Uchaguzi wa Marekani umetusaidia kuondoa ujinga wa CHADEMA

Wewe ndiyo hujui kabisaaaaaa
I insist bado hawajapiga kura. Wanaitwa slates ndio wanaopiga electoral votes. Na kura hizo hupigwa December na kila jimbo mgombea alipopata ushindi. Baada ya hapo hupelekwa kwenye Senate kwa kuthibitishwa. Baada ya kuthibitishwa na kutangazwa rasmi kama mshindi, Rais wao anaapishwa Jan 20. Hiyo ndio katiba yao inavyosema.
 
Hivi unaanzaje kusoma uzi wa mtu hawezi kuandika kwa ufasahaa?

Hivi iyo BA na MA uliipataje kama hata hujui kuweka punctuation Mark??

Hizi ndizo elimu ya category ya Magufuli/ bola elimu/ bola cheti/ bola title ila kichwani ni bogus.
Haya tafuteni justification ya kutuua na kutunyanyasa kwa vipigo vya polisi na kuiba kura
 
Look: Rais akishinda electoral votes kihalali, there is no way mpinzani wake akatangazwa mshindi. The ONLY option for Trump now ni kutumia legal actions sasa hivi ili kuwazuia certifiers wasiidhinishe matokeo ya five conflicted states (Arizona, PA, MI, Wisconsin & Georgia). Ambapo itabidi recount ifanyike, kama itakuwepo sintofahamu yoyote, basi atatumia hiyo kama kigezo cha kutilia mashaka mchakato mzima wa uchaguzi kwa hizo swing states. This is a VERY narrow road for him.
 
Hivi unaanzaje kusoma uzi wa mtu hawezi kuandika kwa ufasahaa?

Hivi iyo BA na MA uliipataje kama hata hujui kuweka punctuation Mark??

Hizi ndizo elimu ya category ya Magufuli/ bola elimu/ bola cheti/ bola title ila kichwani ni bogus.
Baada ka kuoukutisha mna hasira kweli.
 
Mjinga wewe siyo chadema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…