Uchaguzi 2020 Uchaguzi wa mwaka huu utakuwa mwepesi sana kwa Dkt. Magufuli

Kama ingekua inawezekana angepumzika asifanye kampeni maana sisi Wananch kazi aliyoifanya tumeiona na deni analotudai ni kumpigia kura ... Kama yeye amekua muaminifu kwetu na sisi hatuna budi kumpigia kura
jizungumzie wewe,sio nafsi za wengine,chochote kinaweza tokea kwenye siasa.kumbuka kura ni Siri ya mtu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…