Uchaguzi wa Marekani umetusaidia kuondoa ujinga wa CHADEMA

Uchaguzi wa Marekani umetusaidia kuondoa ujinga wa CHADEMA

RUBBISH.....
Sasa ndio umeandika nini? Maneno na bla bla nyingi lakini hakuna LOGICAL SEQUENCE yoyote, na hueleweki unataka kusema nini.
Mjinga kabisa wewe.
Peleka upuuzi wako Lumumba
 
Hivi unaanzaje kusoma uzi wa mtu hawezi kuandika kwa ufasahaa?

Hivi iyo BA na MA uliipataje kama hata hujui kuweka punctuation Mark??

Hizi ndizo elimu ya category ya Magufuli/ bola elimu/ bola cheti/ bola title ila kichwani ni bogus.
We mwenyewe bora unaandika bola,sasa unakosoa nini?
 
Nikiishia hapa,Mimi ni
Msemakweli Chakubanga.
Dar es Salaam.
0755078854

-Bachelor of Business Administration in International Business.
-Master of Leadership and Management.

Recent Publication;
-Assessment on the Effects of Micro-Financing on Poverty Reduction.
Taahira,, mzee baba ameshasema hateui wengine tena! Nafasi zimejaa, labda ukagawe kalio kwa ka John!
 
1605053310957.png

Kwa sura hii haki ya nani kwa John hapati uteuzi hata ufanyeje! Hata kama ungelamba makalio yake hupati kitu! Mzee anaangalia na sura!!
 
Mkuu Uzi wako Sijausoma wote kwakuwa uandishi wako unachosha. Na Uzi wako hauna uhalisia HUWEZI kufananisha Marekani na Tanzania, Ni sawa na mbingu na Ardhi, Kiuchumi,Kisiasa na Kimaendeleo.

Sana Sana Uzi wako unaonyesha unavyotapatapa kutafuta exposure upate teuzi, Maana namba yako ya simu na Elimu yako vinahusiana Nini na Uzi wako hapa Jukwaani???

Unajidhalilisha wewe na wasomi pamoja na familia yako, Elimu yako itatiliwa mashaka ikiwa umekosa njia ya kutafuta exposure mpaka ujichoreshe Humu Jukwaani.

NB,kwa Sasa hakuna uteuzi kwa kuwa wote waliokuwepo kwenye vyeo vyao ndiyo waliochangia Ushindi wa CCM kwa hiyo hakuna sababu ya kuwaengua unless kwa kustaafu.
 
Kura moja

Nimekuteua kuwa msafisha pempers watoto wangu
 
Umesema Nyerere kawasisitizeni mambo kadhaa, la kwanza umelitaja "Kujitegemea".

Mnajitegemea kwa kugezea na kuhemea habari za Marekani?
 
UVIVU wa kusoma
Jasmin, fahamu kuwa nina skills za kutosha kutambua quality ya text right from the begining. So huwa sipotezagi muda kusoma text ndeeefu zilizojaa Pumba. So wewe usiye na skills hizo endelea kuwaste your time kusoma Pumba.
 
Summary tafadhali.
Pia nikukumbushe Mhe. kasema hafanyi tena uteuzi.

#YNWA
 
Nikiishia hapa,Mimi ni
Msemakweli Chakubanga.
Dar es Salaam.
0755078854

-Bachelor of Business Administration in International Business.
-Master of Leadership and Management.

Recent Publication;
-Assessment on the Effects of Micro-Financing on Poverty Reduction.



"Utapewa ubunge wa kuteuliwa au unaibu waziri, usihofu". 🤣🤣
 
Mwandishi wa makala nadhani ana uwendawazimu fulani.

Ukuaji wa uwekezaji unashuka, thamani ya mauzo yatokanayo na kilimo yanapiromoka, halafu anasema makusanyo yatafika trioni 4! Labda kwa sababu shilingi inashuka kwa kasi sana, hiyo trillion 4 itakuja kuwa sawa na trillion 1 ya leo.

Eti huyu naye ana Masters!! Reasoning yake ni aheri ya mwanafunzi wa diploma.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
CHADEMA kweli kiboko, wanadai imekufa lakini kutwa wanaweweseka nayo.
 
Nimependa uchambuzi wako Mr Chakubanga

Corona ni sababu nyingine ya wamarekani kumkataa Trample! Ubaguzi na ulopolopo wa Trample zote ni sababu za wamarekani kukataa uhuni huo!

Ni Sawa kabisa na jinsi Watanzania kuwakataa Chadema waliokuwa wakikumbatia Corona na kuwabagua wabunge wa CCM Wakati wa Bunge na pia mgombea wao ni Aina ya Trample Kwa ulopokaji, mara sjui MIGA, mara sijui kiwanja cha ndege chatto, mara sjui barabara, ndege na Miradi yoote ni ujinga kwake,

Asante I Watanzania Kwa kumkataa Trample wa Tz, amesepa zake huko!
 
Back
Top Bottom