imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Wewe nae ni Mwananchi unaishi kwaDada shemeji ndio anakudhamini hadi nguo za ndaniKama ingekua inawezekana angepumzika asifanye kampeni maana sisi Wananch
Iko siku ataomba mzigo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe nae ni Mwananchi unaishi kwaDada shemeji ndio anakudhamini hadi nguo za ndaniKama ingekua inawezekana angepumzika asifanye kampeni maana sisi Wananch
Yaaani katika chaguzi zoooote zilizowahi kufanyika tangia mfumo wa vyama vingi uanze huu ndo utakua mwepesi sana kwa Chama cha Mapinduzi.
Kwa kazi alizofanya Mheshimiwa Rais zinatosha kabisa kumpa kura hata asipofanya kampeni maana kazi alizofanya zinaonekana hana haja ya kutukumbusha kupitia kampeni.
CCM itashinda kwa kishindo
Yaan ukitazama kwa jicho la tatu utagundua Lissu ni kibaraka wa mabeberu ananishangaza avavyopost Twitter kwa kiingereza huku akijua wapiga kura ni watanzania.utashangaa jinsi gan mtu kwa tamaa zake yuko Radhi kuuza nchi yakeMnakera na kibaraka wa mabeberu
CCM ina mgombea dhaifu mno, nguvu yake huwa ni kukanyaga wengine wasiongee aongee yeye tu..Yaaani katika chaguzi zoooote zilizowahi kufanyika tangia mfumo wa vyama vingi uanze huu ndo utakua mwepesi sana kwa Chama cha Mapinduzi.
Kwa kazi alizofanya Mheshimiwa Rais zinatosha kabisa kumpa kura hata asipofanya kampeni maana kazi alizofanya zinaonekana hana haja ya kutukumbusha kupitia kampeni.
CCM itashinda kwa kishindo
Watu wana hali mbaya kiuchumi haya madaraja aliyojenga wala hawayaoni.Yaaani katika chaguzi zoooote zilizowahi kufanyika tangia mfumo wa vyama vingi uanze huu ndo utakua mwepesi sana kwa Chama cha Mapinduzi.
Kwa kazi alizofanya Mheshimiwa Rais zinatosha kabisa kumpa kura hata asipofanya kampeni maana kazi alizofanya zinaonekana hana haja ya kutukumbusha kupitia kampeni.
CCM itashinda kwa kishindo
Yaaani katika chaguzi zoooote zilizowahi kufanyika tangia mfumo wa vyama vingi uanze huu ndo utakua mwepesi sana kwa Chama cha Mapinduzi.
Kwa kazi alizofanya Mheshimiwa Rais zinatosha kabisa kumpa kura hata asipofanya kampeni maana kazi alizofanya zinaonekana hana haja ya kutukumbusha kupitia kampeni.
CCM itashinda kwa kishindo
je aliyeiba pesa za aliowaita vyeti feki..unamfukuza mtu na kumzuia asichukie pesa yake kwenye akiba yake ya mafao..je huo sio wizi?Siokweli ni habari za uzushi tu.mwizi ni Mbowe kakwapua pesa za michango za wabunge.
Wewe nae ni Mwananchi unaishi kwaDada shemeji ndio anakudhamini hadi nguo za ndani
Iko siku ataomba mzigo
Kama uliyoyasema yana ukweli kuna haja gani wewe kutukumbusha? Weka tume huru uone atakavyokula za uso asubuhi na mapema. Kumbuka hata form ya Urais ilibidi watoe moja tu kuogopa ushindani.Yaaani katika chaguzi zoooote zilizowahi kufanyika tangia mfumo wa vyama vingi uanze huu ndo utakua mwepesi sana kwa Chama cha Mapinduzi.
Kwa kazi alizofanya Mheshimiwa Rais zinatosha kabisa kumpa kura hata asipofanya kampeni maana kazi alizofanya zinaonekana hana haja ya kutukumbusha kupitia kampeni.
CCM itashinda kwa kishindo
Jiongelee wewe na familia yako au Mataga wenzio, wengine mambo ya jiwe hapana kabisa, bora msukuma kuliko jiwe. Na akitoka madarakani lazima hiyo PhD fake yake ichunguzweWewe na nani hamjui siasa???
Jiwe kapita kwako au kwa nani na nani ukitoa mataga?Kweli kabisa, John Pombe Magufuli atafanya kampeni kuongeza idadi ya madiwani na wabunge kule alikowaachia wapinzani 2015 ila yeye kama rais tunamtambua kwa kazi zake na sio kwa ahadi. Ameshapitaaa
Vp yule aliyekwapua trillion na hataki CAG mwenye maadili?Yaan ukitazama kwa jicho la tatu utagundua Lissu ni kibaraka wa mabeberu ananishangaza avavyopost Twitter kwa kiingereza huku akijua wapiga kura ni watanzania.utashangaa jinsi gan mtu kwa tamaa zake yuko Radhi kuuza nchi yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwaka huu tutasikia harufu ya Kinyesi ikitokea CCM mnajamba ovyo huku mnaharishaSilaha yenu ni matusi hamna hoja..na ndo maana huyo kibaraka wenu anashinda twitter kuitukana nchi kwa mabeberu nani ampe nchi msaliti, Chadema imekufa tangia siku Dr.Slaa aondoke