchaguzi lilikuwa na walakini) MLIFANYA NINI ILI KUHAKIKISHA HATUA ZA KISHERIA ZINAFUATWA ILI KUHAKIKISHA MAMBO YANAKUWA MSWANO "? mimi napinga kabisa haya madai, na lazima tuyakemee kila pale mnaposhindwa chaguzi, and ndio mnaanda mind set kwa watu kwamba kila mnaposhindwa chaguzi basi ndio mmeibiwa ?? and above all, how did you know mliibiwa ??
 
Mtanganyika

Nakubaliana na wewe jambo moja- mpinzani wako akiweza kutoa rushwa, kukutisha, kukuhujumu na hata kukuibia katika uchaguzi basi wewe una weakness fulani. Tarime, Pemba nk- hizo weakness zinaelekea kutokuwepo? Jibu ni kwamba, katika maeneo hayo, wananchi wameamua kuasi- hivyo, wameacha kufanya siasa za kistaraabu, ndio maana wanaweza kupambana na hujuma za aina hii. Lakini siasa za uasi, in a long run sio nzuri kwa utangamano wa taifa. CCM itatupeleka mahali ambapo tutalazimika kuchochea wananchi kuasi kila mahali tunapokwenda kufanya kampeni za uchaguzi. Tukifika huko, amani yetu itakuwa mashakani. Unafanyaje katika uchaguzi ambao makomandoo wa CCM wanashirikiana na polisi kuwapiga viongozi waandamizi wa kampeni? Unamwagaje sera katika mahali ambapo Komba baada ya kukosa watu katika mikutano yao anavamia mkutano wa CHADEMA kumwaga sera zake na bado polisi wanamuangalia? Unafanyaje katika siasa ambazo Waziri Nagu, yupo pamoja na wenzake wakituhumiwa kunununua kadi za wapiga kura- huku TAKUKURU wakiwa wamekaa tu toothless?

Katika mazingira kama hayo, unaweza kusema CHADEMA haina sera- wala CHADEMA haina mikakati?

Tuma mtu Kiteto leo, mgombea wa CCM anapita kwa tabu makao makuu ya wilaya huko Kibaya, wanachi wanazomea. Nenda kata za wananchi waliowengi wenyewe ulewa kama Matui. Leo hii Kiteto haina tu vyombo vya habari, lakini ukweli ni kuwa uchaguzi umeacha majeraha kule- watu wakipita na nguo za CCM nyakati za jioni wananchi wanawapiga.

Ukweli ni kuwa umma umemkubali Kimesera na sera za CHADEMA; lakini kuna sehemu ya umma pia- hususani maeneo ya wafugaji, huko ambapo kampeni zilifanywa kwa kilugha, na vituo kikahamishwa hamishwa na mambo mengine kama ambavyo Mzee Kasisiko Mwenyekiti wetu wa Kigoma ameeleza, huko ndipo kumefanya mambo yakawa yalivyo.

Unapotumia milioni chini ya 50, mwenzio akatumia milioni zaidi ya 500, kwa watanzania imeacha mfumo unaoendeleza umasikini wa kipato, huku wengine wakiwa hawajui kusoma na kuandika; unaweza kabisa kujua nini kitafuata!

Mnakumbuka hapa- kwa uchaguzi wa Tunduru, nilikiri hapa kwamba kweli palikuwa na udhaifu kwa upande wa mgombea wa CHADEMA; lakini kwa Kiteto- ni tofauti kabisa. Badala ya kutumia muda mrefu kuilaumu CHADEMA kuhusu Kiteto, tutumie muda huu kwa yoyote mpenda demokrasia- kuuchambua mwenendo wetu wa uchaguzi na uwanja wetu wa kisiasa- kwa hapa ndipo tatizo la msingi lilipo.

Lakini tusipochukulia hili kwa uzito wake, ipo siku watakuja wapinzani ambao uvumilivu utawashinda, wataendeleza siasa za kuchochea uasi, ili pasiwepo vitisho, rushwa, hujuma na uwizi- kwa kuwa vyombo vya dola, vinashindwa kusimamia sheria zetu kuweka uwanja sawa wa ushindani katika siasa! Madhara ya siasa za uasi ni chuki kuendelea hata baada ya uchaguzi, majeraha yake huchukua muda kuponyeka.

Naamini watanzania tumeona madhara ya siasa za uasi kwa jirani zetu Kenya- tusijaribu kabisa, kutafuta power sharing baada ya uasi kutokea. Tuitafute power sharing mapema, kwa kuruhusu chaguo la wananchi waliowengi kukubalika, kwa kuruhusu ushindani wa kisiasa uwe huru na haki.


JJ

John good point, however sidhani kwamba tutaweza kushinda na CCM kuhusu swala la fedha. Kuleta TOT na Capt. Komba doesn't mean kwamba CCM will win. Ili CCM waangushwe kwanza lazima ukubali kuna weakness ndani ya CHADEMA.

Weakness is not something bad, kwenye organization yoyote kuna maswala makubwa yafuatayo kwanza unaangalia strength yako, pili unatazama competitive advantage yako, kisha unamalizia na weakness yako. Sasa haya mambo matatu yanakufanya ufahamu nini kizidishwe ufanisi nini kiachwe kama kilivyo.

Kama unafahamu weakness ya CHADEMA ni pesa kwenye kurun campaign, then inabidi muanalyze how to win by using your strenth, na hapo ndio swala la kutumia competitive advantage linapo ingia. Unachofanya ni kuachagua mgombeaji mwenye experience ndani ya jimbo hilo, mwenye elimu ya kutosha na mwenye kupendwa na wananchi wa eneo hilo.

Wewe kwa nini uliamini kwamba ungeshinda Ubungo? ulifahamu kabisa kwamba you have popularity ndani ya Ubungo, i believe ndilo jimbo ulilozaliwa, then you went for it. Japokuwa experience ilikuwa kizingiti, but you runned amazing campaign. Unajua ni kwanini NCCR-Mageuzi walishinda viti vingi vya ubunge mwaka 1995? Sababu walitumia strategy ya kuchagua wagombea wenye enough credentials za kugombea. Ndio maana tukamuona mtu kama Lamwai anachukua Ubungo.

I do understand kwamba CCM wanamiliki jeshi la polisi, mahakama na serikali. Lakini upinzani wanaweza kutumia smart strategy wakabadili uongozi.

Ushauri wangu ni huu: Ni imani yangu humu JF kuna best political analyst, then CHADEMA can always seek advise kwenye swala zima la kurun campaign, kupendekeza wagombea na kurun on top of media.
Kingine, CHADEMA need to send the msg kwa watanzania kuhusu policy zao, website na vipeperushi pekee havitoshi, pili CHADEMA kama walivyofanya campaign ya kuzunguka na zitto mikoani they need kuwapisha wagombea wapya wao sasa.
La mwisho, ni rahisi kumshauri jirani yako wakaribu kuliko wa mbali, so moja ya strategy ni kushinda majimbo yote yanayozunguka majimbo mliyoshinda 2005.
 
Naona kuwa njia moja kubwa ya kutafuta ushindi kwa upande wa CHADEMA ilikuwa ni helikopta. Yaani waTanzania wamekuwa mbumbumbu kiasi cha kuweza kudanganywa na helikopta? Laiti chadema wangeelekeza nguvu zao kwingine zaidi ya kutegemea helikopta labda matokeo yangekuwa kwingine. Nikimaanisha kuwa, CHADEMA ingewekeza katika kuonyesha maendeleo yepi na kwa mifano si kwa maneno na kabla ya kukurupuka na helikopta dakika za mwisho wakitegemea kuwa, kwa kuwa wanazunguka na helikopta basi ndio chombo cha kuwaletea ushindi. Inashangaza sana, kwani sidhani kama waliona kuwa wanaojazana kwenda kuilaki helikopta ni watoto na wengi si wapiga kura. Na isitoshe hata yaongewayo na huyo aliekuja na helikopta hawayasikilizi, wao huwa wako na issue ya helikopta. Si "washamba" wa helikopta?

Na hili la rigging tumelisikia miaka nenda miaka rudi, linakuwa kama nyimbo. Mimi nauliza hivi, hivi nyumbani kwako kila siku unaibiwa na kudhulumiwa na wewe unapiga kelele tu baada ya kudhulumiwa na kuibiwa miaka yote, huchukuwi preventive security measures? au unategemea "ngoja wamalize kuiba nipate ushahidi"? nashindwa kuelewa.

Kama mambo yenyewe ndio hayo, kitaeleweka tu.

Me, I have a big feeling kuwa most ya viongozi wa CHADEMA si CHADEMA kweli na bado ni wale wale system. Wanadanganya wananchi tu.


Mtaalamu mwingine wa propaganda na kuhamisha mijadala. We unajua kuwa CHADEMA imetumia helikopta siku mbili za mwisho za Kampeni; siku zingine zote 19 fedha zilielekezwa kwenye mikakati mingine ya kampeni chini kwa chini. Helikopta ambayo iliwapa kiwewe CCM mpaka nao wakakimbilia kukodi helikopta, lakini kwa bahati mbaya CCM walikuwa wakizomewa na helikopta yao

Viongozi gani wa CHADEMA hao ambao bado ni system? Au ni mkakati mwingine wa kuwatia hofu wananchi wasiwaamini viongozi wao?-Wagawe uwatawale.

Kwa kiteto tumefanya preventive measures nyingi sana ndio maana umeona tumepata hayo maelfu ya kura- in fact, watanzania wanapaswa kumpongeza Kimesera kwa kupata kura zote hizo katika mazingira kama hayo ya uchaguzi. Ni kama timu ambayo, mpinzani wako refa wake, washabiki kila mtu uwanjani, isipokuwa wachezaji wako tu. Ukifungwa mbili kwa moja tena kwa goli la kuotea, unastahili pongezi kwa kweli.

Sasa CHADEMA tunafanya nini ili kuzuia hali hizo wakati ujao; Soma Msimamo wetu hapa ambao ni sehemu ya hilo tamko.
Msimamo wa CHADEMA kuhusu mchakato mzima wa Uchaguzi

Kufuatia mwenendo mzima wa uchaguzi Kiteto na Mwelekeo wa Taifa kwa ujumla CHADEMA tunachukua hatua zifuatazo;
Kuhusu Viongozi waliopigwa
Tunaitaka serikali ifikishe suala hili mahakamani haraka iwezekanavyo. Na endapo watachelewa tutaisimamia wenyewe.

Na kwa kuwa IGP Said Mwema alitangaza kuunda kikosi cha uchunguzi wa kadhia hii tunamtaka aweke wazi matokeo ya tume aliyounda kufuatia vurugu na kupigwa kwa viongozi wa CHADEMA. Hasa kwa kuwa moja ya silaha zilizotumiwa ni kemikali ambayo mpaka sasa haijajulikana.

Lakini pia tunasikitika kwamba mpaka sasa wadau wa Demokrasia nchini kama wanaharakati wa haki za binadamu, viongozi wa dini na wadau mbalimbali wameonekana kutojali unyama waliofanyiwa viongozi wa CHADEMA , unyama ambao unaweza kupelekea machafuko ya kisiasa katika nchi yetu.


Kuhusu CCM kuvamia mikutano ya CHADEMA
Tunapenda kuwafahamisha Watanzania kuwa tumekwisha fungua kesi polisi Kijungu na mpaka sasa hatujui polisi inasubiri nini kumkamata Mkurugenzi wa TOT, Mh Komba. Lakini zaidi tunashangaa Tume ya Taifa ya Uchaguzi haijaeleza lolote kuhusu uvunjaji wa taratibu za uchaguzi wa makusudi kwa kiwango hiki. Tunaitaka serikali ichukue hatua haraka kabla hatujachukua hatua wenyewe kwakuwa hatuwezi kukubali suala hili liishe kirahisi. Tunavipongeza vyombo vya habari kwa namna walivyolipa uzito suala hili.


Matumizi ya fedha za Kampeni
CHADEMA tumekuwa na utamaduni wa kuweka waazi matumizi yetu ya fedha za kampeni kwa lengo la kushinikiza mfumo wazi wa matumizi ya fedha za kampeni.

Tunarudia tena kuitaka serikali kutunga sheria ya lazima kuwepo mipaka ya matumizi ya fedha katika kampeni na uwazi katika matumizi ya fedha za kampeni. Ufisadi unaoliangamiza taifa hili ni matokeo ya matumizi makubwa ya fedha katika kampeni kiasi cha kusababisha pesa kushinda sera katika uchaguzi.

Kwa msingi huo tunapenda kuwataarifu watanzania kuwa CHADEMA katika uchaguzi huu tumetumia shilingi milioni 48, milioni 15 ikiwa ni mchango wa chama na milioni 33 ikiwa ni michango ya wanachama. Lakini kwa taarifa tulizonazo, CCM imetumia zaidi ya bilioni 1 katika uchaguzi mdogo wa Kiteto huku sehemu kubwa ikitumika kutoa rushwa. Kwa mfano; CCM ilimnunua kijana Omari wa kata ya Matuti kwa shilingi milioni 2. Na ikamlipa Mwenyekiti wa CHADEMA kijiji cha mbigiri baiskeli na shilingi laki 5 ili aingie CCM. Wakati huo huo ilikuwa na magari si chini ya 50, pikipiki, na walikuja na fuso imejaa baiskeli mpya.
Kuhusu TAKUKURU
Kwa kuzingatia kuwa sehemu kubwa ya kampeni hizi ziligubikwa na vitendo vya rushwa na baadhi ya matukio ya utoaji rushwa yalifanywa na viongozi wa CCM na serikali kwenye mikutano ya hadhara na tukayafikisha TAKUKURU. Tunaitaka TAKUKURU itoe taarifa imefikia wapi kuhusu uchuguzi wake kwa uchaguzi wa kiteto mapema iwezekanavyo.


Kuhusu Sheria ya Uchaguzi


Kwa kuzingatia mwenendo wa sasa ambapo kampeni chafu zinafanywa kutumia umasikini wa wananchi kuwanyima haki yao ya kupiga kura kwa mradi wa kununua shahada za kupigia kura, CHADEMA tutahamasisha Umma Sheria itungwe kuhakikisha kuwa kupiga kura ni lazima, na kwakuwa kinachofanyika sasa ni kuzuia watu wasipige kura kwa kununua shahada zao, CHADEMA hatuoni sababu ya kwamba ili mtu apige kura ni lazima awe na shahada. Tunataka mabadiliko ya sheria ili kupiga kura kutokane na mtu kuwemo kwenye daftari la wapiga kura tu. Na kwamba wasio jua kusoma na kuandika wapige kura za wazi ili kudhibiti tatizo la kutumia fursa ya wasio jua kusoma kupoka haki zao za kikatiba za kuchagua kiongozi wanaye mtaka.


Kuhusu Tume Huru
Mwisho tunapenda kurejea Rai yetu kwa serikali kuhusu Tume huru ya Uchaguzi kwa uchaguzi mkuu na ule wa serikali za mtaa. Tunajua serikali na CCM inafaidika na mfumo mbovu tulionao ndio maana haitaki kutekeleza hoja hii. CHADEMA inatangaza rasmi kuwa mwaka huu ni mwaka wa Madai ya tume huru ya uchaguzi. Tutatumia kila mbinu kuishinikiza serikali kuunda tume huru ya Uchaguzi, na kwa kuanzia tumewaelekeza wanasheria wetu kuanza mchakato wa kufungua kesi mahakani. Watendaji wa serikali wasiwe sehemu ya tume. Tunataka mfumo mzima urekebishwe. Tutafungua kesi ya kikatiba kudai tume huru ya uchaguzi.

Imesainiwa na;

Jafari Kasisiko-Mwenyekiti Mkoa wa Kigoma
Kny; Kamati ya Kampeni

Machi 1, 2008.

Kwa herini, mpaka wakati mwingine

JJ
 
Mtanganyika
http://www.chadema.net/mikakati/msingi.php
Long term goals za wagombea vijana tunazitengeneza: http://www.chadema.net/mikakati/msingi.php na naomba utuunge mkono.

In Kiteto, we fought like winners- not losers, soma maelezo yangu hapo juu utaelewa kwa nini nasema hivyo. Katika vijana wa CHADEMA ninao wafahamu, hakuna ambaye alikuwa na crediantials kama za Mzee Kimesera pale Kiteto. He was the candidate the party could foot. Najua hata Mzee Nangoro wa CCM aliyetangazwa mshindi, naye anajua kwamba kwa upande wa crediantials, Mzee Kimesera anaheshima zaidi Kiteto zaidi yake. Lakini uchaguzi, unapokuwa uchafuzi, mambo huwa mengine kabisa.

Inabidi pia wakati wa kujadili, tutofautishe katika ya by election, na uchaguzi mkuu- tabia moja wapo ya by election ni kuwa nguvu yote huwa inamwagwa hapo. Sasa katika siasa zetu zinazoendeshwa kwa kanuni za mwitu, unajua maana yake.

Ya Kiteto ni funzo kwa demokrasia yetu changa, tutazame mbele. Lakini rai yangu ni moja tu- kama tutaendelea kuilaumu CHADEMA, na kuendelea kuacha hali ikawa kama ilivyo katika uwanja wa kisiasa. Tunatangwa maji kwenye kinu. Nyinyi mlio huo ughaibuni, ukisoma hilo tamko ukurasa kwa ukurasa, ukilinganisha na siasa za hapa nyumbani- mnajifunza kitu gani?

Naweza nikawa nazungumza with a lot of emotions- ni kwa sababu uchaguzi wa Kiteto umenikumbusha mambo kadhaa kuhusu Ubungo; kwamba unaweza kuendesha kampeni safi za sera ukakubalika, lakini mwishowe ukashindwa- kwa sababu za tofauti kabisa. Ndio chaguzi zetu hizo! Lakini natazama mbele kwa matumaini makubwa, kwamba mabadiliko yanakaribia.....

JJ

if you really fought like winners, then whats the sympathy for ? ningependa kuwataarifu watu kwamba be more aware of these people that try to attract people's minds by being sorry and sympathetic in one way or the other to grab attention or pass out their feelings.SUALA LA WEWE KUSHINDWA UBUNGO WITH THE SO CALLED KAMPENI SAFI WAS NOT A GUARANTEE KWAMBA U WERE GOING TO WIN THAT PARTICULAR SEAT, JUST KEEP THAT IN MIND !!(UKITAKA KUJUA ZAIDI ANGALIA MFANO WA KAMPENI YA URAIS MAREKANI 2004, J.KERRY VS G. BUSH NANI ALIYEFANYA KAMPENI SAFI NA NANI ALIONDOKA MSHINDI ) halafu mnyika i cant really look at you and maybe say you can be my role model, WHY ? here's why ! uliposema sijui kiongozi wa chadema ana heshima zaidi ya kiongozi wa ccm, what good point were you really trying to illustrate here, because i simply dont get it !!
 
Mtaalamu mwingine wa propaganda na kuhamisha mijadala. We unajua kuwa CHADEMA imetumia helikopta siku mbili za mwisho za Kampeni; siku zingine zote 19 fedha zilielekezwa kwenye mikakati mingine ya kampeni chini kwa chini. Helikopta ambayo iliwapa kiwewe CCM mpaka nao wakakimbilia kukodi helikopta, lakini kwa bahati mbaya CCM walikuwa wakizomewa na helikopta yao


JJ

childish analysis, am still having a hard time understanding whether your mind is still set at a stone age, or the modern age ! sasa kuzomewa viongozi unaona ni tactic au nini ?
 
Mtanganyika
http://www.chadema.net/mikakati/msingi.php
Long term goals za wagombea vijana tunazitengeneza: http://www.chadema.net/mikakati/msingi.php na naomba utuunge mkono.

In Kiteto, we fought like winners- not losers, soma maelezo yangu hapo juu utaelewa kwa nini nasema hivyo. Katika vijana wa CHADEMA ninao wafahamu, hakuna ambaye alikuwa na crediantials kama za Mzee Kimesera pale Kiteto. He was the candidate the party could foot. Najua hata Mzee Nangoro wa CCM aliyetangazwa mshindi, naye anajua kwamba kwa upande wa crediantials, Mzee Kimesera anaheshima zaidi Kiteto zaidi yake. Lakini uchaguzi, unapokuwa uchafuzi, mambo huwa mengine kabisa.

Inabidi pia wakati wa kujadili, tutofautishe katika ya by election, na uchaguzi mkuu- tabia moja wapo ya by election ni kuwa nguvu yote huwa inamwagwa hapo. Sasa katika siasa zetu zinazoendeshwa kwa kanuni za mwitu, unajua maana yake.

Ya Kiteto ni funzo kwa demokrasia yetu changa, tutazame mbele. Lakini rai yangu ni moja tu- kama tutaendelea kuilaumu CHADEMA, na kuendelea kuacha hali ikawa kama ilivyo katika uwanja wa kisiasa. Tunatangwa maji kwenye kinu. Nyinyi mlio huo ughaibuni, ukisoma hilo tamko ukurasa kwa ukurasa, ukilinganisha na siasa za hapa nyumbani- mnajifunza kitu gani?

Naweza nikawa nazungumza with a lot of emotions- ni kwa sababu uchaguzi wa Kiteto umenikumbusha mambo kadhaa kuhusu Ubungo; kwamba unaweza kuendesha kampeni safi za sera ukakubalika, lakini mwishowe ukashindwa- kwa sababu za tofauti kabisa. Ndio chaguzi zetu hizo! Lakini natazama mbele kwa matumaini makubwa, kwamba mabadiliko yanakaribia.....

JJ

JM, mimi silaumu kushindwa kwa CHADEMA, nasema nini CHADEMA wamesoma kutokana na kushindwa Kiteto? Na kama kuna jambo CHADEMA wamejifunza kutoka Kiteto jee ni mbinu gani mpya wanatumia kukabiliana na changamoto zijazo.

Mimi personal ni kijana wa Ubungo, japokuwa nimeondoka zamani lakini bado moyo wangu upo Ubungo. Ni aibu kusikia kwamba bado bara bara za mitaani zinapitika wakati wa kiangazi tuu, na wakati wa masika ni nightmare, maji maeneo ya Ubungo yanatoka mara 1 kwa mwezi, vituo vya police vimetawaliwa na rushwa na ubaishaji.

Lakini swala linakuja jee miundo mbinu ya CHADEMA inaweza kuwangamiza CCM? Jee nini kilitokea baada ya CHADEMA, TLP na CUF kuunganisha offesive forces? Sasa maswala haya yote yanasababisha mimi kuwa kwenye dillema kwamba ni kweli CHADEMA ipo kwa ajiri ya Watanzani, au ni njia mbadala ya kupata ajira. Don't take me wrong, i believe nikirudi 2010 labda CHADEMA is the only part to join, however i can't bet on the leadership.
 
JM i need to talk to you personal my friend. I see you do have a desire and goal, but you have big challanges infront of you. The CCM (big monster) is gonna eat you alive if you will keep wining and wining around.

If you want to kill CCM don't hit them on the tail, you need to cut their head. If you expect CCM will give you a championship ring then you must be in deep sleep, you need to tell Mbowe and its alliens to GO GET it. That how you play with CCM, you dont use their rules, You create your rules.

Komba is stupid, i think you will get hard time to fight with crazy men like Komba. What you need is to find which eye can get soar if you will punch it, and then you keep punch that eye.

Let run 2010 like winner and not looser, let change CHADEMA strategy and create new winner strategy. I believe I, Rev.Kishoka and many people in JF are tired of CCM, however few of us trust upinzani. Please restore our rust John.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom