Yawezekana yanayosemwa yapo au yalikuwepo... hata mzee Mangula kama sikosei alianza kwa kusema walifanya kazi kbwa ya kutotenganisha urais na uenyekitiDuuh! Itakuwa kunafukuto kubwa huko ndani ya ccm. Wasipoangalia watatoana roho.
Asante sana kwa dondoo hili mkuu
Hamna demokrasia duniani,kama ipo ingeanzia nyumbani mama na baba waulize watoto wanataka kuamka saa ngapi, kula nini, kuvaa nini na vyote vipatikane kwa matakwa ya kila mmoja.Zoezi la upigaji kura ni kiboko....kama hii ndio demokrasia kwenye vyama vyetu vya siasa basi Afrika tuna laana kubwa kuliko ya Kaini wa kwenye Biblia!
Ukimuona Bashiru nishtue👍
Yaani vile sitaki kupitwa; huku naangalia TBC na huku nafuatilia JF
Wanajipa mapresha ya kijinga tu yasiyo na ulazima! Unatarajia vipi kupata 100% kwenye kundi la watu 1000+? Mimi naona kupata 100% ni upuuzi kabisa kuliko kupata 80%mzee pinda mbona kama ana wasiwasi na wajumbe
Ama kweli nyuso za bashasha na furaha sana..
Yupo front... karibu na KinanaUkimuona Bashiru nishtue
Kijiti cha uenyekiti kukabidhiwa rasmi leo.
Chama cha Mapinduzi(CCM) kinafanya Mkutano Mkuu Maalumwa kumchagua Mwenyekiti wake wa taifa jijini Dodoma katika ukumbi wa Jakaya Kikwete, Makao Makuu ya Chama.
Wajumbe wengi wapo ukumbini
Updates:
Ha ha haUkimuona Bashiru nishtue
Wamezoea kuiba ndiyo maana hawaaminiani?Wagombea wa nafasi za uNEC katika mkutano mkuu wa CCM wamegoma kuteua watu wa kusimamia kura zao na badala yake wameenda wao wenyewe kusimamia.
Nafasi ziko 2 na wagombea wako 6
Hii safi sana tofauti n Ufipa kura za Nyalandu ziliibwa kinyang'anyiro cha urais.
Kazi Iendelee!
Nyalandu mmesha mrudishia kadi yake ya CCM?Nyalandu
Well said 👏Chama Cha Mapinduzi si tu Chama Tawala ila pia ni Chama Kiongozi hivyo ni lazima kifuate katiba.
Shida yote iko hapo juu kushoto.