Nimeshawai kusema huko zamani sana CHADEMA inatumia system ya mwenda wazimu, nikasema CUF will never ever win general election. Leo nasema tena, CHADEMA will never run Tanzania hata kwa dakika moja kama wataendelea kutumia 1960s tacticts. Why did i said that?
Mwaka 2007 katikati nilitoa wito kwa Zitto na John Mnyika kuandaa solid strategy ndani ya chama chao na kuachana na hii system ya zimali moto. Nikasema kinachoicost CHADEMA sio bad policy zao, ila ni Mh. Mbowe na wenzie. Hawa watu wana run 1961 campain in 2008 then una expect kushinda.
Nilisema few things can be done kuongeza nguvu ndani ya upinzani, nitarudia the same thing. Kwanza kabisa upinzani unaitaji stategic plan ya long term na sio zimali moto strategy waliyotumia kwenda kiteto. Pili, upinzani unatakiwa uachane kabisa na kufocus sana na kampeni za urais, bali inabidi wa create grassroot movement kuanzia shina hadi shina, kata hadi kata, tarafa hadi tarafa, wilaya hadi wilaya then mkoa hadi mkoa. Hii movement itabainisha ni nini policy za upinzani, hii movement not only itawausisha wananchi moja kwa moja na siasa, bali itaweza kuinvolve kwenye maswala ya kijamiii, kiuchumi na kisiasa kwenye center point hizo za uchumi wa nchi
Upinzani inabidi wawe na msemaji mkuu na waache hizi habari za kila mtu kwenda kwenye media na kufungua mdomo wake kwa opinion zake. Kama upinzani watatumia grassroot movement then tutaongeza namba ya viongozi wa upinzani kwenye serikali za mitaa, tutaongeza namba ya upinzani kwenye bunge then tunaweza kuomba kubadili katiba which is the center point.
Watanzania sio wajinga, watanzania hawana idea upinzani ni nini, wanaogopa madhara yaliotokea nchi jirani yasitokee Tanzania, hivyo ni jukumu la upinzani kurestore trustee ya Watanzania. Kutumia startegy ya kwenda kwenye campain kwa helikopta i think is rediculous, sababu who cares kuhusu helicopter? People want to know ni jinsi gani watapata maji, ni jinsi gani watoto wao watapata elimu, ni jinsi gani watapata tiba pindi wanapoihitaji. So, i don't understand why upinzani don't get it.
Unajua nini maana ya mjumbe wa nyumba kumi? That is a grassroot movement, kwamba CCM wamesogeza msaidizi wao katika kila nyumba kumi. sasa kusubiri week mbili kabla ya uchaguzi ndio mnamchukua Zitto, Dr Slaa na wengine i guess ni kuwachosha wabunge hawa.