Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo there's no way shughuli za bunge zitasimama eti kisa Mbatia kafungua kesi wakati solution ni kuisikiliza sauti, na watakachofanya mahakama ni kujenga hoja kwamba kesi haina msingi, kwahiyo uchaguzi uendelee!!Hakuna shughuli yoyote itakayotekelezwa katika Bunge (isipokuwa uchaguzi wa Spika) wakati wowote ambao kiti chaSpika kitakuwa ki wazi.
Kila nikisoma katiba sioni popote ilipokiukwa, nami ni msomaji mzuri sana wa katiba, and I know how to read and interpret it!!Vipi kama kesi ikisikilizwa na ikaonekana katiba ilikiukwa namna Spika alivyojiuzulu? Maana unaaza kutoa majibu kabla hata kesi haijasikilizwa.
Bunge ni mhimili, kufuatia kutokuwepo checks and balance, mahakamani yetu sio tuu haita entertain hiyo kesi, bali haita thubutu hata to summon the legistlature with a court summons, hata Bunge livunje vipi katiba!.Vipi kama kesi ikisikilizwa na ikaonekana katiba ilikiukwa namna Spika alivyojiuzulu? Maana unaaza kutoa majibu kabla hata kesi haijasikilizwa.
Mwenye maamuzi ya mwisho kwenye swala hili ni ule mhimili wenye mizizi mirefu zaidiKama kweli katiba ilikiukwa juh ya kupatikana spika basi Mahakama kuu itende haki na uchaguzi wa spika usifanyike. Mahakama iwe huru na kufanya kazi yake.View attachment 2094670
Unapingana na marehemu?RAIA mwema gazeti la udaku sinunui kabisa Siku hizi
Sababu halitukuzi chuiGazeti la udaku kivipi?
Kujaribu kufanya separation of powers katika nchi ya Tanzania is akin to trying to separate individual contents za viungo, vikolezo, chumvi na kadhalika chunguni, baada ya mboga kupikwa. IMPOSSIBLE!Bunge ni mhimili, kufuatia kutokuwepo checks and balance, mahakamani yetu sio tuu haita entertain hiyo kesi, bali haita thubutu hata to summon the legistlature with a court summons, hata Bunge livunje vipi katiba!.
Hivyo mchakato wa kukamilisha tuu taratibu za kumthibitisha Spika Tulia utaendelea as if nothing happened.
Rejea
PNani Zaidi Kati ya Bunge na Mahakama?!. The Doctrine of "Separation of Powers" Nothing, Just a Myth!
Wanabodi, Leo Tarehe, 26/11/2014 ni siku ya kihistoria kwa taifa letu la Tanzania, kwa sababu siku hii, inaanza kwa mtanange muhimu kuliko hata mjadala wa katiba, huu ni mtanange wa kupimana ubavu kati ya vyombo vikuu viwili vya Dola, Bunge, na Mahakama, Nani Zaidi?!. Bunge limetangaza...www.jamiiforums.com
Kusoma wengi wanajua, tatizo ni kuelewa kilichokusudiwa. Kuna mambo mawili yaliyokosewa:Kila nikisoma katiba sioni popote ilipokiukwa, nami ni msomaji mzuri sana wa katiba, and I know how to read and interpret it!!
Lakini hata ikionekana imekiukwa, shughuli za nchi LAZIMA ziendelee!! Na shughuli za nchi haziwezi kuendelea pasipo na bunge hasa ukizingatia tunaelekea msimu wa Bunge la Bajeti, kwahiyo kesi itatupwa tu!
Uchaguzi utafanyika na hakuna dosati yoyote ile iliyofanyikaKama kweli katiba ilikiukwa juu ya kupatikana spika basi Mahakama kuu itende haki na uchaguzi wa spika usifanyike. Mahakama iwe huru na kufanya kazi yake.View attachment 2094670
Hujamuelewa mtoa muda.Huenda usifanyike?!
LAZIMA ufanyike kwa sababu, Katiba ya JMT Ibara ya 84(8) inasema:-
Kwahiyo there's no way shughuli za bunge zitasimama eti kisa Mbatia kafungua kesi wakati solution ni kuisikiliza sauti, na watakachofanya mahakama ni kujenga hoja kwamba kesi haina msingi, kwahiyo uchaguzi uendelee!!
nikisoma katiba sioni popote ilipokiukwa, nami ni msomaji mzuri sana wa katiba, and I know how to read and interpret it!!
Lakini hata ikionekana imekiukwa, shughuli za nchi LAZIMA ziendelee!! Na shughuli za nchi haziwezi kuendelea pasipo na bunge hasa ukizingatia tunaelekea msimu wa Bunge la Bajeti, kwahiyo kesi itatupwa tu!
SIDHANI KAMA NCHI HII BADO INA UTAWALA WA SHERIA.UCHAGUZI UTAENDELEA TU.MTAKE MSITAKEKama kweli katiba ilikiukwa juu ya kupatikana spika basi Mahakama kuu itende haki na uchaguzi wa spika usifanyike. Mahakama iwe huru na kufanya kazi yake.View attachment 2094670
Raia Mwema ndiyo Mahakama, au ndio walioifungua hiyo kesi?Uchaguzi haufanyiki kisa raia mwema wameandika?