Uchaguzi wa Mwenyekiti wa CCM Dodoma: Rais Samia achaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Taifa kwa kupata kura zote 1862 zilizopigwa

Sasa mlitegemea Nini? Sioni la breaking news hapa. No new news hapa
 
Mwenyekiti wa CCM, Rais Samia Suluhu Hassan, amempendekeza mabadiliko ndani ya Chama Cha Mapinduzi ya SEKRETARIETI CCM na kuridhiwa na Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM katika kikao Maalumu kilichoketi Leo Mara baada ya Mkutano Mkuu wa Chama.

1. Mwenyekiti SAMIA Suluhu Hassan amependekezo yaliyotolewa na Mwenyekiti katika Sekretarieti Kuu CCM kuwa mhe.Daniel Chongolo aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni kuwa Katibu Mkuu wa CCM.


2. Mhe.Shaka Hamdu Shaka, kuwa Katibu wa NEC ya CCM Itikadi na Uenezi, akichukua nafasi ya mhe.Humphrey Polepole.



3. Mheshimiwa Maudline Cyrus Castico, amechukuwa nafasi ya Pereira Ame Silima, ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).

 
Sisimu hawawezi kuweka mtu mstaarabu kwa kuwa wanataka mtu wa kuropoka ropoka na kutukana kuwakata maini upinzani style za kina nape na makonda, kibajaji angekuwa na elimu nzuri wangempa lazima, mzee wa kashfa.
Bora abaki tu polepole
 
Sema dictator Jpm ndo alitaka kukimaliza chadema kwa ubabe tu na siyo ushawishi. Uchaguzi ungekuwa huru na wa haki ccm wangerudi wachache bungeni. Mfano kawe, Kilimanjaro yote, tarime vijijini na mjini, mikumi n.k chadema ilishinda ila dictator akaamlisha wakurugenzi watangaze ushindi kwa ccm Mana alijua watanzania ni wavivu wa kudai haki kwa maandamano.

Ki ujumla upinzani upo strong ila kosa lilikuwa kuwa na dictator ndani ya nchi yetu aliyeamini kumwaga ndamu tu eti ndo maendeleo
 









 







 
Pamoja na 100% ya kura lakini wapo CCM ambao wameumia sana kwenye hiyo hiyo asilimia 100% mama kuwa Mwenyekiti
 
Tumeshuhudia CCM ikiwahadaa wanachama kwa kupoteza mda kuandaa uchaguzi wa nafasi ya mwenyekiti huku wakijua Mgombea ni mmoja. Hii inamaana gani? Je kama katiba ya chama inasema hivi,tutegemee walioshindwa kutunga katiba bora ya chama kuja kuleta katiba nzuri ya Tanzania? Yaani wanaendelea na uleule upumbavu wa Kuchagua kati ya Kivuli na Picha ya Nyerere enzi za TANU. Hivi hawawezi kuweka hata mgombea mmoja japo ashindwe lakini kuonesha Rais hakuwa Mgombea peke yake? Vizazi vijavyo vitashangaa huu upumbavu wa CCM ndani ya Chama chao.


EWE MTANZANIA MZALENDO SHIRIKI KATIKA KUWEKA SHINIKIZO KWA WATAWALA ILI KUPATA KATIBA MPYA ILIYOBORA KWA MANUFAA YA VIZAZI VIJAVYO.
 
Mimi nitafurahia tu siku ccm ikifa kifo cha mende. Kuhusu hayo maigizo yao, binafsi hayanihusu kabisa.
 







 
Tuna kazi kubwa ya kuvunja mfumo ccm, ni hatari sana kwa maendeleo yetu.
 
Poa
Poa,ahsante kwa taarifa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…